• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Songea Municipal Council
Songea Municipal Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa ya Songea

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Maendeleo ya Jamii Jinsia na Watoto
      • Planning,Statistics and Monitoring
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Elimu ya Msingi
      • Mazingira na Usafi
      • Maji
      • Afya
      • Elimu ya Sekondari
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Ujenzi
      • Fedha na Biashara
      • Arthi na Mipangomiji
    • Vitengo
      • Uchaguzi
      • Legal Services
      • Mawasiliano, Habari na Teknolojia
      • Ukaguzi wa ndani
      • Ugavi na Manunuzi
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma zetu
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi isiyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio

MIL 51 ZANUFAISHA VIKUNDI VYA WAJASILIAMALI KWA KUPATA MIKOPO ISIYO NA RIBA, MANISPAA YA SONGEA.

Tarehe ya kuwekwa: July 10th, 2020

Mikopo hiyo imetolewa  jana 09/07/2020  kwa wajasiliamali wadogo wadogo,  iliyofanyika  katika ukumbi wa  Manispaa ya Songea.

Mgeni rasmi katika zoezi hilo  alikuwa Mkuu wa Wilaya ya Songea Pololet Kamando Mgema ambaye aliwakilishwa na  Afisa Tarafa Madaba Showin Mapunda.

Mapunda alisema “Manispaa ya Songea imetoa Mikopo kwa vikundi 28 vya wajasiliamali Wanawake, Vijana, na Wenye ulemavu jumla ya Tsh 51,020,000/= ikiwa ni sehemu ya makusanyo ya Mapato ya ndani ya Manispaa ya Songea kwa mgawanyo wa wanawake 4%, Vijana 4%, na Walemavu 2% sawa na 10%.

Alianza kwa kuipongeza Halmashauri ya Manispaa ya Songea kwa jitihada nzuri za utoaji wa Mikopo  kwa makundi Maalmu ikiwa ni sehemu ya utekelezaji wa maagizo ya Serikali  ya awamu ya tano.

Alisema madhumuni na Shabaha kuu ya kuundwa kwa Vikundi hivi ni kujenga umoja katika utendaji wa Kazi na kudhaminiana ili kuwa na mafanikio ya haraka katika jamii.Hata hivyo aliwaasa wajasiliamali hao kutumia vizuri Mikopo hiyo ili iweze kuwasaidia kukuza mitaji yao   pamoja na Kipato cha Familia.

Alisema,  sifa nzuri ya mkopaji ni  kufanya marejesho kwa wakati ili waweze kukopesheka mara wanapohitaji mikopo.  Aliongeza kuwa kutorejesha fedha kwa wakati ni kudidimiza uchumi wa Taifa kwa ujumla.  Mikopo hiyo itaendelea kutolewa kila mwezi na bila riba yoyote.

IMEANDALIWA NA;

AMINA PILLY;

KAIMU AFISA HABARI- MANISPAA YA SONGEA.

10.07.2020

Matangazo

  • TANGAZO LA LESENI ZA BIASHARA January 22, 2025
  • TANGAZO la usafi wa mazingira Jumamosi ya mwisho wa mwezi Septemba 2024 February 27, 2025
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • TAKUKURU Mkoa wa Ruvuma Yafanikiwa Kurejesha Mil. 9.2, na Kudhibiti Mianya ya Rushwa.

    May 30, 2025
  • TAKUKURU Ruvuma Yawezesha kupatikana fedha za makusanyo Songea Dc

    May 30, 2025
  • ALAT Ruvuma na Baraza la Madiwani la Chalinze Watembelea Manispaa ya Iringa Kujifunza Ukusanyaji wa Mapato.

    May 29, 2025
  • ISMAIL ALI MKIMBIZA MWENGE KITAIFA ARIDHISHWA NA UTEKELEZAJI WA MIRADI

    May 15, 2025
  • Tazama zote

Video

ALAT RUVUMA ZIARANI IRINGA TC
Video Zaidi

Viungio vya Haraka

  • Ruvuma Region Website
  • Songea diistrict websites
  • Madaba District Council Website
  • Tunduru District Website
  • Namtumbo District Website
  • Nyasa District Website
  • Mbinga Town Council Website
  • Mbinga District Council Website
  • Songea Municipal face book

Tovuti Mashuhuri

  • Wizara ya Fedha
  • TAMISEMI
  • Wakala wa Serikali Mtandao
  • Utumishi
  • National Bureau of Statistics
  • Baraza la Mitihani Tanzania

Idadi ya Wasomaji Duniani

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

free HitCounter

Ramani ya Mahali

Wasiliana nasi

    SONGEA MUNICIPAL COUNCIL

    Anuani ya Posta: P O BOX 14, SONGEA

    Simu ya Mezani: 025 2602970

    Simu ya Kiganjani:

    Barua Pepe: info@songeamc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Falagha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani ya Mahali
    • Huduma

Hakimiliki ©2017 Halmashauri ya Manispaa ya Songea. Haki zote zimehifadhiwa