• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Songea Municipal Council
Songea Municipal Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa ya Songea

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Maendeleo ya Jamii Jinsia na Watoto
      • Planning,Statistics and Monitoring
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Elimu ya Msingi
      • Mazingira na Usafi
      • Maji
      • Afya
      • Elimu ya Sekondari
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Ujenzi
      • Fedha na Biashara
      • Arthi na Mipangomiji
    • Vitengo
      • Uchaguzi
      • Legal Services
      • Mawasiliano, Habari na Teknolojia
      • Ukaguzi wa ndani
      • Ugavi na Manunuzi
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma zetu
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi isiyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio

MKURUGENZI WA MANISPAA YA SONGEA AMEWATAKA WAKUU WA SHULE KUKAMILISHA MIRADI IFIKAPO 15/12/2021.

Tarehe ya kuwekwa: October 28th, 2021

Na,

AMINA PILLY,

AFISA HABARI MANISPAA.

28.10.2021

Mkurugenzi wa Manispaa ya Songea Dkt. Frederick Sagamiko amewataka wakuu wa shule kusimamia vizuri  miradi ya maendeleo ambayo ni utekelezaji wa Mpango wa maendeleo  ya Taifa na mapambano dhidi ya UVIKO – 19, Fedha kutoka Serikali kuu chini ya uongozi wa Mheshimiwa Rais wa Jamhuri ya muuungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan kiasi cha Shilingi 660,000,000 .

 Dkt.Sagamiko ametoa rai hiyo katika kikao kazi kilichoshirikisha Wafanyabiashara mbalimbali wa vifaa vya ujenzi, Wakuu wa shule, pamoja na wataalamu mbalimbali kilichofanyika leo katika ukumbi wa Manispaa ya Songea kwa lengo la kutoa maelekezo kwa wasimamizi wa miradi ya ujenzi pamoja na kuwaunganisha na wafanyabiashara ili kurahisisha usambazaji wa vifaa vya ujenzi kwa wakati na kwa kufuata utaratibu wa manunuzi ya fedha za Serikali.

Alisema miradi yote inatakiwa kukamilika mara ifikapo tarehe 15 disemba 2021 ambapo amesisitiza kila msimamizi wa mradi wanatakiwa kufanyakazi kwa kufuata miongozo na taratibu ziliwekwa kwa kuzingatia uwazi, ushirikishwaji na uwajibikaji.

Kwa upande wa wafanyabiashara wametoa maoni yao kwa kumpongeza Mkurugenzi wa Manispaa ya Songea kwa kuweka utaratibu mzuri ambao umewafanya wajenge mahusiano bora na wasimamizi wa miradi na wamemhakikishia kuwa watatoa huduma hizo kwa kufuata taratibu za manunuzi ya bidhaa za Serikali ikiwemo na kusambaza vifaa kwenye miradi kwa wakati.

Mwisho.

Matangazo

  • TANGAZO LA LESENI ZA BIASHARA January 22, 2025
  • TANGAZO la usafi wa mazingira Jumamosi ya mwisho wa mwezi Septemba 2024 February 27, 2025
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • TAKUKURU Mkoa wa Ruvuma Yafanikiwa Kurejesha Mil. 9.2, na Kudhibiti Mianya ya Rushwa.

    May 30, 2025
  • TAKUKURU Ruvuma Yawezesha kupatikana fedha za makusanyo Songea Dc

    May 30, 2025
  • ALAT Ruvuma na Baraza la Madiwani la Chalinze Watembelea Manispaa ya Iringa Kujifunza Ukusanyaji wa Mapato.

    May 29, 2025
  • ISMAIL ALI MKIMBIZA MWENGE KITAIFA ARIDHISHWA NA UTEKELEZAJI WA MIRADI

    May 15, 2025
  • Tazama zote

Video

ALAT RUVUMA ZIARANI IRINGA TC
Video Zaidi

Viungio vya Haraka

  • Ruvuma Region Website
  • Songea diistrict websites
  • Madaba District Council Website
  • Tunduru District Website
  • Namtumbo District Website
  • Nyasa District Website
  • Mbinga Town Council Website
  • Mbinga District Council Website
  • Songea Municipal face book

Tovuti Mashuhuri

  • Wizara ya Fedha
  • TAMISEMI
  • Wakala wa Serikali Mtandao
  • Utumishi
  • National Bureau of Statistics
  • Baraza la Mitihani Tanzania

Idadi ya Wasomaji Duniani

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

free HitCounter

Ramani ya Mahali

Wasiliana nasi

    SONGEA MUNICIPAL COUNCIL

    Anuani ya Posta: P O BOX 14, SONGEA

    Simu ya Mezani: 025 2602970

    Simu ya Kiganjani:

    Barua Pepe: info@songeamc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Falagha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani ya Mahali
    • Huduma

Hakimiliki ©2017 Halmashauri ya Manispaa ya Songea. Haki zote zimehifadhiwa