• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Songea Municipal Council
Songea Municipal Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa ya Songea

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Maendeleo ya Jamii Jinsia na Watoto
      • Planning,Statistics and Monitoring
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Elimu ya Msingi
      • Mazingira na Usafi
      • Maji
      • Afya
      • Elimu ya Sekondari
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Ujenzi
      • Fedha na Biashara
      • Arthi na Mipangomiji
    • Vitengo
      • Uchaguzi
      • Legal Services
      • Mawasiliano, Habari na Teknolojia
      • Ukaguzi wa ndani
      • Ugavi na Manunuzi
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma zetu
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi isiyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio

MANISPAA ya Songea yatumia zaidi ya milioni 169 kukopesha vijana na wanawake

Tarehe ya kuwekwa: September 20th, 2018

HALMASHAURI ya Manispaa ya Songea mkoani Ruvuma katika mwaka wa fedha 2017/2018  ilitenga Tshs 169,768,620.00 kwa ajili ya kukopesha vikundi vya wanawake 100 na vijana 77. Hadi kufikia  Juni, 2018 jumla ya Tshs 196,000,000.00 sawa na asilimia 115 zimetolewa na kukopeshwa kwa vikundi 154 kati ya hivyo vikundi vya Wanawake 127 vimekopeshwa Tshs. 162,100,000.00 na vikundi vya vijana 27 vimekopeshwa Tshs 33,900,000.00. 

Mikopo hiyo ililenga katika kila kikundi kuendeleza mradi waliokuwa wameuanzisha hivyo kutengeneza ajira kwa vijana na akina mama.Katika mwaka wa fedha 2016/2017 Halmashauri ya Manispaa ya Songea ilitenga Tshs 174,000,000 kwa ajili ya kukopesha vikundi vya wanawake na vijana 70. 

Hadi kufikia  Juni 2017 Halmashauri ilikopesha jumla ya Tshs. 88,800,000.00 sawa na asilimia 51 kwa vikundi 133 kati ya hivyo vikundi vya Wanawake 77 vilikopeshwa Tshs. 59,800,000.00 na vikundi vya Vijana 56 vilikopeshwa Tshs. 29,000,000.00.

Kuhusu Mpango wa kunusuru kaya maskini kupitia TASAF awamu ya III, ulianza kutekelezwa katika Halmashauri ya Manispaa ya Songea kuanzia kipindi cha mwaka wa fedha cha 2015/2016, jumla ya mitaa 53 imenufaika na mpango na idadi ya kaya zilizofikiwa ni 4,878.

Halmashauri ilipokea kiasi cha Tshs. 4,044,549,300.00 kwa ajili ya kuwalipa walengwa 4,878 sawa na asilimia 100 ya walengwa wote hadi kufikia mwezi Juni 2018 kwa lengo la kusaidia  kaya masikini kujikimu kiuchumi.

Imeandaliwa na Albano Midelo

Afisa Habari Manispaa ya Songea

Septemba 20,2018

Matangazo

  • TANGAZO LA LESENI ZA BIASHARA January 22, 2025
  • TANGAZO la usafi wa mazingira Jumamosi ya mwisho wa mwezi Septemba 2024 February 27, 2025
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • TAKUKURU Mkoa wa Ruvuma Yafanikiwa Kurejesha Mil. 9.2, na Kudhibiti Mianya ya Rushwa.

    May 30, 2025
  • TAKUKURU Ruvuma Yawezesha kupatikana fedha za makusanyo Songea Dc

    May 30, 2025
  • ALAT Ruvuma na Baraza la Madiwani la Chalinze Watembelea Manispaa ya Iringa Kujifunza Ukusanyaji wa Mapato.

    May 29, 2025
  • ISMAIL ALI MKIMBIZA MWENGE KITAIFA ARIDHISHWA NA UTEKELEZAJI WA MIRADI

    May 15, 2025
  • Tazama zote

Video

ALAT RUVUMA ZIARANI IRINGA TC
Video Zaidi

Viungio vya Haraka

  • Ruvuma Region Website
  • Songea diistrict websites
  • Madaba District Council Website
  • Tunduru District Website
  • Namtumbo District Website
  • Nyasa District Website
  • Mbinga Town Council Website
  • Mbinga District Council Website
  • Songea Municipal face book

Tovuti Mashuhuri

  • Wizara ya Fedha
  • TAMISEMI
  • Wakala wa Serikali Mtandao
  • Utumishi
  • National Bureau of Statistics
  • Baraza la Mitihani Tanzania

Idadi ya Wasomaji Duniani

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

free HitCounter

Ramani ya Mahali

Wasiliana nasi

    SONGEA MUNICIPAL COUNCIL

    Anuani ya Posta: P O BOX 14, SONGEA

    Simu ya Mezani: 025 2602970

    Simu ya Kiganjani:

    Barua Pepe: info@songeamc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Falagha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani ya Mahali
    • Huduma

Hakimiliki ©2017 Halmashauri ya Manispaa ya Songea. Haki zote zimehifadhiwa