• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Songea Municipal Council
Songea Municipal Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa ya Songea

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Maendeleo ya Jamii Jinsia na Watoto
      • Planning,Statistics and Monitoring
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Elimu ya Msingi
      • Mazingira na Usafi
      • Maji
      • Afya
      • Elimu ya Sekondari
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Ujenzi
      • Fedha na Biashara
      • Arthi na Mipangomiji
    • Vitengo
      • Uchaguzi
      • Legal Services
      • Mawasiliano, Habari na Teknolojia
      • Ukaguzi wa ndani
      • Ugavi na Manunuzi
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma zetu
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi isiyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio

MKURUGENZI MANISPAA YA SONGEA KUSAINI MKATABA WA LISHE.

Tarehe ya kuwekwa: October 26th, 2022

Mkuu wa Wilaya Songea Pololet Kamando Mgema amekabidhi  Mkataba wa lishe kwa Mkurugenzi wa Manispaa ya Songea, mkataba  ambao umesainiwa  pande kuu mbili kati ya Mkuu wa Wilaya na Mkurugenzi wa Halmashauri ya Manispaa ya Songea Mkataba  ambao utatekelezwa kwa muda wa miaka nane 8 kuanzia tarehe 01 Julai 2022 hadi tarehe 30 Juni 2030.

Kulingana na malengo na shabaha zilizoainishwa  katika mikakati ya kitaifa ya muda mfupi, muda wa kati pamoja na muda mrefu ambayo nisehemu ya  utekelezaji  wa Dira ya Taifa ya Maendeleo ya mwaka 2025, mpango wa maendeleo wa Taifa wa mwiaka mitano 5 pamoja na Ilani ya Uchaguzi ya Chama Tawala na Sera mbambali za nchi.

Utapiamlo unasababishwa na lishe duni, maradhi ya maramara, huduma hafifu za malezi na makuzi ya awali ya watoto  wadogo, vifo na maendeleo ya akili kwa watoto ambapo katika kukabiliana na changamoto hiyo Serikali imeweka mpango madhubuti wa kuhakikisha kila Halmshauri, kata, na mtaa inasaini mkataba kwa lengo  la kuleta mabadiliko katika kuboresha  hali ya lishe ngazi ya jamii.


Aidha, zoezi la kusaini  Mkataba wa lishe kwa Manispaa ya Songea limetekelezwa  jana tarehe 25 Oktoba 2022 lililofanyika katika ofisi ya Mkuu wa Wilaya ya Songea kwa lengo la kufanikisha suala la kuboresha hali ya lishe na kupunguza athari za utapiamlo katika Halmshauri, Kata na Mtaa na kuhakikisha kila mtendaji anasimamia ipasavyo utekelezaji wa afua za lishe.

Akizungumza na Maafisa watendaji kata, Pololet alisema “kila afisa mtendaji kata na mtaa ahakikishe anasimamia  vigezo vya upimaji na vipaumbele vya kata kwa kila mwaka ambavyo ni pamoja na upatikanaji wa wa taarifa za hali ya lishe kwa watoto chini ya miaka mitano, kufanya ufuatiliaji wa watoto  walioacha matibabu ya utapiamlo kwa kushirikiana na watoa huduma za afya ngazi yajamii.” Alisisitiza.

Kwa upande wake Mkurugenzi wa Halmashauri ya Manispaa ya Songea Dkt. Frederick Sagamiko amewataka wataalamu wa afya na maafisa watendaji kata na Mitaa kuhakikisha wanatekeleza mpango kazi  wa utekelezaji wa lishe ambao utawezesha kutatua changamoto za watoto wenye utapiamlo mkali kwa kuwatembelea kwenye kaya zao kwa lengo la kutoa elimu na kupata taarifa halisi za  walengwa.

Naye afisa lishe Manispaa ya Songea Frolentine  kisaka amesema hali halisi ya utapiamlo mkali 0.2%, uzito uliozidi kwa watoto  ni 2.5%, watoto waliozaliwa na uzito chini ya 2.5kg ni 6.5%, upungufu wa damu (anemia) kwa wajawazito 1.6%.

AMINA PILLY.

KITENGO CHA MAWASILIANO SERIKALINI


Matangazo

  • TANGAZO LA LESENI ZA BIASHARA January 22, 2025
  • TANGAZO la usafi wa mazingira Jumamosi ya mwisho wa mwezi Septemba 2024 February 27, 2025
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • TAKUKURU Mkoa wa Ruvuma Yafanikiwa Kurejesha Mil. 9.2, na Kudhibiti Mianya ya Rushwa.

    May 30, 2025
  • TAKUKURU Ruvuma Yawezesha kupatikana fedha za makusanyo Songea Dc

    May 30, 2025
  • ALAT Ruvuma na Baraza la Madiwani la Chalinze Watembelea Manispaa ya Iringa Kujifunza Ukusanyaji wa Mapato.

    May 29, 2025
  • ISMAIL ALI MKIMBIZA MWENGE KITAIFA ARIDHISHWA NA UTEKELEZAJI WA MIRADI

    May 15, 2025
  • Tazama zote

Video

ALAT RUVUMA ZIARANI IRINGA TC
Video Zaidi

Viungio vya Haraka

  • Ruvuma Region Website
  • Songea diistrict websites
  • Madaba District Council Website
  • Tunduru District Website
  • Namtumbo District Website
  • Nyasa District Website
  • Mbinga Town Council Website
  • Mbinga District Council Website
  • Songea Municipal face book

Tovuti Mashuhuri

  • Wizara ya Fedha
  • TAMISEMI
  • Wakala wa Serikali Mtandao
  • Utumishi
  • National Bureau of Statistics
  • Baraza la Mitihani Tanzania

Idadi ya Wasomaji Duniani

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

free HitCounter

Ramani ya Mahali

Wasiliana nasi

    SONGEA MUNICIPAL COUNCIL

    Anuani ya Posta: P O BOX 14, SONGEA

    Simu ya Mezani: 025 2602970

    Simu ya Kiganjani:

    Barua Pepe: info@songeamc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Falagha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani ya Mahali
    • Huduma

Hakimiliki ©2017 Halmashauri ya Manispaa ya Songea. Haki zote zimehifadhiwa