• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Songea Municipal Council
Songea Municipal Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa ya Songea

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Maendeleo ya Jamii Jinsia na Watoto
      • Planning,Statistics and Monitoring
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Elimu ya Msingi
      • Mazingira na Usafi
      • Maji
      • Afya
      • Elimu ya Sekondari
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Ujenzi
      • Fedha na Biashara
      • Arthi na Mipangomiji
    • Vitengo
      • Uchaguzi
      • Legal Services
      • Mawasiliano, Habari na Teknolojia
      • Ukaguzi wa ndani
      • Ugavi na Manunuzi
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma zetu
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi isiyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio

MILIONI 150 KUKARABATI SHULE YA WASIOONA

Tarehe ya kuwekwa: September 25th, 2017

MILIONI 150 KUKARABATI SHULE YA WASIOONA 

HALMASHAURI ya Manispaa ya Songea mkoani Ruvuma imepokea zaidi ya sh.milioni 151 toka TAMISEMI kwa ajili ya ujenzi na ukarabati wa shule ya msingi ya wasioona Luhira.

Mradi huo unahusisha ujenzi wa mabweni matatu,vyoo vya ndani ya mabweni hayo vya matundu 18,shimo la choo na ukarabati wa darasa moja na kuezeka madarasa mawili.

Mradi huo ambao mkandarasi wake ni Wakala wa Majengo Tanzania(Tanzania Buldings Agency) ulianza Aprili 20,2017 na unatarajia kumalizika Oktoba 20 mwaka huu.

Shule ya msingi Luhira ina wanafunzi mchanganyiko  wanaoona  na wasioona.Kulingana na mwalimu mkuu msaidizi wa shule hiyo Gisbert Ndunguru jumla ya wanafunzi wanaoona ni 1411 kati yao wasichana 672 na wanaume 739.

Shule hiyo ina kitengo ajili ya  watoto wasioona nchini ambacho kilianzishwa mwaka 1982,hata hivyo shule ya msingi Luhira ni miongoni mwa shule kongwe nchini ilianzishwa mwaka 1929,Waziri Mkuu wa kwanza wa Tanzania hayati Rashid Kawawa amepata elimu yake ya msingi katika shule hiyo.

Mkuu wa kitengo cha wanafunzi wasioona Luhira ambaye pia ni mlemavu wa macho  Salum Hapendeki anasema kitengo hicho kina wanafunzi 44 wasioona kati yao wavulana ni 19 na wasichana ni 25 na kwamba uwezo wa kitengo hicho ni kuchukua wanafunzi wasioona 60.

Afisa Elimu Maalum katika Manispaa ya Songea Rehema Nyagawa anasema shule hiyo kwa muda mrefu imekuwa inakabiliwa na upungufu wa matundu ya vyoo hali ambayo inasababisha watoto wa kiume kujisaidia choo kimoja na walimu,shule ina majengo chakavu ambayo ni mabweni,jiko na bwalo la chakula na uchakavu wa magodoro na vitanda.

 Hata hivyo Nyagawa anaipongeza serikali kwa mradi wa mabweni na matundu ya vyoo ambao utapunguza changamoto hiyo ambayo ilikuwa kero kwa wanafunzi wasioona na kuathiri taaluma.

Matangazo

  • TANGAZO LA LESENI ZA BIASHARA January 22, 2025
  • TANGAZO la usafi wa mazingira Jumamosi ya mwisho wa mwezi Septemba 2024 February 27, 2025
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • TAKUKURU Mkoa wa Ruvuma Yafanikiwa Kurejesha Mil. 9.2, na Kudhibiti Mianya ya Rushwa.

    May 30, 2025
  • TAKUKURU Ruvuma Yawezesha kupatikana fedha za makusanyo Songea Dc

    May 30, 2025
  • ALAT Ruvuma na Baraza la Madiwani la Chalinze Watembelea Manispaa ya Iringa Kujifunza Ukusanyaji wa Mapato.

    May 29, 2025
  • ISMAIL ALI MKIMBIZA MWENGE KITAIFA ARIDHISHWA NA UTEKELEZAJI WA MIRADI

    May 15, 2025
  • Tazama zote

Video

ALAT RUVUMA ZIARANI IRINGA TC
Video Zaidi

Viungio vya Haraka

  • Ruvuma Region Website
  • Songea diistrict websites
  • Madaba District Council Website
  • Tunduru District Website
  • Namtumbo District Website
  • Nyasa District Website
  • Mbinga Town Council Website
  • Mbinga District Council Website
  • Songea Municipal face book

Tovuti Mashuhuri

  • Wizara ya Fedha
  • TAMISEMI
  • Wakala wa Serikali Mtandao
  • Utumishi
  • National Bureau of Statistics
  • Baraza la Mitihani Tanzania

Idadi ya Wasomaji Duniani

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

free HitCounter

Ramani ya Mahali

Wasiliana nasi

    SONGEA MUNICIPAL COUNCIL

    Anuani ya Posta: P O BOX 14, SONGEA

    Simu ya Mezani: 025 2602970

    Simu ya Kiganjani:

    Barua Pepe: info@songeamc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Falagha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani ya Mahali
    • Huduma

Hakimiliki ©2017 Halmashauri ya Manispaa ya Songea. Haki zote zimehifadhiwa