• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Songea Municipal Council
Songea Municipal Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa ya Songea

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Maendeleo ya Jamii Jinsia na Watoto
      • Planning,Statistics and Monitoring
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Elimu ya Msingi
      • Mazingira na Usafi
      • Maji
      • Afya
      • Elimu ya Sekondari
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Ujenzi
      • Fedha na Biashara
      • Arthi na Mipangomiji
    • Vitengo
      • Uchaguzi
      • Legal Services
      • Mawasiliano, Habari na Teknolojia
      • Ukaguzi wa ndani
      • Ugavi na Manunuzi
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma zetu
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi isiyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio

MBUNGE SONGEA MJINI AKABIDHI KOMPYUTA NA KUFADHILI UKARABATI WA OFISI ZA POLISI

Tarehe ya kuwekwa: June 27th, 2025

Na; Amina Pilly

Ofisi ya Mbunge wa Jimbo la Songea Mjini leo juni 27 imekabidhi kompyuta sita zenye thamani ya shilingi milioni 10 kwa Jeshi la Polisi Mkoa wa Ruvuma, sambamba na kufanya ukarabati wa Kituo Kikuu cha Polisi Songea pamoja na Kituo cha Polisi Lizaboni.

Akikabidhi kompyuta hizo ndugu  Juma Mpeli amesema kwa niaba ya Ofisi ya Mbunge wa Jimbo la Songea Mjini alisema, lengo la kutoa vifaa hivyo ni kusaidia taasisi zilizopo katika Jimbo la Songea kutekeleza majukumu yake kiufanisi ikiwemo Jeshi la Polisi.

“tunaamini kupitia vifaa hivi na ukarabati unaoendelea utasaidia kuboresha hali ya Ofisi za Polisi katika kuhudumia wananchi wa Jimbo hili la Songea Mjini ambalo yeye ndiyo mwakilishi wake” Alisema Mpeli.

Kwa upande wake, Mkuu wa Polisi Wilaya ya Songea (OCD), Kilangi Kabisi, amemshukuru Mbunge wa Jimbo la Songea Mjini kwa msaada wa kompyuta hizo, akieleza kuwa zitasaidia kwa kiasi kikubwa katika kutekeleza majukumu ya kila siku, kutunza kumbukumbu muhimu, na kurahisisha utoaji wa taarifa kwa wakati.

Naye Mwenyekiti wa Mtaa wa Polisi Lizaboni, Steven Mlaponi, amepongeza jitihada za Mbunge kwa kuonesha ushirikiano mkubwa katika kukamilisha ujenzi wa Kituo cha Polisi Lizaboni, hatua inayolenga kuboresha huduma za kiusalama kwa wananchi wa eneo hilo.

 

Matangazo

  • TANGAZO LA LESENI ZA BIASHARA January 22, 2025
  • TANGAZO la usafi wa mazingira Jumamosi ya mwisho wa mwezi Septemba 2024 February 27, 2025
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • MBUNGE SONGEA MJINI AKABIDHI KOMPYUTA NA KUFADHILI UKARABATI WA OFISI ZA POLISI

    June 27, 2025
  • DC Songea bAzindua Dawati la Huduma za Ustawi wa Jamii Stendi ya Mabasi Songea

    June 24, 2025
  • Meya Mbano; Amewataka Wananchi Kulinda Haki za Watoto

    June 16, 2025
  • Meya wa Songea Atoa Wito kwa Familia Kuchangia Damu Kuokoa Maisha.

    June 14, 2025
  • Tazama zote

Video

Mbunge Akabidhi Kompyuta 6 na Kufadhili Ukarabati wa Ofisi za Polisi
Video Zaidi

Viungio vya Haraka

  • Ruvuma Region Website
  • Songea diistrict websites
  • Madaba District Council Website
  • Tunduru District Website
  • Namtumbo District Website
  • Nyasa District Website
  • Mbinga Town Council Website
  • Mbinga District Council Website
  • Songea Municipal face book

Tovuti Mashuhuri

  • Wizara ya Fedha
  • TAMISEMI
  • Wakala wa Serikali Mtandao
  • Utumishi
  • National Bureau of Statistics
  • Baraza la Mitihani Tanzania

Idadi ya Wasomaji Duniani

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

free HitCounter

Ramani ya Mahali

Wasiliana nasi

    SONGEA MUNICIPAL COUNCIL

    Anuani ya Posta: P O BOX 14, SONGEA

    Simu ya Mezani: 025 2602970

    Simu ya Kiganjani:

    Barua Pepe: info@songeamc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Falagha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani ya Mahali
    • Huduma

Hakimiliki ©2017 Halmashauri ya Manispaa ya Songea. Haki zote zimehifadhiwa