• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Songea Municipal Council
Songea Municipal Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa ya Songea

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Maendeleo ya Jamii Jinsia na Watoto
      • Planning,Statistics and Monitoring
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Elimu ya Msingi
      • Mazingira na Usafi
      • Maji
      • Afya
      • Elimu ya Sekondari
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Ujenzi
      • Fedha na Biashara
      • Arthi na Mipangomiji
    • Vitengo
      • Uchaguzi
      • Legal Services
      • Mawasiliano, Habari na Teknolojia
      • Ukaguzi wa ndani
      • Ugavi na Manunuzi
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma zetu
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi isiyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio

NDALICHAKO-Msiogope somo la Hisabati

Tarehe ya kuwekwa: August 6th, 2018

WAZIRI wa Elimu, Sayansi, Teknolojia na Mafunzo ya Ufundi Profesa Joyce Ndalichako amewataka wazazi nchini kuwahimiza watoto kusoma masomo ya sayansi ili kuongeza idadi ya wahandisi watakaofanya kazi katika sekta mbalimbali.

Akizungumza wakati wa kongamano la nne la wahandisi wanawake lililofanyika jijini Dar es Salaam, Profesa Ndalichako pia amewataka wanafunzi kutoogopa somo la hesabu kwa kuwa ndiyo msingi wa kufanya vizuri katika maeneo mengi ya kazi.

Amesema sekta ya uhandisi inafanya kazi kubwa katika kukuza uchumi kupitia miradi licha ya uwepo mdogo wa wahandisi katika fani hiyo hususani wanawake, jambo alilosema ni vyema likajengewa msukumo kuanzia ngazi ya wazazi.

“Wazazi mna jukumu kubwa la kuhakikisha watoto wanafanya vizuri katika masomo, hususani ya sayansi ili kuwawezesha kuwa wahandisi wazuri hapo baadaye, bila ushawishi wa wazazi katika eneo hilo bado tutaendelea kupata idadi ndogo wa wanafunzi wanaosoma sayansi,” amesema Profesa Ndalichako.

Amesema, Serikali kupitia wizara hiyo ya elimu inaendelea kufanya maboresho katika sekta ya elimu ikiwemo kuongeza vitabu vya sayansi na ujenzi wa maabara kwa lengo la kufanikisha mpango wa kuwapata wahitimu wa kutosha katika masomo ya sayansi.

Mwenyekiti wa Chama cha wahandisi wanawake Alice Isibika, mbali na kutaja mafanikio yaliyofikiwa na chama hicho tangu kuanzishwa kwake, alisema changamoto inayowakabili kuwa ni pamoja na idadi ndogo ya waandisi wanawake katika maeneo mbalimbali.

Alisema katika idadi ya wahadisi zaidi ya elfu ishirini waliosajiliwa na bodi ya wahandisi nchini(ERB),wanawake ni asilimia kumi pekee hatua aliyosema kuwa kwa kiasi kikubwa inadhohofisha nguvu za wanawake katika ujenzi wa Taifa.

CHANZO NI https://habarileo.co.tz/habari/2018-08-045b658a379f35f.aspx

Matangazo

  • TANGAZO LA LESENI ZA BIASHARA January 22, 2025
  • TANGAZO la usafi wa mazingira Jumamosi ya mwisho wa mwezi Septemba 2024 February 27, 2025
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • TAKUKURU Mkoa wa Ruvuma Yafanikiwa Kurejesha Mil. 9.2, na Kudhibiti Mianya ya Rushwa.

    May 30, 2025
  • TAKUKURU Ruvuma Yawezesha kupatikana fedha za makusanyo Songea Dc

    May 30, 2025
  • ALAT Ruvuma na Baraza la Madiwani la Chalinze Watembelea Manispaa ya Iringa Kujifunza Ukusanyaji wa Mapato.

    May 29, 2025
  • ISMAIL ALI MKIMBIZA MWENGE KITAIFA ARIDHISHWA NA UTEKELEZAJI WA MIRADI

    May 15, 2025
  • Tazama zote

Video

ALAT RUVUMA ZIARANI IRINGA TC
Video Zaidi

Viungio vya Haraka

  • Ruvuma Region Website
  • Songea diistrict websites
  • Madaba District Council Website
  • Tunduru District Website
  • Namtumbo District Website
  • Nyasa District Website
  • Mbinga Town Council Website
  • Mbinga District Council Website
  • Songea Municipal face book

Tovuti Mashuhuri

  • Wizara ya Fedha
  • TAMISEMI
  • Wakala wa Serikali Mtandao
  • Utumishi
  • National Bureau of Statistics
  • Baraza la Mitihani Tanzania

Idadi ya Wasomaji Duniani

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

free HitCounter

Ramani ya Mahali

Wasiliana nasi

    SONGEA MUNICIPAL COUNCIL

    Anuani ya Posta: P O BOX 14, SONGEA

    Simu ya Mezani: 025 2602970

    Simu ya Kiganjani:

    Barua Pepe: info@songeamc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Falagha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani ya Mahali
    • Huduma

Hakimiliki ©2017 Halmashauri ya Manispaa ya Songea. Haki zote zimehifadhiwa