• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Songea Municipal Council
Songea Municipal Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa ya Songea

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Maendeleo ya Jamii Jinsia na Watoto
      • Planning,Statistics and Monitoring
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Elimu ya Msingi
      • Mazingira na Usafi
      • Maji
      • Afya
      • Elimu ya Sekondari
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Ujenzi
      • Fedha na Biashara
      • Arthi na Mipangomiji
    • Vitengo
      • Uchaguzi
      • Legal Services
      • Mawasiliano, Habari na Teknolojia
      • Ukaguzi wa ndani
      • Ugavi na Manunuzi
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma zetu
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi isiyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio

MIL 334 ZATUMIKA KUJENGA BARABARA YA LAMI NYEPESI TUNDURU JCT-SEEDFARM IKIWA NI UTEKELEZAJI WA ILANI YA CCM

Tarehe ya kuwekwa: July 9th, 2020

Mwenyekiti wa CCM mkoa Oddo Mwisho ameongoza ziara ya kamati ya Siasa Mkoa wa Ruvuma na kufanikiwa kutembelea Miradi Mbalimbali Manispaa ya Songea ikiwa ni utekelezaji wa ILANI ya chama cha Mapinduzi “CCM” iliyofanyika 08/07/2020.

 Oddo akiwakilishwa na mjumbe wa Kamati kuu CCM Taifa Mussa Homera ambaye  alianza kwa kumpongeza Mkurugenzi wa Manispaa ya Songea Tina Sekambo kwa usimamamizi mzuri wa Mradi wa Barabara ambayo imetekelezwa kwa kiwango kizuri na kwa wakati.

 Alisema  Pamoja na usimamizi mzuri wa Miradi Manispaa ya Songea, alimsisitiza Mkurugenzi huyo kuendelea kutengeneza barabara chakavu na zenye  vumbi zilizopo katikati ya Mji ili kutekeleza mkakati wa  “Ondoa Vumbi mjini“.

 Alibainisha kuwa Miongoni mwa barabara muhimu iliyokuwa inahitaji matengenezo ya haraka  kati ya Barabara zilizopo Manispaa ya Songea ni pamoja na barabara ya Tunduru JCT-SEEDFARM ambayo mara nyingi hutumika kupita  wananchi na Wageni mbalimbali wakielekea kwenye nyumba za kulala Wageni/Hotel.”

Naye Maneja Tarura Manispaa ya Songea Eng Boniface Makiya alisema ujenzi wa Barabara ya Tunduru JCT-Seedfarm km. 0.75 ulianza rasmi 28/01/2020 na umekamilika 27/05/2020 ambao umegharimu jumla ya Tsh 334,038,500/= fedha kutoka  Serikalini.  

Eng. Makiya alifafanua kuwa  mradi huo umejengwa na Mkandarasi Eima General Supplies LTD wa Songea ambapo  ulihusisha kuchonga  barabara na kushindilia, kuweka tabaka za changarawe, kuweka tabaka za Lami, pamoja na ujenzi wa mitaro ya zege ya maji ya mvua, Drift na karavati. Aliongeza kuwa Serikali imeleta fedha nyingine kwa ajili ya kuongeza Mita 500 za barabara ambazo zitatangazwa mwezi july 2020.

IMENDALIWA NA;

 AMINA PILLY

 KAIMU AFISA HABARI-MANISPAA YA SONGEA.

09/07/2020.

Matangazo

  • TANGAZO LA LESENI ZA BIASHARA January 22, 2025
  • TANGAZO la usafi wa mazingira Jumamosi ya mwisho wa mwezi Septemba 2024 February 27, 2025
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • TAKUKURU Mkoa wa Ruvuma Yafanikiwa Kurejesha Mil. 9.2, na Kudhibiti Mianya ya Rushwa.

    May 30, 2025
  • TAKUKURU Ruvuma Yawezesha kupatikana fedha za makusanyo Songea Dc

    May 30, 2025
  • ALAT Ruvuma na Baraza la Madiwani la Chalinze Watembelea Manispaa ya Iringa Kujifunza Ukusanyaji wa Mapato.

    May 29, 2025
  • ISMAIL ALI MKIMBIZA MWENGE KITAIFA ARIDHISHWA NA UTEKELEZAJI WA MIRADI

    May 15, 2025
  • Tazama zote

Video

ALAT RUVUMA ZIARANI IRINGA TC
Video Zaidi

Viungio vya Haraka

  • Ruvuma Region Website
  • Songea diistrict websites
  • Madaba District Council Website
  • Tunduru District Website
  • Namtumbo District Website
  • Nyasa District Website
  • Mbinga Town Council Website
  • Mbinga District Council Website
  • Songea Municipal face book

Tovuti Mashuhuri

  • Wizara ya Fedha
  • TAMISEMI
  • Wakala wa Serikali Mtandao
  • Utumishi
  • National Bureau of Statistics
  • Baraza la Mitihani Tanzania

Idadi ya Wasomaji Duniani

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

free HitCounter

Ramani ya Mahali

Wasiliana nasi

    SONGEA MUNICIPAL COUNCIL

    Anuani ya Posta: P O BOX 14, SONGEA

    Simu ya Mezani: 025 2602970

    Simu ya Kiganjani:

    Barua Pepe: info@songeamc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Falagha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani ya Mahali
    • Huduma

Hakimiliki ©2017 Halmashauri ya Manispaa ya Songea. Haki zote zimehifadhiwa