• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Songea Municipal Council
Songea Municipal Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa ya Songea

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Maendeleo ya Jamii Jinsia na Watoto
      • Planning,Statistics and Monitoring
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Elimu ya Msingi
      • Mazingira na Usafi
      • Maji
      • Afya
      • Elimu ya Sekondari
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Ujenzi
      • Fedha na Biashara
      • Arthi na Mipangomiji
    • Vitengo
      • Uchaguzi
      • Legal Services
      • Mawasiliano, Habari na Teknolojia
      • Ukaguzi wa ndani
      • Ugavi na Manunuzi
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma zetu
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi isiyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio

Mkuu wa Mkoa wa Ruvuma azindua Mradi wa Dawati la Ustawi wa Jamii katika Stendi ya Tanga

Tarehe ya kuwekwa: February 18th, 2025

Mkuu wa Mkoa wa Ruvuma Kanali Ahmed Abbas Ahmed ameipongeza Ofis ya Rais TAMISEMI kwa kushirikiana na Shirika la Railway Children Africa (RCA) kwa kuleta mradi wa uanzishwaji wa Dawati ls Ustawi wa jamii katika Stendi ya mabasi Songea Mkoani  Ruvuma.

Kanali Abbas alisema Mkoa wa Ruvuma ni kama Mikoa mingine ambapo unakabiliwa na changamoto ya watoto wanaoishi na kufanya kazi mitaani hususani Manispaa ya Songea,

Alibainisha kuwa changamoto hiyo husababisha watoto hao kujifunza na kujiingiza kwenye tabia hatarishi zaidi na wakati mwingine wanaweza kutumwa na watu wazima katika matukio ya wizi, uporaji, biashara ya ngono, ulevi na matumizi ya dawa za kulevya.

Aidha katika Manispaa ya Songea kuna ongezeko kubwa la watoto wanaotumiwa katika uuzaji wa bidhaa kama vifungashio katika maeneo ya masoko, wakiuza karanga,mayai,na korosho ambapo hali hiyo hufanya watoto wengi kuwa katika kufanyiwa vitendo vya ukatili na kuhatarisha ustawi wao.

Aliongeza kuwa uanzishwaji wa Dawati la ustawi jamii katika stendi kuu ya mabasi kupitia mradi huo utawasaidia kuwabaini watoto wanaoingia kutoka maeneo mbalimbali ya Mkoa wa Ruvuma na mikoa jirani.

Mradi huo utaweza kufanya kazi katika stendi ya Mabasi ya Manispaa ya Songea katika kipindi cha mwaka 2026, hivyo amewataka kusimamia na kutekeleza wajibu wa kuhakikisha huduma zitolewazo kupitia mradi huo zinakuwa endelevu. Alisisitiza

Akizungumza Kaimu wa Mganga Mkuu Mkoa wa Ruvuma Hilda Ndambalilo alisema lengo la mradi huu ni kuimarisha usala wa mtoto hususani watoto wa mtaani, kujumuisha wadau katika kuhakikisha usalama wao, Kuwaunganisha watoto na wazazi wao ili waweze kutunzwa na kutimiza ndoto zao.

Akizungumza Afisa Ustawi wa jamii Mkoa wa Ruvuma Victor Nyenza alisema mradi utalenga katika eneo la Stendi kuu ya mabasi ya Songea kwa lengo la kuwasaidi watoto waweze kuibua na kubaini changamoto za watoto waishio mtaani.

Matangazo

  • TANGAZO LA LESENI ZA BIASHARA January 22, 2025
  • TANGAZO la usafi wa mazingira Jumamosi ya mwisho wa mwezi Septemba 2024 February 27, 2025
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • TAKUKURU Mkoa wa Ruvuma Yafanikiwa Kurejesha Mil. 9.2, na Kudhibiti Mianya ya Rushwa.

    May 30, 2025
  • TAKUKURU Ruvuma Yawezesha kupatikana fedha za makusanyo Songea Dc

    May 30, 2025
  • ALAT Ruvuma na Baraza la Madiwani la Chalinze Watembelea Manispaa ya Iringa Kujifunza Ukusanyaji wa Mapato.

    May 29, 2025
  • ISMAIL ALI MKIMBIZA MWENGE KITAIFA ARIDHISHWA NA UTEKELEZAJI WA MIRADI

    May 15, 2025
  • Tazama zote

Video

ALAT RUVUMA ZIARANI IRINGA TC
Video Zaidi

Viungio vya Haraka

  • Ruvuma Region Website
  • Songea diistrict websites
  • Madaba District Council Website
  • Tunduru District Website
  • Namtumbo District Website
  • Nyasa District Website
  • Mbinga Town Council Website
  • Mbinga District Council Website
  • Songea Municipal face book

Tovuti Mashuhuri

  • Wizara ya Fedha
  • TAMISEMI
  • Wakala wa Serikali Mtandao
  • Utumishi
  • National Bureau of Statistics
  • Baraza la Mitihani Tanzania

Idadi ya Wasomaji Duniani

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

free HitCounter

Ramani ya Mahali

Wasiliana nasi

    SONGEA MUNICIPAL COUNCIL

    Anuani ya Posta: P O BOX 14, SONGEA

    Simu ya Mezani: 025 2602970

    Simu ya Kiganjani:

    Barua Pepe: info@songeamc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Falagha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani ya Mahali
    • Huduma

Hakimiliki ©2017 Halmashauri ya Manispaa ya Songea. Haki zote zimehifadhiwa