• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Songea Municipal Council
Songea Municipal Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa ya Songea

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Maendeleo ya Jamii Jinsia na Watoto
      • Planning,Statistics and Monitoring
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Elimu ya Msingi
      • Mazingira na Usafi
      • Maji
      • Afya
      • Elimu ya Sekondari
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Ujenzi
      • Fedha na Biashara
      • Arthi na Mipangomiji
    • Vitengo
      • Uchaguzi
      • Legal Services
      • Mawasiliano, Habari na Teknolojia
      • Ukaguzi wa ndani
      • Ugavi na Manunuzi
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma zetu
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi isiyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio

MANISPAA ya Songea yatumia milioni 30 kutengeneza madawati 500

Tarehe ya kuwekwa: February 6th, 2020

Halmashauri ya Manispaa ya Songea imetumia shilingi milioni 30  kwa ajili ya utengenezaji madawati 500,yatakayotumika kwa wanafunzi wa shule ya Msingi na Sekondari.

Kwa mujibu Afisa Elimu Msingi Manispaa ya Songea Zakia Fandey Idara inatarajia kugawa madawati 200 yenye thamani ya sh.milioni 10, ikiwa ni  fedha za mapato ya ndani ya bajeti ya mwaka wa fedha 2019/2020.

“Mahitaji ya madawati kwa sasa katika shule za msingi Manispaa ya Songea ni 17822, madawati yaliyopo ni 14958 na pungufu ni 2864’’,alisema.

Katika kukabiliana na changamoto hiyo, Manispaa ya Songea katika Bajeti 2020/2021,imetenga  zaidi ya shilingi milioni 20  ambayo itatumika kutengeneza madawati 400.

Naye Afisa Elimu Sekondari Manispaa ya Songea  Devota Luwungo, amesema Idara yake inatarajia kugawa Viti na  Meza 300 vyenye thamani ya  sh.milioni  20 ikiwa ni  fedha za mapato ya ndani Bajeti ya 2019/2020.

Hata hivyo amesema, Mahitaji ya meza kwa sasa ni 15214, yaliyopo kwa sasa  ni 9733, upungufu ni 5481 ambapo  mahitaji halisi ya viti  kwa sasa  ni 15214, yaliyopo ni 9990, na pungufu ni 5224.

Aidha katika kutatua changamoto katika shule za sekondari, Manispaa ya Songea  katika mwaka 2020/2021,imetenga  zaidi ya sh.milioni 15 kwa ajili ya kutengeneza viti na meza 230.

Manispaa ya Songea ina shule za msingi 92 na shule za sekondari 40.

 Imeandaliwa na Amina Pilly

Afisa Habari Manispaa ya Songea 

Februari 6,2020

Matangazo

  • TANGAZO LA LESENI ZA BIASHARA January 22, 2025
  • TANGAZO la usafi wa mazingira Jumamosi ya mwisho wa mwezi Septemba 2024 February 27, 2025
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • TAKUKURU Mkoa wa Ruvuma Yafanikiwa Kurejesha Mil. 9.2, na Kudhibiti Mianya ya Rushwa.

    May 30, 2025
  • TAKUKURU Ruvuma Yawezesha kupatikana fedha za makusanyo Songea Dc

    May 30, 2025
  • ALAT Ruvuma na Baraza la Madiwani la Chalinze Watembelea Manispaa ya Iringa Kujifunza Ukusanyaji wa Mapato.

    May 29, 2025
  • ISMAIL ALI MKIMBIZA MWENGE KITAIFA ARIDHISHWA NA UTEKELEZAJI WA MIRADI

    May 15, 2025
  • Tazama zote

Video

ALAT RUVUMA ZIARANI IRINGA TC
Video Zaidi

Viungio vya Haraka

  • Ruvuma Region Website
  • Songea diistrict websites
  • Madaba District Council Website
  • Tunduru District Website
  • Namtumbo District Website
  • Nyasa District Website
  • Mbinga Town Council Website
  • Mbinga District Council Website
  • Songea Municipal face book

Tovuti Mashuhuri

  • Wizara ya Fedha
  • TAMISEMI
  • Wakala wa Serikali Mtandao
  • Utumishi
  • National Bureau of Statistics
  • Baraza la Mitihani Tanzania

Idadi ya Wasomaji Duniani

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

free HitCounter

Ramani ya Mahali

Wasiliana nasi

    SONGEA MUNICIPAL COUNCIL

    Anuani ya Posta: P O BOX 14, SONGEA

    Simu ya Mezani: 025 2602970

    Simu ya Kiganjani:

    Barua Pepe: info@songeamc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Falagha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani ya Mahali
    • Huduma

Hakimiliki ©2017 Halmashauri ya Manispaa ya Songea. Haki zote zimehifadhiwa