• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Songea Municipal Council
Songea Municipal Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa ya Songea

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Maendeleo ya Jamii Jinsia na Watoto
      • Planning,Statistics and Monitoring
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Elimu ya Msingi
      • Mazingira na Usafi
      • Maji
      • Afya
      • Elimu ya Sekondari
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Ujenzi
      • Fedha na Biashara
      • Arthi na Mipangomiji
    • Vitengo
      • Uchaguzi
      • Legal Services
      • Mawasiliano, Habari na Teknolojia
      • Ukaguzi wa ndani
      • Ugavi na Manunuzi
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma zetu
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi isiyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio

MBUNGE ASHAURI MANISPAA YA SONGEA KUWA KITUO CHA UTALII

Tarehe ya kuwekwa: September 22nd, 2017

MBUNGE ASHAURI  MANISPAA IWE NA KITUO CHA UTALII
MBUNGE wa Jimbo la Songea mjini Leonidas Gama ameshauri wakati Bustani ya Manispaa ya Songea inaelekea kukamilika,ameshauri bustani hiyo pia iwe na kituo cha kutoa taarifa za utalii.


Amesema mkoa wa Ruvuma hauna vituo vya kutoa taarifa za utalii(Tourism Information Centre) hivyo bustani hiyo ikiwekwa huduma ya kutoa taarifa za utalii inaweza kuvutia idadi kubwa ya watalii na wawekezaji ambao wanaweza kuwekeza katika Manispaa ya Songea na mkoa wa Ruvuma kwa ujumla wake.


Halmashauri ya Manispaa ya Songea mkoani Ruvuma imepokea jumla ya sh.milioni 400 kwa ajili ya uboreshaji wa Bustani ya Manispaa ya Songea.


Mradi huo unaofadhiliwa na Benki ya Dunia chini ya Mpango wa Kuzijengea uwezo serikali za mitaa(ULGSP) unatarajiwa kugharimu sh.milioni 399.95.


Fedha ambazo zimelipwa hadi sasa ni sh.milioni 97.83 na fedha ilibaki ni sh.milioni 302.12.Mradi huo unaofanyika kwa miezi sita ulianza Machi 15 mwaka huu na unatarajiwa kumalizika Septemba 30,2017.
Mradi huo uliopo mkabala ya Ofisi za Halmashauri ya Manispaa ya Songea una eneo la mgahawa,choo cha kulipia,uzio na maeneo ya kupaki magari(parking bay).


Bustani hiyo ya aina yake katika mji wa Songea ina eneo la kupumzikia(resting huts) na kwamba hatua ya ujenzi imefikia zaidi ya asilimia 80.


Maeneo mengine ambayo yanaendelea katika bustani hiyo ni ujenzi wa uzio kuzunguka bustani yote,utengenezaji wa bustani ambayo inawekwa udongo na kupandwa nyasi na miti na ujenzi wa mnara na kazi ya kusambaza maji katika eneo la ujenzi.


Manispaa ya Songea ni moja ya Halmashauri za miji na Manispaa 18 za Tanzania Bara ambazo zipo katika mpango wa ULGSP lengo likiwa ni kuendeleza miundombinu yake.


Halmashauri nyingine ni Sumbawanga, Singida, Tabora, Shinyanga,Musoma,Moshi,Lindi, Morogoro, Iringa, Babati, Msasi, Kibaha, Njombe, Mpanda,Korogwe na Geita.

Matangazo

  • TANGAZO LA LESENI ZA BIASHARA January 22, 2025
  • TANGAZO la usafi wa mazingira Jumamosi ya mwisho wa mwezi Septemba 2024 February 27, 2025
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • TAKUKURU Mkoa wa Ruvuma Yafanikiwa Kurejesha Mil. 9.2, na Kudhibiti Mianya ya Rushwa.

    May 30, 2025
  • TAKUKURU Ruvuma Yawezesha kupatikana fedha za makusanyo Songea Dc

    May 30, 2025
  • ALAT Ruvuma na Baraza la Madiwani la Chalinze Watembelea Manispaa ya Iringa Kujifunza Ukusanyaji wa Mapato.

    May 29, 2025
  • ISMAIL ALI MKIMBIZA MWENGE KITAIFA ARIDHISHWA NA UTEKELEZAJI WA MIRADI

    May 15, 2025
  • Tazama zote

Video

ALAT RUVUMA ZIARANI IRINGA TC
Video Zaidi

Viungio vya Haraka

  • Ruvuma Region Website
  • Songea diistrict websites
  • Madaba District Council Website
  • Tunduru District Website
  • Namtumbo District Website
  • Nyasa District Website
  • Mbinga Town Council Website
  • Mbinga District Council Website
  • Songea Municipal face book

Tovuti Mashuhuri

  • Wizara ya Fedha
  • TAMISEMI
  • Wakala wa Serikali Mtandao
  • Utumishi
  • National Bureau of Statistics
  • Baraza la Mitihani Tanzania

Idadi ya Wasomaji Duniani

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

free HitCounter

Ramani ya Mahali

Wasiliana nasi

    SONGEA MUNICIPAL COUNCIL

    Anuani ya Posta: P O BOX 14, SONGEA

    Simu ya Mezani: 025 2602970

    Simu ya Kiganjani:

    Barua Pepe: info@songeamc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Falagha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani ya Mahali
    • Huduma

Hakimiliki ©2017 Halmashauri ya Manispaa ya Songea. Haki zote zimehifadhiwa