• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Songea Municipal Council
Songea Municipal Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa ya Songea

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Maendeleo ya Jamii Jinsia na Watoto
      • Planning,Statistics and Monitoring
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Elimu ya Msingi
      • Mazingira na Usafi
      • Maji
      • Afya
      • Elimu ya Sekondari
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Ujenzi
      • Fedha na Biashara
      • Arthi na Mipangomiji
    • Vitengo
      • Uchaguzi
      • Legal Services
      • Mawasiliano, Habari na Teknolojia
      • Ukaguzi wa ndani
      • Ugavi na Manunuzi
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma zetu
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi isiyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio

MRADI wa bustani ya Manispaa ya Songea wakamilika

Tarehe ya kuwekwa: August 1st, 2018

UKARABATI wa mradi wa bustani ya Manispaa ya Songea umekamilika na unatarajia kuanza kufanyakazi wakati wowote mwaka huu,ambapo Mkandarasi tayari amekabidhi mradi huo kwa Manispaa.

Mhandisi wa Idara ya ujenzi wa Manispaa ya Songea Mhandisi Caroline Bernad amesema mradi ulikamilika tangu Desemba 2017 ambapo Mkandarasi alipewa matazamio ya miezi sita ya mradi huo  ambayo yaliishia Aprili 2018.

Amezitaja kazi zilizosalia kuwa ni kuendelea kuotesha nyasi,kufunga mfumo wa maji taka ambayo inafanywa na Mamlaka ya Maji Safi na Maji Taka (SOUWASA) na kuweka nishati ya Umeme kazi ambazo zinatarajia kukamilika mwezi huu.

Amesema Kitengo cha manunuzi kimeshatangaza zabuni ya uendeshaji wa bustani ya manispaa.Kazi zilizofanyika na kukamilika katika bustani hiyo ni ujenzi wa mgawaha,choo,uzio,michezo ya watoto(bembea),sehemu za kupumzikia na maegesho ya magari kuzunguka bustani.

Maeneo mengine ni utengenezaji wa viunga,miti na nyasi,ujenzi wa maeneo ya kupaki magari,usambazaji wa mabomba ya maji katika eneo la bustani,ujenzi wa mnara,ukarabati wa mnara,kufunga bembea na kufunga taa za 12 za sola.

“Mradi hadi sasa umekamilika kabisa na umekabidhiwa tangu Mei 15,2018 na upo tayari kwa ajili ya kutumika,hivyo wakati tunasubiri mchakato wa manunuzi kukamilika kwa ajili ya kumpata mtu wa kuendesha,imeshauriwa Halmashauri kuweka mlinzi katika eneo la bustani’’,anasisitiza Mhandisi.

Mradi huo umefadhiliwa na Benki ya Dunia kwa  gharama ya shilingi milioni 399.Hata hivyo hadi sasa Mkandarasi ameshalipwa zaidi ya milioni  361.

Wawakilishi  wa Benki ya Dunia wameukagua mradi huo na kuridhishwa na kiwango cha ujenzi wa bustani hiyo ambayo inavutia wengi kwa kuwa imebadilisha muonekano wa mji wa Songea.

Imetolewa na Albano Midelo

Afisa Habari Manispaa ya Songea

Agosti Mosi,2018

 

Matangazo

  • TANGAZO LA LESENI ZA BIASHARA January 22, 2025
  • TANGAZO la usafi wa mazingira Jumamosi ya mwisho wa mwezi Septemba 2024 February 27, 2025
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • TAKUKURU Mkoa wa Ruvuma Yafanikiwa Kurejesha Mil. 9.2, na Kudhibiti Mianya ya Rushwa.

    May 30, 2025
  • TAKUKURU Ruvuma Yawezesha kupatikana fedha za makusanyo Songea Dc

    May 30, 2025
  • ALAT Ruvuma na Baraza la Madiwani la Chalinze Watembelea Manispaa ya Iringa Kujifunza Ukusanyaji wa Mapato.

    May 29, 2025
  • ISMAIL ALI MKIMBIZA MWENGE KITAIFA ARIDHISHWA NA UTEKELEZAJI WA MIRADI

    May 15, 2025
  • Tazama zote

Video

ALAT RUVUMA ZIARANI IRINGA TC
Video Zaidi

Viungio vya Haraka

  • Ruvuma Region Website
  • Songea diistrict websites
  • Madaba District Council Website
  • Tunduru District Website
  • Namtumbo District Website
  • Nyasa District Website
  • Mbinga Town Council Website
  • Mbinga District Council Website
  • Songea Municipal face book

Tovuti Mashuhuri

  • Wizara ya Fedha
  • TAMISEMI
  • Wakala wa Serikali Mtandao
  • Utumishi
  • National Bureau of Statistics
  • Baraza la Mitihani Tanzania

Idadi ya Wasomaji Duniani

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

free HitCounter

Ramani ya Mahali

Wasiliana nasi

    SONGEA MUNICIPAL COUNCIL

    Anuani ya Posta: P O BOX 14, SONGEA

    Simu ya Mezani: 025 2602970

    Simu ya Kiganjani:

    Barua Pepe: info@songeamc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Falagha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani ya Mahali
    • Huduma

Hakimiliki ©2017 Halmashauri ya Manispaa ya Songea. Haki zote zimehifadhiwa