• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Songea Municipal Council
Songea Municipal Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa ya Songea

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Maendeleo ya Jamii Jinsia na Watoto
      • Planning,Statistics and Monitoring
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Elimu ya Msingi
      • Mazingira na Usafi
      • Maji
      • Afya
      • Elimu ya Sekondari
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Ujenzi
      • Fedha na Biashara
      • Arthi na Mipangomiji
    • Vitengo
      • Uchaguzi
      • Legal Services
      • Mawasiliano, Habari na Teknolojia
      • Ukaguzi wa ndani
      • Ugavi na Manunuzi
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma zetu
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi isiyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio

MREMA aliyeua mamba 800 katika ziwa Nyasa

Tarehe ya kuwekwa: March 10th, 2019

Matukio ya mara kwa mara ya mamba kuua watu mwambao mwa ziwa Nyasa mkoani Ruvuma lilikuwa ni jambo ambalo liliwatia hofu wakazi wa mwambao mwa ziwa Nyasa katika kipindi cha miaka ya 90.

Hata hivyo matukio ya watu kukamatwa na kuuawa na mamba katika ziwa Nyasa yamepungua  ukilinganisha na kipindi cha kati  ya mwaka 1990 na 2005 ambapo mamba walikamata hadi mzungu  katika eneo la Liuli .

Matukio ya mamba kuua watu yalipungua baada ya kujitosa kwa askari Mstaafu wa Jeshi la Wananchi wa Watanzania(JWTZ) ambaye hivi sasa ni marehemu John Mpembo maarufu kwa jina la Mrema ambaye alifanya operesheni kabambe ya kuwaua mamba kwa kutumia mtego maalum na kufanikiwa kuwaua mamba wanaokadiriwa kuwa kati ya 600 hadi 800.

Mrema aliomba kibali cha kuua mamba kutoka,Wizara ya Malisili na Utalii  baada ya vitendo vya mamba hao kukamata watu kuongezeka na kuleta hofu kwa wananchi mwambao mwa ziwa Nyasa.

Joseph Ndomondo ni Mpwa wa  Mzee Mrema ambaye anakiri ni kweli mzee Mrema alifanikiwa kuua idadi kubwa ya mamba wala watu hali ambayo imesabaisha vitendo vya mamba kukamata watu katika ziwa Nyasa kupungua.

Matangazo

  • TANGAZO LA LESENI ZA BIASHARA July 08, 2025
  • TANGAZO la usafi wa mazingira Jumamosi ya mwisho wa mwezi Septemba 2024 July 04, 2025
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • Mkurugenzi Manispaa ya Songea Wakili. Muhoja, Akabidhi Eneo la Mradi wa Ujenzi wa masoko na Kiwanda Lilambo.

    July 15, 2025
  • Bil. 22.9 Kujenga Masoko ya Kisasa Manzese A na B, na Kiwanda cha Kuchakata Mazao ya Nafaka Lilambo

    July 06, 2025
  • MBUNGE SONGEA MJINI AKABIDHI KOMPYUTA NA KUFADHILI UKARABATI WA OFISI ZA POLISI

    June 27, 2025
  • DC Songea bAzindua Dawati la Huduma za Ustawi wa Jamii Stendi ya Mabasi Songea

    June 24, 2025
  • Tazama zote

Video

UJENZI WA MASOKO MANZESE A & B, NA KIWANDA KUANZA KUJENGWA
Video Zaidi

Viungio vya Haraka

  • Ruvuma Region Website
  • Songea diistrict websites
  • Madaba District Council Website
  • Tunduru District Website
  • Namtumbo District Website
  • Nyasa District Website
  • Mbinga Town Council Website
  • Mbinga District Council Website
  • Songea Municipal face book

Tovuti Mashuhuri

  • Wizara ya Fedha
  • TAMISEMI
  • Wakala wa Serikali Mtandao
  • Utumishi
  • National Bureau of Statistics
  • Baraza la Mitihani Tanzania

Idadi ya Wasomaji Duniani

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

free HitCounter

Ramani ya Mahali

Wasiliana nasi

    SONGEA MUNICIPAL COUNCIL

    Anuani ya Posta: P O BOX 14, SONGEA

    Simu ya Mezani: 025 2602970

    Simu ya Kiganjani:

    Barua Pepe: info@songeamc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Falagha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani ya Mahali
    • Huduma

Hakimiliki ©2017 Halmashauri ya Manispaa ya Songea. Haki zote zimehifadhiwa