• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Songea Municipal Council
Songea Municipal Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa ya Songea

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Maendeleo ya Jamii Jinsia na Watoto
      • Planning,Statistics and Monitoring
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Elimu ya Msingi
      • Mazingira na Usafi
      • Maji
      • Afya
      • Elimu ya Sekondari
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Ujenzi
      • Fedha na Biashara
      • Arthi na Mipangomiji
    • Vitengo
      • Uchaguzi
      • Legal Services
      • Mawasiliano, Habari na Teknolojia
      • Ukaguzi wa ndani
      • Ugavi na Manunuzi
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma zetu
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi isiyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio

Naibu Meya Manispaa ya Songea, Mtaa kwa Mtaa Kutatua Changamoto za Wananchi.

Tarehe ya kuwekwa: June 24th, 2021

Naibu Meya Manispaa ya Songea Jeremiah Mirembe Diwani wa kata ya  Bombambili  ameanza Ziara jana  ya kutembelea mitaa  5 mitano  iliyopo kwenye kata yake ya Bombambili  na kufanya mikutano ya hadhara kwa ajili ya kuongea na wananchi  na kutoa shukrani kwa wananchi baada ya kushinda uchaguzi.

Ziara hiyo imeanza jana tarehe 23 juni 2021 ambayo inatarajia  kukamilika 27 juni 2021  kwa lengo la  kusikiliza  kero kutoka kwa wananchi na kuzitafutia ufumbuzi  pamoja na kuishirikisha jamii juu ya  ujenzi wa miradi ya maendeleo inayotekelezwa kwa nguvu za wananchi. 

Jeremiah alisema “ Kiongozi bora ni yule anayependa kukosolewa na kujifunza kutoka kwa jamii anayoiongoza,  hivyo ameawataka wananchi hao kuendela   kuleta   ushirikiano  katika kuleta  maendeleo na sio kuanzisha migogoro.

Alisema kwa muda mfupi baada ya kuingia madarakani  ameweza kutatua baadhi ya changamoto mashuleni ikiwemo na  za upungufu wa madarasa  Shule ya msingi Mputa na matundu ya vyoo ambapo wamejenga madarsa 3, ujenzi wa madarasa mawili 2  Shule ya Msingi Tembo, ujenzi  wa madarasa ya  3 ya Shule ya Msingi  Bombambili,  Ujenzi wa madarasa 5 shule ya Sekondari Bombambili  fedha shilingi milioni 80,000,000/  kutoka Mkurugenzi Manispaa.

Alibainisha kuwa mafanikio yote yanayopatikana kwenye kata yake juu ya kufanikisha kutatua baadhi ya changamoto mbalimbali kwenye kata ya Bombambili zinatokana na ushirikiano mzuri na Mh. Mbunge wa Jimbo la Songea Mjini Dkt. Damas Ndumbaro Waziri wa Maliasili na Utalii  kwa kuiwezesha kata hiyo kupata fedha kwa ajili ya ukamilishaji wa madarasa, vyoo, barabara  na zahanati. " Alimpongeza".

Aliongeza kuwa Serikali imejipanga kutatua changamoto za miundombinu ya barabara za mitaa ambayo husimamiwa na TARURA ambapo amewataka wananchi hao kuleta ushirikiiano wakati wa utekelezaji wa zoezi la matengenezo ya  barabara  za mitaa na kuachana na tabia ya kuzuwia / kusababisha migongano.

Amewataka wananchi wa kata hiyo kuendelea kujisajili kwenye huduma ya  mfuko wa Bima ya afya iliyoboreshwa ambayo huchangiwa kwa  shilingi 30,000  kwa kaya isiyozisi watu 6.

Naye Diwani wa Viti maalum Anna Mlimira alisema moja ya majukumu  yake  ni kuhakikisha anahamasisha wananwake, vijana na walemavu kujiunga kwenye vikundi ili waweze kupata mikopo isiyo na riba  inayotolewa na Halmashauri ya Manispaa fedha zitokanazo na mapato ya ndani 10% (wanawake 4%, Vijana 4, na walemavu 2%.

IMEANDALIWA NA;

AMINA PILLY;

AFISA HABARI MANISPAA YA SONGEA.

24 juni 2021.

Matangazo

  • TANGAZO LA LESENI ZA BIASHARA January 22, 2025
  • TANGAZO la usafi wa mazingira Jumamosi ya mwisho wa mwezi Septemba 2024 February 27, 2025
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • TAKUKURU Mkoa wa Ruvuma Yafanikiwa Kurejesha Mil. 9.2, na Kudhibiti Mianya ya Rushwa.

    May 30, 2025
  • TAKUKURU Ruvuma Yawezesha kupatikana fedha za makusanyo Songea Dc

    May 30, 2025
  • ALAT Ruvuma na Baraza la Madiwani la Chalinze Watembelea Manispaa ya Iringa Kujifunza Ukusanyaji wa Mapato.

    May 29, 2025
  • ISMAIL ALI MKIMBIZA MWENGE KITAIFA ARIDHISHWA NA UTEKELEZAJI WA MIRADI

    May 15, 2025
  • Tazama zote

Video

ALAT RUVUMA ZIARANI IRINGA TC
Video Zaidi

Viungio vya Haraka

  • Ruvuma Region Website
  • Songea diistrict websites
  • Madaba District Council Website
  • Tunduru District Website
  • Namtumbo District Website
  • Nyasa District Website
  • Mbinga Town Council Website
  • Mbinga District Council Website
  • Songea Municipal face book

Tovuti Mashuhuri

  • Wizara ya Fedha
  • TAMISEMI
  • Wakala wa Serikali Mtandao
  • Utumishi
  • National Bureau of Statistics
  • Baraza la Mitihani Tanzania

Idadi ya Wasomaji Duniani

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

free HitCounter

Ramani ya Mahali

Wasiliana nasi

    SONGEA MUNICIPAL COUNCIL

    Anuani ya Posta: P O BOX 14, SONGEA

    Simu ya Mezani: 025 2602970

    Simu ya Kiganjani:

    Barua Pepe: info@songeamc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Falagha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani ya Mahali
    • Huduma

Hakimiliki ©2017 Halmashauri ya Manispaa ya Songea. Haki zote zimehifadhiwa