• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Songea Municipal Council
Songea Municipal Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa ya Songea

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Maendeleo ya Jamii Jinsia na Watoto
      • Planning,Statistics and Monitoring
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Elimu ya Msingi
      • Mazingira na Usafi
      • Maji
      • Afya
      • Elimu ya Sekondari
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Ujenzi
      • Fedha na Biashara
      • Arthi na Mipangomiji
    • Vitengo
      • Uchaguzi
      • Legal Services
      • Mawasiliano, Habari na Teknolojia
      • Ukaguzi wa ndani
      • Ugavi na Manunuzi
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma zetu
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi isiyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio

MAPOROMOKO ya pili kwa urefu barani Afrika yapo kusini mwa Tanzania

Tarehe ya kuwekwa: July 9th, 2018

MAPOROMOKO ya Kalambo yaliopo kijiji cha Kapozwa,kata ya Kisumba wilayani Kalambo mkoani Rukwa yanatokana na mto Kalambo ambao ni mpaka wa Tanzania na Zambia.Maporomoko ya maji haya ukiachilia kuwa ni ya pili baada ya yale ya Tugela Afrika ya Kusini lakini pia ndiyo maporomoko pekee yanayogawa mpaka wa nchi mbili za Tanzania na Zambia.

Maporomoko haya yamekuwa yakionekana na kutangazwa kuwa yapo Zambia na hivyo kuiondoa Tanzania kuwa miongoni mwa nchi zenye maporomoko yanayotambulika duniani.Katika kijiji cha Kapozwa ambacho pia kilianzishwa kutokana na imani kuwa ukienda kuoga katika maporomoko hayo utapooza. Kwa kuambiwa hivyo wananchi wenyeji wa eneo hilo walipaita kijiji jina la kapozwa.

Maporomoko ya Kalambo yana kina cha mita zaidi ya 200 na yanatiririsha maji yake katika eneo la urefu wa kilomita tano kabla ya kuingia Ziwa Tanganyika katika kijiji cha Kipwa.

Awali ilidhaniwa kwamba kina cha maporomoko ya Mto Kalambo ni zaidi ya mita 300 lakini baada ya kupimwa na watalaamu miaka ya 1920 inakadiriwa kuwa kina chake ni zaidi ya mita 200. Vipimo vya mwaka 1956 vimetoa matokeo yanayoonesha kuwa yana kina cha mita 221 na upana wake ni kati ya mita 3.6 na 18.

Wataalamu wa malikale wanayaelezea maporomoko ya Mto Kalambo kuwa ni eneo lenye umuhimu wa kipekee barani Afrika na kwamba ni hazina kubwa ya kihistoria ikiwa na ushuhuda wa shughuli kadhaa zilizokuwa zikifanywa na binadamu katika eneo hilo zaidi ya miaka 250,000 iliyopita.Baadhi ya mabaki yenye vielelezo vya kihistoria yalifukuliwa mwaka 1953 na Mvumbuzi John Desmond katika eneo hilo.

Makala imeandaliwa na Albano Midelo

Matangazo

  • TANGAZO LA LESENI ZA BIASHARA January 22, 2025
  • TANGAZO la usafi wa mazingira Jumamosi ya mwisho wa mwezi Septemba 2024 February 27, 2025
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • TAKUKURU Mkoa wa Ruvuma Yafanikiwa Kurejesha Mil. 9.2, na Kudhibiti Mianya ya Rushwa.

    May 30, 2025
  • TAKUKURU Ruvuma Yawezesha kupatikana fedha za makusanyo Songea Dc

    May 30, 2025
  • ALAT Ruvuma na Baraza la Madiwani la Chalinze Watembelea Manispaa ya Iringa Kujifunza Ukusanyaji wa Mapato.

    May 29, 2025
  • ISMAIL ALI MKIMBIZA MWENGE KITAIFA ARIDHISHWA NA UTEKELEZAJI WA MIRADI

    May 15, 2025
  • Tazama zote

Video

ALAT RUVUMA ZIARANI IRINGA TC
Video Zaidi

Viungio vya Haraka

  • Ruvuma Region Website
  • Songea diistrict websites
  • Madaba District Council Website
  • Tunduru District Website
  • Namtumbo District Website
  • Nyasa District Website
  • Mbinga Town Council Website
  • Mbinga District Council Website
  • Songea Municipal face book

Tovuti Mashuhuri

  • Wizara ya Fedha
  • TAMISEMI
  • Wakala wa Serikali Mtandao
  • Utumishi
  • National Bureau of Statistics
  • Baraza la Mitihani Tanzania

Idadi ya Wasomaji Duniani

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

free HitCounter

Ramani ya Mahali

Wasiliana nasi

    SONGEA MUNICIPAL COUNCIL

    Anuani ya Posta: P O BOX 14, SONGEA

    Simu ya Mezani: 025 2602970

    Simu ya Kiganjani:

    Barua Pepe: info@songeamc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Falagha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani ya Mahali
    • Huduma

Hakimiliki ©2017 Halmashauri ya Manispaa ya Songea. Haki zote zimehifadhiwa