• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Songea Municipal Council
Songea Municipal Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa ya Songea

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Maendeleo ya Jamii Jinsia na Watoto
      • Planning,Statistics and Monitoring
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Elimu ya Msingi
      • Mazingira na Usafi
      • Maji
      • Afya
      • Elimu ya Sekondari
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Ujenzi
      • Fedha na Biashara
      • Arthi na Mipangomiji
    • Vitengo
      • Uchaguzi
      • Legal Services
      • Mawasiliano, Habari na Teknolojia
      • Ukaguzi wa ndani
      • Ugavi na Manunuzi
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma zetu
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi isiyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio

Mh. Diwani Kata ya Mjimwema Manispaa ya Songea kutatua kero za Wananchi Wake.

Tarehe ya kuwekwa: June 13th, 2021

Mheshimiwa  Diwani wa Kata ya Mjimwema Sylivester Mhagama amefanya ziara ya siku tano katika kata yake yenye jumla ya mitaa mitano kwa ajili ya  kusikiliza na kutatua kero mbalimbali zinazowakabili wananchi wa kata yake hususani  miundombinu ya barabara.

Ziara hiyo ilianza kufanyika tarehe 07/06/2021 na kuhitimishwa  tarehe 11/06/2021 katika uwanja wa ofisi ya kata ya Mjimwema,  akiwa ameambatana na Meneja wa  Wakala wa barabara za mjini na vijijini (TARURA) Manispaa ya Songea Daudi Sweke ambaye ametumia ziara hiyo kwa  kutoa elimu kwa wananchi kwa lengo la kuwajengea  uelewa wakutosha  wananchi kuhusiana na majukumu ya TARURA pamoja  na kupokea changamoto mbalimbali zinazojitokeza kwa wananchi kuhusiana na  miundombinu ya barabara.

Akizungumza wakati wa kikao hicho Meneja wa TARURA Manispaa ya Songea Daudi Sweke amesema kwamba jukumu lao kubwa ni kuhakikisha wanaboresha miundombinu ya barabara katika eneo la Manispaa ili wananchi waweze kuepuka  na changamoto zinazojitokeza katika utoaji wa huduma za usafiri hasa katika kipindi cha masika kutokana na ubovu wa miundombinu.

Sekwe amewataka wananchi kuacha kutupa taka  kwenye mifereji ya barabara za mitaa pamoja na kupanda miti kwenye maeneo ya barabara ili kuepuka usumbufu unaojitokeza wakati  unapofanyika uboreshaji wa barabara hizo kwa kuongezeka gharama kwa ajili ya kung’oa visiki vya miti iliyopandwa.

Aidha ametoa rai kwa  wananchi kuendelea  kutoa ushirikiano kwa wakandarasi  mara wanapotengeneza miundombinu ya barabara ili kuondoa malalamiko au migogoro ambayo inaweza kukwamisha wakati wa utekelezaji wa zoezi hilo.pia   amehaidi kufikia tarehe 30 ya mwezi Julai 2021 barabara zote zenye changamoto ambazo zimewasilishwa TARURA na Mheshimiwa Diwani Mhagama kata ya Mjimwema zitakuwa zimetengenezwa.’ Sekwe alieleza’ 

Katika kuhakikisha anafanya miradi mbalimbali ya maendeleo katika kata yake Mheshimiwa Diwani Mhagama ameandaa ligi ya mchezo wa mpira wa miguu kwaajili ya vijana wa Kata ya Mijmwema ‘Diwani Cup’ iliyozinduliwa rasmi na Mheshimiwa Mstahiki Meya wa Manispaa ya Songea Michael Mbano  huku mshindi wa kwanza akipewa zawadi ya Tshs. 200,000 pamoja na zawadi mbalimbali kwa mchezaji bora, golikipa bora na mfungaji bora.

IMEANDALIWA NA,

AMINA PILLY,

AFISA HABARI MANISPAA,

13.07.2021.

Matangazo

  • TANGAZO LA LESENI ZA BIASHARA January 22, 2025
  • TANGAZO la usafi wa mazingira Jumamosi ya mwisho wa mwezi Septemba 2024 February 27, 2025
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • TAKUKURU Mkoa wa Ruvuma Yafanikiwa Kurejesha Mil. 9.2, na Kudhibiti Mianya ya Rushwa.

    May 30, 2025
  • TAKUKURU Ruvuma Yawezesha kupatikana fedha za makusanyo Songea Dc

    May 30, 2025
  • ALAT Ruvuma na Baraza la Madiwani la Chalinze Watembelea Manispaa ya Iringa Kujifunza Ukusanyaji wa Mapato.

    May 29, 2025
  • ISMAIL ALI MKIMBIZA MWENGE KITAIFA ARIDHISHWA NA UTEKELEZAJI WA MIRADI

    May 15, 2025
  • Tazama zote

Video

ALAT RUVUMA ZIARANI IRINGA TC
Video Zaidi

Viungio vya Haraka

  • Ruvuma Region Website
  • Songea diistrict websites
  • Madaba District Council Website
  • Tunduru District Website
  • Namtumbo District Website
  • Nyasa District Website
  • Mbinga Town Council Website
  • Mbinga District Council Website
  • Songea Municipal face book

Tovuti Mashuhuri

  • Wizara ya Fedha
  • TAMISEMI
  • Wakala wa Serikali Mtandao
  • Utumishi
  • National Bureau of Statistics
  • Baraza la Mitihani Tanzania

Idadi ya Wasomaji Duniani

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

free HitCounter

Ramani ya Mahali

Wasiliana nasi

    SONGEA MUNICIPAL COUNCIL

    Anuani ya Posta: P O BOX 14, SONGEA

    Simu ya Mezani: 025 2602970

    Simu ya Kiganjani:

    Barua Pepe: info@songeamc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Falagha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani ya Mahali
    • Huduma

Hakimiliki ©2017 Halmashauri ya Manispaa ya Songea. Haki zote zimehifadhiwa