• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Songea Municipal Council
Songea Municipal Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa ya Songea

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Maendeleo ya Jamii Jinsia na Watoto
      • Planning,Statistics and Monitoring
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Elimu ya Msingi
      • Mazingira na Usafi
      • Maji
      • Afya
      • Elimu ya Sekondari
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Ujenzi
      • Fedha na Biashara
      • Arthi na Mipangomiji
    • Vitengo
      • Uchaguzi
      • Legal Services
      • Mawasiliano, Habari na Teknolojia
      • Ukaguzi wa ndani
      • Ugavi na Manunuzi
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma zetu
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi isiyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio

Mkurugenzi Manispaa ya Songea Amewataka Wataalam Kada ya Afya, Uwajibikaji

Tarehe ya kuwekwa: September 12th, 2025

Na; Amina Pilly 

Mkurugenzi wa Manispaa ya Songea, Wakili Bashir Muhoja, amekutana na watumishi wa kada ya afya katika kikao cha mwaka kilichofanyika katika ukumbi wa Songea Club.ambapo Kikao hicho kililenga kusikiliza kero na changamoto zinazowakabili watumishi wa sekta ya afya katika Manispaa ya Songea.

Katika hotuba yake, Wakili Muhoja aliwapongeza watumishi hao kwa kazi kubwa na ya kujitolea wanayoifanya katika vituo vya kutolea huduma za afya, licha ya changamoto ya uhaba wa watumishi. Ambapo aliwahimiza kuendelea kutekeleza majukumu yao kwa uadilifu na kuzingatia misingi ya kazi, ili kuhakikisha wananchi wanapata huduma bora.

Mkurugenzi pia alitoa wito kwa watumishi hao kuweka bajeti ya pamoja ya ununuzi wa vitendea kazi, hatua itakayosaidia kurahisisha upatikanaji wa vifaa kwa wakati na hivyo kuboresha utoaji wa huduma.

Aliahidi kuboresha miundombinu ya vituo vya afya katika manispaa hiyo, ikiwemo Hospitali ya Manispaa, Kituo cha Afya Mjimwema, Ruvuma, Msamala pamoja na kitengo cha Ustawi wa Jamii.

Katika kikao hicho, alielezea hali ya sekta ya afya katika Manispaa ya Songea ambapo hadi sasa kuna jumla ya watumishi 385 kati ya mahitaji ya watumishi 912, Aidha, kuna zahanati 42, kliniki 10, vituo vya afya 9 pamoja na hospitali moja ya manispaa hali hii imekuwa changamoto katika utoaji wa huduma hasa kutokana na upungufu wa watumishi katika vitengo mbalimbali.

Kwa upande wake, Afisa Yahaya kutoka Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (TAKUKURU) aliwahimiza watumishi wa afya kuepuka vitendo vya rushwa na kuzingatia maadili ya kazi. Alisisitiza kuwa mapambano dhidi ya rushwa ni jukumu la kila mmoja na kuwa watumishi wanapaswa kutekeleza majukumu yao kwa uadilifu.

“Kuzuia rushwa ni jukumu langu na lako, tutimize majukumu yetu,” alisema Yahaya.

Kaimu Afisa Utumishi wa Manispaa ya Songea, Bi. Lilian Sanga, aliwahimiza watumishi kutoa huduma bila upendeleo, kuepuka vitendo vya rushwa na kuwa na nidhamu ya kazi. Aliwakumbusha kuwa huduma ya afya ni huduma nyeti inayohitaji uadilifu mkubwa.

Aidha, Meneja wa Mfuko wa Hifadhi ya Jamii (PSSSF), Bw. Edwin Msavangwa, alitoa elimu kuhusu kazi za mfuko huo, ikiwemo kuwatambua wanachama, kukusanya michango yao, kuhifadhi na kuwalipa mafao kwa wakati.

Kikao hicho pia kilihudhuriwa na viongozi wa vyama vya wafanyakazi kutoka TUGHE na TALGWU, pamoja na wanasaikolojia waliotoa elimu kuhusu afya ya akili. Washiriki walipata nafasi ya kuuliza maswali na kutoa maoni yao kuhusu namna bora ya kuboresha huduma za afya ndani ya Manispaa ya Songea.

Mwisho.

Matangazo

  • TANGAZO LA LESENI ZA BIASHARA January 05, 2026
  • TANGAZO la usafi wa mazingira Jumamosi ya mwisho wa mwezi Januari 2026 January 19, 2026
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • Kapenjama Ndile, Atoa Ufafanuzi Kuhusu Bei ya Bei ya Mbolea, Atoa Rai Matumizi ya Nishati Mbadala.

    February 18, 2026
  • Kapenjama Ndile, Atoa Ufafanuzi Kuhusu Bei ya Bei ya Mbolea, Atoa Rai Matumizi ya Nishati Mbadala.

    February 18, 2026
  • Mtella Apongeza Mafanikio ya Mkataba wa Lishe Songea MC; Aelekeza Bima ya Afya kuwa Ajenda ya Kudumu

    February 11, 2026
  • Mtella Apongeza Mafanikio ya Mkataba wa Lishe Songea MC; Aelekeza Bima ya Afya kuwa Ajenda ya Kudumu

    February 11, 2026
  • Tazama zote

Video

Yaliyojiri Kikao cha DCC Songea
Video Zaidi

Viungio vya Haraka

  • Ruvuma Region Website
  • Songea diistrict websites
  • Madaba District Council Website
  • Tunduru District Website
  • Namtumbo District Website
  • Nyasa District Website
  • Mbinga Town Council Website
  • Mbinga District Council Website
  • Songea Municipal face book

Tovuti Mashuhuri

  • Wizara ya Fedha
  • TAMISEMI
  • Wakala wa Serikali Mtandao
  • Utumishi
  • National Bureau of Statistics
  • Baraza la Mitihani Tanzania

Idadi ya Wasomaji Duniani

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

free HitCounter

Ramani ya Mahali

Wasiliana nasi

    SONGEA MUNICIPAL COUNCIL

    Anuani ya Posta: P O BOX 14, SONGEA

    Simu ya Mezani: 025 2602970

    Simu ya Kiganjani:

    Barua Pepe: info@songeamc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Falagha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani ya Mahali
    • Huduma

Hakimiliki ©2017 Halmashauri ya Manispaa ya Songea. Haki zote zimehifadhiwa

  • Situs Toto
  • Situs Slot Gacor
  • AXL777
  • Situs Toto
  • AERO88
  • Situs Slot Gacor
  • DORA77
  • DORA77
  • DORA77
  • Toto Togel
  • Slot Gacor
  • AXL777
  • AERO88
  • Situs Slot
  • Situs Slot Gacor
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Judi Online
  • KOI200
  • KOI200
  • Toto Slot
  • Toto Slot
  • Toto Slot
  • DORA77
  • Situs Toto Slot
  • Situs Toto Slot
  • Situs Toto
  • Situs Toto Slot
  • AXL777
  • toto slot
  • AXL777
  • AXL777
  • AXL777
  • Slot Gacor
  • Slot Gacor
  • Slot Gacor
  • Slot Gacor
  • Slot Gacor
  • Slot Gacor
  • Slot Gacor
  • Slot Gacor
  • Slot Gacor
  • Situs Toto
  • toto
  • slot gacor
  • ufabet
  • ufabet
  • ufabet
  • situs toto
  • KOI200
  • KOI200
  • KOI200
  • KOI200
  • AXL777
  • AXL777
  • AXL777
  • AXL777
  • Situs Toto
  • KOI200
  • Toto Slot Gacor
  • AERO88 Slot Gacor
  • Slot Gacor
  • Slot Gacor
  • AERO88
  • Situs Toto
  • situs toto
  • slot gacor
  • situs toto
  • yamitoto
  • kudetabet98
  • kudetabet98
  • yamitoto
  • toto slot
  • koi200
  • aero88
  • yamitoto
  • situs toto
  • dora77
  • slot gacor
  • aero88
  • aero88
  • dora77
  • dora77
  • slot gacor
  • situs toto
  • axl777
  • yamitoto
  • axl777
  • axl777
  • axl777
  • axl777
  • axl777
  • axl777
  • yamitoto
  • axl777
  • aero88
  • dora77
  • yamitoto
  • dora77
  • slot gacor
  • aero88
  • aero88
  • axl777
  • toto slot
  • axl777
  • slot777
  • yamitoto
  • yamitoto
  • axl777
  • AXL777
  • yamitoto
  • DORA77