• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Songea Municipal Council
Songea Municipal Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa ya Songea

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Maendeleo ya Jamii Jinsia na Watoto
      • Planning,Statistics and Monitoring
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Elimu ya Msingi
      • Mazingira na Usafi
      • Maji
      • Afya
      • Elimu ya Sekondari
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Ujenzi
      • Fedha na Biashara
      • Arthi na Mipangomiji
    • Vitengo
      • Uchaguzi
      • Legal Services
      • Mawasiliano, Habari na Teknolojia
      • Ukaguzi wa ndani
      • Ugavi na Manunuzi
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma zetu
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi isiyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio

MKUU wa Wilaya ya Songea azindua kampeni ya magonjwa yasiyopewa kipaumbele

Tarehe ya kuwekwa: September 4th, 2019

Mkuu wa Wilaya ya Songea Pololet Mgema  amezindua kampeni ya Dawa ya magonjwa ambayo yaliyokuwa

hayapewi kipaumbele Mkoani Ruvuma.

Akizungumza na waandishi wa Habari Ofisini kwake Mkuu wa wilaya ya Songea  Pololet Mgema amesema

Magonjwa ambayo yalikuwa hayapewi kipaumbele ndani ya jamii, hasa jamii maskini, lakini

jamii yenyewe na wataalamu husika ama viongozi hawayapi umuhumu kulingana na madhara

yake katika jamii,magonjwa hayo ni Usubi, Matende, Mabusha, Trakoma, Kichocho na Minyoo

ya tumbo.

Mgema  ameyataja madhara ya Magonjwa hayo maumivu ya muda mrefu na wakati

mwingine kusababisha ulemavu wa kudumu, Hudhoofisha ukuaji wa maendeleo ya mtoto

kimwili na kiakili, Magonjwa haya yasipotibiwa mapema huongeza maambukizi na hata

kusababisha kifo.

“inakadiriwa kuwa watu bilioni moja duniani kote tayari wameathirika na Zaidi ya bilioni mbili

wako hatarini kupata maambukizi ya magonjwa hayo. Nchini Tanzania wananchi wote, yaani

milioni 53, hivi sasa wapo hatarini kuambukizwa magonjwa haya. Inakadiriwa kuwa watu

milioni tano wameathirika kwa magonjwa hayo.” Amesema Mgema.

Hata hivyo, kwa Manispaa ya Songea tupo kwenye kampeni ya uwezeshaji wa dawa ya

MECTIZAN kwa ugonjwa wa Usubi, ndio ugonjwa unaopaswa kutolewa kingatiba kwa

wananchi wote wa Manispaa ya Songea, isipokuwa chini ya miaka mitano, mama wajawazito na

wagonjwa mahututi.

Ili kufanikisha kujikinga na magonjwa haya inabidi kutumia dawa za kutibu na kuzuia magonjwa

haya ambazo zinatolewa kila mwaka kwenye maeneo yaliyogundulika kuwa na ugonjwa,

kuzingatia usafi wa uso kwa kunawa angalau mara mbili kwa siku na usafi wa mwili kwa

ujumla, kuzingatia matumizi sahihi ya choo ,jiepushe kuoga /kuogelea na kutembea bila kuvaa

viatu kwenye maji yasiyo safi, kujikinga kuumwa na wadudu wanaosambaza ugonjwa huo,

kutibiwa mara baada yakuona dalili za ugonjwa na mwisho kutoa eilmu ya afya kwa jamii.

Kwa upande wake Mganga Mkuu wa Halmashauri ya Manispaa ya Songea Mameritha Basike

amesema magonjwa yaliyokuwa hayapewi kipaumbele kwa Manispaa ya Songea yamekuwa

yakipungua mwaka hadi mwaka pindi wanapo kunywa Dawa,


Ameyataja mafanikio na umuhimu wa kupata dawa hiyo kwa mwaka 2018 walikuwa na kesi 13

za ugonjwa wa usubi zilizoripotiwa ni sawa na asilimia 0.004 kati ya wagonjwa 295,010, mwaka

2019 Juni tulipata kesi 8 za ugonjwa wa usubi zilizoripotiwa ni sawa na asilimia 0.01kati ya

wagonjwa 150,648walio kuja kupata huduma ya tiba kwenye kituo.

Naye,Mratibu wa magonjwa yasiyopewa kipaumbele Manispaa ya Songea Prodi Komba

amesema vimerea vya Usubi vinazaliwa kwenye maji yanayo kwenda kasi kwenye mistu ndio

maana serikali yetu kupitia wizara ya afya wameamua kumezasha Dawa za MECTIZAN kwa

ajili ya kinga tiba ya ugonjwa wa Usubi.

Kwa upande wake, Komba ametoa rai kwa watu ambao watachukua jukumu la ugawaji Dawa

wajitahidi kutoa ushauri kwa wananchi ambao utawaondoa hofu katika kumeza dawa hizo.

Meza dawa za kingatiba kila mwaka kuzuia magonjwa ya usubi, Matende na Mabusha,

Trakoma, Kichocho na Minyoo ya Tumbo.

Imeandaliwa na

Farida Musa

Wa kitengo cha TEHAMA Manispaa ya Songea

Septemba 3, 2019

Matangazo

  • TANGAZO LA LESENI ZA BIASHARA January 22, 2025
  • TANGAZO la usafi wa mazingira Jumamosi ya mwisho wa mwezi Septemba 2024 February 27, 2025
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • TAKUKURU Mkoa wa Ruvuma Yafanikiwa Kurejesha Mil. 9.2, na Kudhibiti Mianya ya Rushwa.

    May 30, 2025
  • TAKUKURU Ruvuma Yawezesha kupatikana fedha za makusanyo Songea Dc

    May 30, 2025
  • ALAT Ruvuma na Baraza la Madiwani la Chalinze Watembelea Manispaa ya Iringa Kujifunza Ukusanyaji wa Mapato.

    May 29, 2025
  • ISMAIL ALI MKIMBIZA MWENGE KITAIFA ARIDHISHWA NA UTEKELEZAJI WA MIRADI

    May 15, 2025
  • Tazama zote

Video

ALAT RUVUMA ZIARANI IRINGA TC
Video Zaidi

Viungio vya Haraka

  • Ruvuma Region Website
  • Songea diistrict websites
  • Madaba District Council Website
  • Tunduru District Website
  • Namtumbo District Website
  • Nyasa District Website
  • Mbinga Town Council Website
  • Mbinga District Council Website
  • Songea Municipal face book

Tovuti Mashuhuri

  • Wizara ya Fedha
  • TAMISEMI
  • Wakala wa Serikali Mtandao
  • Utumishi
  • National Bureau of Statistics
  • Baraza la Mitihani Tanzania

Idadi ya Wasomaji Duniani

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

free HitCounter

Ramani ya Mahali

Wasiliana nasi

    SONGEA MUNICIPAL COUNCIL

    Anuani ya Posta: P O BOX 14, SONGEA

    Simu ya Mezani: 025 2602970

    Simu ya Kiganjani:

    Barua Pepe: info@songeamc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Falagha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani ya Mahali
    • Huduma

Hakimiliki ©2017 Halmashauri ya Manispaa ya Songea. Haki zote zimehifadhiwa