• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Songea Municipal Council
Songea Municipal Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa ya Songea

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Maendeleo ya Jamii Jinsia na Watoto
      • Planning,Statistics and Monitoring
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Elimu ya Msingi
      • Mazingira na Usafi
      • Maji
      • Afya
      • Elimu ya Sekondari
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Ujenzi
      • Fedha na Biashara
      • Arthi na Mipangomiji
    • Vitengo
      • Uchaguzi
      • Legal Services
      • Mawasiliano, Habari na Teknolojia
      • Ukaguzi wa ndani
      • Ugavi na Manunuzi
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma zetu
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi isiyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio

Mkuu wa Wilaya ya Songea amewataka Waendesha Bajaji na Bodaboda kuzingatia Sheria za Usalama Barabarani

Tarehe ya kuwekwa: July 12th, 2023

MKUU wa Wilaya ya Songea Kapenjama Ndile amewataka Waendesha Bodaboda na Bajaji kuhakikisha  wanauunda umoja wao  ili kuwezesha kuwa na Sauti moja wanapokuwa changamoto mbalimbali ambayo inapaswa kusikilizwa na viongozi husika.

Hayo yamejili wakati wa kikao kazi cha Mkuu wa Wilaya ya Songea na Waendesha  Bodabda na Bajaji kilichofanyika katika ukumbi wa Manispaa ya Songea ambacho kilishirikisha  kamati ya ulinzi na usalama ya Wilaya,  pamoja na uongozi wa Manispaa ya Songea kwa lengo la kusikiliza  kero za Madereva hao.

Ndile alisema kuwa “ mnapokuwa na uongozi imara kupitia umoja wenu mtaweza kupeleka changamoto zenu kwenye  Mamlaka husika kwa kufuata utaratibu unaokubalika ambao pia utawezesha  kupata fursa mbalimbali ikiwemo na kupata mikopo,  kupata mafunzo ya Udereva kupitia VETA na kujenga mahusiano bora baina yao na Serikali.”

Amewataka kufuata sheria bila Shuruti ikiwemo na kulipa leseni ya Udereva na Leseni ya Chombo chenyewe pia kuwepo na  utaratibu wa kukutana mara kwa mara  ili kutatua changamoto mbalimbali zinazowakabili.


Kwa Upande wake Mkuu wa Kikosi cha Usalama Barabarani  Wilaya ya Songea ASP Muya Zuberi Maunganya amewataka Waendesha Bajaji na Bodaboda kuendelea kufuata Sheria za Usalama Bararani ikiwemo kupata Leseni na kuzingatia  Maegesho rasmi yaliyoruhusiwa na Mamlaka husika.  

Kwa upande wa Waendesha Bodaboda na Bajaji walitoa Shukrani kwa Serikali kwa kuitisha kikao hicho ambacho imekuwa  ni sehemu ya  kutoa kero zao na  kusikilizwa.

IMEANDALIWA NA;                           

AMINA PILLY;

KITENGO CHA MAWASILIANO SERIKALINI



Matangazo

  • TANGAZO LA LESENI ZA BIASHARA January 22, 2025
  • TANGAZO la usafi wa mazingira Jumamosi ya mwisho wa mwezi Septemba 2024 February 27, 2025
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • TAKUKURU Mkoa wa Ruvuma Yafanikiwa Kurejesha Mil. 9.2, na Kudhibiti Mianya ya Rushwa.

    May 30, 2025
  • TAKUKURU Ruvuma Yawezesha kupatikana fedha za makusanyo Songea Dc

    May 30, 2025
  • ALAT Ruvuma na Baraza la Madiwani la Chalinze Watembelea Manispaa ya Iringa Kujifunza Ukusanyaji wa Mapato.

    May 29, 2025
  • ISMAIL ALI MKIMBIZA MWENGE KITAIFA ARIDHISHWA NA UTEKELEZAJI WA MIRADI

    May 15, 2025
  • Tazama zote

Video

ALAT RUVUMA ZIARANI IRINGA TC
Video Zaidi

Viungio vya Haraka

  • Ruvuma Region Website
  • Songea diistrict websites
  • Madaba District Council Website
  • Tunduru District Website
  • Namtumbo District Website
  • Nyasa District Website
  • Mbinga Town Council Website
  • Mbinga District Council Website
  • Songea Municipal face book

Tovuti Mashuhuri

  • Wizara ya Fedha
  • TAMISEMI
  • Wakala wa Serikali Mtandao
  • Utumishi
  • National Bureau of Statistics
  • Baraza la Mitihani Tanzania

Idadi ya Wasomaji Duniani

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

free HitCounter

Ramani ya Mahali

Wasiliana nasi

    SONGEA MUNICIPAL COUNCIL

    Anuani ya Posta: P O BOX 14, SONGEA

    Simu ya Mezani: 025 2602970

    Simu ya Kiganjani:

    Barua Pepe: info@songeamc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Falagha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani ya Mahali
    • Huduma

Hakimiliki ©2017 Halmashauri ya Manispaa ya Songea. Haki zote zimehifadhiwa