• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Songea Municipal Council
Songea Municipal Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa ya Songea

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Maendeleo ya Jamii Jinsia na Watoto
      • Planning,Statistics and Monitoring
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Elimu ya Msingi
      • Mazingira na Usafi
      • Maji
      • Afya
      • Elimu ya Sekondari
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Ujenzi
      • Fedha na Biashara
      • Arthi na Mipangomiji
    • Vitengo
      • Uchaguzi
      • Legal Services
      • Mawasiliano, Habari na Teknolojia
      • Ukaguzi wa ndani
      • Ugavi na Manunuzi
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma zetu
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi isiyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio

MANISPAA yatoa elimu kwa wafanyabiashara wa samaki

Tarehe ya kuwekwa: February 1st, 2018

MANISPAA ya Songea kupitia Idara ya Mifugo na uvuvi imeanza kutoa elimu kabla kuwaondoa wafanyabiashara wote ambao wanauza samaki katika maeneo ambayo hayapo kisheria hali ambayo inachangia kuikosesha mapato Manispaa hiyo.

 Idara ya Mifugo na uvuvi imezunguka katika viunga vya Manispaa ya Songea kutoa elimu kwa wafanyabiashara wanauza samaki na dagaa maeneo ambayo sio soko likiwemo eneo la nje ya stendi ya Mfaranyaki ambako kuna akinamama wengi wanafanya biashara hiyo.

Mkuu wa Idara ya Mifugo na uvuvi Rozina Chuwa amesema biashara ya samaki na dagaa inatakiwa kufanyika kwenye masoko ya Manzese na Lizaboni .Amesema kufanya biashara ya samaki na dagaa nje ya soko ni kosa ambapo ukikamatwa unaweza kupigwa faini ya kuanzia shilingi 200,0000.

Chuwa àmesema kuanzia sasa hairuhusiwi kusafirisha magunia ya dagaa kwenye basi na kwamba Mfanyabiashara biashara yeyote anayetaka kusafirisha mzigo wa dagaa au samaki anatakiwa kutumia magari ya mizigo na kwamba ni lazima àpate kibali cha kusafirishia ambacho kinatolewa bure na Manispaa ya Songea.

Wafanyabiashara hao wameipongeza Manispaa kwa elimu ambayo wameipata ambapo wameahidi kuondoka na kwenda katika maeneo rasmi ya masoko.

Sheria ndogo ndogo ya Manispaa ya Songea ya mwaka 2010 inawataka wafanyabiashara wa samaki wa jumla na rejareja kuuaza samaki zao katika maeneo maalum ya masoko na sheria mama ya uvuvi ya mwaka 2009 zinawataka wafanyabiashara wa samaki kukata leseni na kuwa na vibali halali.

Imetolewa na Albano Midelo

Afisa Habari Manispaa ya Songea

Matangazo

  • TANGAZO LA LESENI ZA BIASHARA January 22, 2025
  • TANGAZO la usafi wa mazingira Jumamosi ya mwisho wa mwezi Septemba 2024 February 27, 2025
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • Bil. 22.9 Kujenga Masoko ya Kisasa Manzese A na B, na Kiwanda cha Kuchakata Mazao ya Nafaka Lilambo

    July 06, 2025
  • MBUNGE SONGEA MJINI AKABIDHI KOMPYUTA NA KUFADHILI UKARABATI WA OFISI ZA POLISI

    June 27, 2025
  • DC Songea bAzindua Dawati la Huduma za Ustawi wa Jamii Stendi ya Mabasi Songea

    June 24, 2025
  • Meya Mbano; Amewataka Wananchi Kulinda Haki za Watoto

    June 16, 2025
  • Tazama zote

Video

Makabidhiano ya Mkataba Soko la Manzese A&B
Video Zaidi

Viungio vya Haraka

  • Ruvuma Region Website
  • Songea diistrict websites
  • Madaba District Council Website
  • Tunduru District Website
  • Namtumbo District Website
  • Nyasa District Website
  • Mbinga Town Council Website
  • Mbinga District Council Website
  • Songea Municipal face book

Tovuti Mashuhuri

  • Wizara ya Fedha
  • TAMISEMI
  • Wakala wa Serikali Mtandao
  • Utumishi
  • National Bureau of Statistics
  • Baraza la Mitihani Tanzania

Idadi ya Wasomaji Duniani

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

free HitCounter

Ramani ya Mahali

Wasiliana nasi

    SONGEA MUNICIPAL COUNCIL

    Anuani ya Posta: P O BOX 14, SONGEA

    Simu ya Mezani: 025 2602970

    Simu ya Kiganjani:

    Barua Pepe: info@songeamc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Falagha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani ya Mahali
    • Huduma

Hakimiliki ©2017 Halmashauri ya Manispaa ya Songea. Haki zote zimehifadhiwa