• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Songea Municipal Council
Songea Municipal Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa ya Songea

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Maendeleo ya Jamii Jinsia na Watoto
      • Planning,Statistics and Monitoring
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Elimu ya Msingi
      • Mazingira na Usafi
      • Maji
      • Afya
      • Elimu ya Sekondari
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Ujenzi
      • Fedha na Biashara
      • Arthi na Mipangomiji
    • Vitengo
      • Uchaguzi
      • Legal Services
      • Mawasiliano, Habari na Teknolojia
      • Ukaguzi wa ndani
      • Ugavi na Manunuzi
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma zetu
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi isiyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio

Mhe. Jenista Waziri wa Afya; Serikali yapambana kupunguza Maambukizi Mapya ya Virus vya Homa ya INI.

Tarehe ya kuwekwa: July 29th, 2025

Na; Amina Pilly.

Mheshimiwa Jenista Mhagama Waziri wa Afya, amekuwa Serikali ya awamu ya sita imejipanga kikamilifu katika kupambana na maambukizi mapya kwa kutoa chanjo bure ya homa ya INI aina ya B kwa watoto wachanga na walio chini ya miaka mitano (5), pia kwa watu wazima kwa gharama nafuu kupitia vituo vya afya sambamba na utoaji wa elimu na upimaji wa mara kwa mara.

Tamko hilo limetolewa siku ya maadhimisho ya siku ya Homa ya INI Duniani iliyofanyika tarehe 28 Julai 2025  Mkoani Ruvuma katika Ukumbi wa Songea Club ambayo yalihusisha viongozi mbalimbali ngazi ya Taifa, Mkoa, Wilaya,Halmashauri na wadau.

Alisema “ Katika kuelekea kutokomeza Homa ya INI ifikapo 2030 kama ilivyowekwa kwenye shirika la afya Duniani (WHO) serikali ya Tanzania kupitia Wizara ya Afya imesema itaendelea  kutoa huduma za matibabu bure kwa wagonjwa wa homa ya INI nchini.

Aliongeza kuwa, Kwa mujibu wa takwimu za mwaka 2022/2023, kiwango cha maambukizi ya homa ya INI aina ya B imeshuka kutoka 4% mwaka 2026/2017  hadi 3.5% ambapo mafanikio hayo yanaonesha kuwa vita dhidi ya ugonjwa huu unaoendelea kuzaa m,atunda, ambapo shirika la Afya Duniani WHO inakadiria kuwa na watu Mil. 254 wanaishi na homa ya INI aina ya B Duniani, pia zaidi ya Mil. 1.1 hupoteza maisha kila mwaka kutokana na ugonjwa huo. “Alisema.”


Akizungumnza Mkuu wa Mkoa wa Ruvuma Kanali. Ahmed Abbas Ahmed alisema watu 24,000 wameathika na homa ya INI kwa mujibu wa utafiti wa kitaifa  uliofanyika mwaka 2022/2023 kiwango cha maambukizi ya homa ya INI wenye umri wa miaka 15 ni asilimia 2.0 sawa na watu wawili katika kila watu 100  wakiwemo wanaumeme 17,000 na wanawake 7000.

Kanali Ahmed alianza kwa kupongeza Serikali ya wamu ya sita kwa kazi nzuri inayofanywa ambapo Mkoa wa Ruvuma umepokea vifaa tiba,imepata miundombinu ya kisasa, pamoja huduma ya madaktari bingwa. “ Alisema”

Alisema lengo la maadhimisho hayo ni kutoa elimu zaidi kwa wananchi kuhusu vyanzo hatarishi vya maambukizi ya homa ya INI ili kuongeza kasi na kupunguza maambukizi mapya yatokanayo na ugonjwa huo.

MWISHO. 

Matangazo

  • TANGAZO LA LESENI ZA BIASHARA July 08, 2025
  • TANGAZO la usafi wa mazingira Jumamosi ya mwisho wa mwezi Septemba 2024 July 04, 2025
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • Dkt. Samia Awasili Ruvuma.

    July 30, 2025
  • Mhe. Jenista Waziri wa Afya; Serikali yapambana kupunguza Maambukizi Mapya ya Virus vya Homa ya INI.

    July 29, 2025
  • Songea MC Yadhamiria Kuboresha Lishe na Kuondoa Udumavu

    July 25, 2025
  • Songea MC - Yaibuka na Ushindi katika Mechi ya Kirafiki Dhidi ya Namtumbo.

    July 24, 2025
  • Tazama zote

Video

Dkt. Samia Akiwasili Songea
Video Zaidi

Viungio vya Haraka

  • Ruvuma Region Website
  • Songea diistrict websites
  • Madaba District Council Website
  • Tunduru District Website
  • Namtumbo District Website
  • Nyasa District Website
  • Mbinga Town Council Website
  • Mbinga District Council Website
  • Songea Municipal face book

Tovuti Mashuhuri

  • Wizara ya Fedha
  • TAMISEMI
  • Wakala wa Serikali Mtandao
  • Utumishi
  • National Bureau of Statistics
  • Baraza la Mitihani Tanzania

Idadi ya Wasomaji Duniani

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

free HitCounter

Ramani ya Mahali

Wasiliana nasi

    SONGEA MUNICIPAL COUNCIL

    Anuani ya Posta: P O BOX 14, SONGEA

    Simu ya Mezani: 025 2602970

    Simu ya Kiganjani:

    Barua Pepe: info@songeamc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Falagha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani ya Mahali
    • Huduma

Hakimiliki ©2017 Halmashauri ya Manispaa ya Songea. Haki zote zimehifadhiwa