• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Songea Municipal Council
Songea Municipal Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa ya Songea

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Maendeleo ya Jamii Jinsia na Watoto
      • Planning,Statistics and Monitoring
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Elimu ya Msingi
      • Mazingira na Usafi
      • Maji
      • Afya
      • Elimu ya Sekondari
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Ujenzi
      • Fedha na Biashara
      • Arthi na Mipangomiji
    • Vitengo
      • Uchaguzi
      • Legal Services
      • Mawasiliano, Habari na Teknolojia
      • Ukaguzi wa ndani
      • Ugavi na Manunuzi
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma zetu
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi isiyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio

NAIBU MEYA MANISPAA YA SONGEA KUONGOZA BARAZA MAALUM LA MADIWANI.

Tarehe ya kuwekwa: September 28th, 2021

NA,

AMINA PILLY,

AFISA HABARI MANISPAA.

28.09.2021

Baraza maalum la Madiwani Manispaa ya Songea limefanya kikao leo tarehe 28 September 2021 katika ukumbi wa Manispaa ya Songea kwa lengo la kupitisha hesabu za Halmashauri ya Manispaa ya Songea kwa mwaka wa fedha 2020/2021.

Kikao hicho kiliongozwa na Mheshimiwa Naibu Meya Manispaa ya Songea Jeremiah Milembe na kuhudhuriwa na Madiwani 28 pamoja na timu ya wataalamu kutoka ndani ya Manispaa ya Songea.

Akiwasilisha taarifa ya hesabu za Halmashauri ya Manispaa ya Songea kwa mwaka wa fedha 2020/2021 Muhazina wa Manispaa Emmanuel Mgaya alisema kuwa taarifa hiyo imeandaliwa kwa mujibu Memoranda ya fedha ya mwaka 2009 sehemu ya IV agizo namba 24 mpaka 32, waraka wa bodi ya wahasibu na wakaguzi Tanzania, sheria ya fedha ya Serikali za mitaa 1982 kifungu namba 40, kanuni za uandaaji hesabu za umma za kimataifa, pamoja na miongozo ya TAMISEMI juu ya uandaaji na uwasilishaji wa hesabu za Halmashauri kwa mwaka 2020/2021.”Alibainisha”

Mgaya alieleza kuwa taarifa ya hesabu za Halmashauri ya Manispaa ya Songea imetolewa kwa kuzingatia taarifa ya Mizania ( Statement of Financial position), taarifa ya mapato na matumizi (Statement of Financial performance), taarifa ya mtiririko wa mapato, mwenendo wa mali na mtaji, taarifa ya ulinganifu wa bajeti dhidi ya matumizi halisi ( Statement of comparison of budget and actual amount) pamoja na maelezo ya hesabu.

Taarifa hiyo ya hesabu za Halmashauri ya Manispaa ya Songea kwa mwaka wa fedha 2020/2021 ilipokelewa na kupitishwa na baraza la madiwani kwa asilimia 100%.

Matangazo

  • TANGAZO LA LESENI ZA BIASHARA January 22, 2025
  • TANGAZO la usafi wa mazingira Jumamosi ya mwisho wa mwezi Septemba 2024 February 27, 2025
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • TAKUKURU Mkoa wa Ruvuma Yafanikiwa Kurejesha Mil. 9.2, na Kudhibiti Mianya ya Rushwa.

    May 30, 2025
  • TAKUKURU Ruvuma Yawezesha kupatikana fedha za makusanyo Songea Dc

    May 30, 2025
  • ALAT Ruvuma na Baraza la Madiwani la Chalinze Watembelea Manispaa ya Iringa Kujifunza Ukusanyaji wa Mapato.

    May 29, 2025
  • ISMAIL ALI MKIMBIZA MWENGE KITAIFA ARIDHISHWA NA UTEKELEZAJI WA MIRADI

    May 15, 2025
  • Tazama zote

Video

ALAT RUVUMA ZIARANI IRINGA TC
Video Zaidi

Viungio vya Haraka

  • Ruvuma Region Website
  • Songea diistrict websites
  • Madaba District Council Website
  • Tunduru District Website
  • Namtumbo District Website
  • Nyasa District Website
  • Mbinga Town Council Website
  • Mbinga District Council Website
  • Songea Municipal face book

Tovuti Mashuhuri

  • Wizara ya Fedha
  • TAMISEMI
  • Wakala wa Serikali Mtandao
  • Utumishi
  • National Bureau of Statistics
  • Baraza la Mitihani Tanzania

Idadi ya Wasomaji Duniani

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

free HitCounter

Ramani ya Mahali

Wasiliana nasi

    SONGEA MUNICIPAL COUNCIL

    Anuani ya Posta: P O BOX 14, SONGEA

    Simu ya Mezani: 025 2602970

    Simu ya Kiganjani:

    Barua Pepe: info@songeamc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Falagha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani ya Mahali
    • Huduma

Hakimiliki ©2017 Halmashauri ya Manispaa ya Songea. Haki zote zimehifadhiwa