• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Songea Municipal Council
Songea Municipal Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa ya Songea

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Maendeleo ya Jamii Jinsia na Watoto
      • Planning,Statistics and Monitoring
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Elimu ya Msingi
      • Mazingira na Usafi
      • Maji
      • Afya
      • Elimu ya Sekondari
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Ujenzi
      • Fedha na Biashara
      • Arthi na Mipangomiji
    • Vitengo
      • Uchaguzi
      • Legal Services
      • Mawasiliano, Habari na Teknolojia
      • Ukaguzi wa ndani
      • Ugavi na Manunuzi
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma zetu
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi isiyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio

NAIBU Waziri amkabidhi pikipiki Afisa Mtendaji

Tarehe ya kuwekwa: October 18th, 2018

MBUNGE wa Jimbo la Nyasa ambaye pia na Naibu Waziri wa Viwanda,Biashara na Uwekezaji Mhandisi.Stella Manyanya amemkabidhi Afisa Mtendaji wa kata ya Mpepo Raphael Mapunda pikipiki yenye thamani ya shilingi milioni mbili kwa ajili ya kufuatilia miradi ya maendeleo na ukusanyaji mapato katika kata ya mpepo .

Amemkabidhi pikipiki hiyo katika ofisi ya Mkurugenzi Mtendaji Wilaya ya Nyasa na kushudiwa na Ofisa Mipango Wilaya ya Nyasa Jabir Chilumbana viongozi wa chama cha Mapinduzi na watumishi wengine wa Halmashauri ya Wilaya ya Nyasa.

Akizungumza wakati anakabidhi pikipiki hiyo,Manyanya amesema mfuko wa Jimbo umeona una kila sababu ya kuboresha miundombinu ya usafiri kwa watendaji ili waweze kufanya kazi zao kwa juhudi na maarifa na kuwahudumia wananchi kwa kufuatilia miradi ya maendeleo na ukusanyaji wa mapato ya halmashauri ya Nyasa.

“Mfuko wa Jimbo umeona unakila sababu ya kukuwezesha Afisa mtendaji wa kata ya Mpepo kutokana na jiografia ya kata yako vijiji vyako vimekaa mbalimbali hivyo unapata shida ya utendaji kazi wa kufuatilia miradi ya maendeleo na ukusanyaji mapato hivyo tunaomba uongeze juhudi ili uweze kufikia malengo uliyojiwekea na uliyopangiwa na Halimashauri”

Akipokea Pikipiki hiyo ofisa mtendaji wa Kata ya mpepo aliahidi kuitunza na kufanya kazi kwa bidii kwa kuwa awali alikuwa hana usafiri hivyo yeye na wataalam wake walikuwa wanapata shida ya kufuatilia miradi ya maendeleo iliyopo katika kata ya mpepo Wilayani hapa,Hivyo kwa sasa ataifikia miradi yote ya maendeleo na kuhamasisha maendeleo katika Vijiji vyake vyote.

Imeandaliwa na Netho Credo

Afisa Habari wa wilaya ya Nyasa

Matangazo

  • TANGAZO LA LESENI ZA BIASHARA July 08, 2025
  • TANGAZO la usafi wa mazingira Jumamosi ya mwisho wa mwezi Septemba 2024 July 04, 2025
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • Dkt. Samia Awasili Ruvuma.

    July 30, 2025
  • Mhe. Jenista Waziri wa Afya; Serikali yapambana kupunguza Maambukizi Mapya ya Virus vya Homa ya INI.

    July 29, 2025
  • Songea MC Yadhamiria Kuboresha Lishe na Kuondoa Udumavu

    July 25, 2025
  • Songea MC - Yaibuka na Ushindi katika Mechi ya Kirafiki Dhidi ya Namtumbo.

    July 24, 2025
  • Tazama zote

Video

Dkt. Samia Akiwasili Songea
Video Zaidi

Viungio vya Haraka

  • Ruvuma Region Website
  • Songea diistrict websites
  • Madaba District Council Website
  • Tunduru District Website
  • Namtumbo District Website
  • Nyasa District Website
  • Mbinga Town Council Website
  • Mbinga District Council Website
  • Songea Municipal face book

Tovuti Mashuhuri

  • Wizara ya Fedha
  • TAMISEMI
  • Wakala wa Serikali Mtandao
  • Utumishi
  • National Bureau of Statistics
  • Baraza la Mitihani Tanzania

Idadi ya Wasomaji Duniani

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

free HitCounter

Ramani ya Mahali

Wasiliana nasi

    SONGEA MUNICIPAL COUNCIL

    Anuani ya Posta: P O BOX 14, SONGEA

    Simu ya Mezani: 025 2602970

    Simu ya Kiganjani:

    Barua Pepe: info@songeamc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Falagha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani ya Mahali
    • Huduma

Hakimiliki ©2017 Halmashauri ya Manispaa ya Songea. Haki zote zimehifadhiwa