• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Songea Municipal Council
Songea Municipal Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa ya Songea

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Maendeleo ya Jamii Jinsia na Watoto
      • Planning,Statistics and Monitoring
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Elimu ya Msingi
      • Mazingira na Usafi
      • Maji
      • Afya
      • Elimu ya Sekondari
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Ujenzi
      • Fedha na Biashara
      • Arthi na Mipangomiji
    • Vitengo
      • Uchaguzi
      • Legal Services
      • Mawasiliano, Habari na Teknolojia
      • Ukaguzi wa ndani
      • Ugavi na Manunuzi
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma zetu
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi isiyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio

NJIA rahisi ambayo inaweza kumaliza mbu wa malaria

Tarehe ya kuwekwa: January 20th, 2019

UGONJWA wa malaria ndiyo unaongoza kwa kusababisha vifo kuliko magonjwa mengine  hapa nchini.

 Watalaamu wanasema kuwa kuna njia tatu za kupambana na ugonjwa wa malaria njia ya kwanza ni kuhakikisha kuwa watu wote wanaougua malaria wanapata tiba sahihi  ya malaria.

Njia ya pili ni kuhakikisha kuwa watu wasiumwe na mbu wa malaria kwa kutumia vyandarua vyenye dawa.

Njia ya tatu ya kutokomeza malaria ni kuangamiza  mazalia ya mbu kwa kupuliza dawa.

Utafiti unaonesha kuwa njia ya tatu  ya kuangamiza mazalia ya mbu inaweza kumaliza  malaria kwa asilimia 100.

Teresia Nyirenda ni Mkurugenzi wa Taasisi ya Saint Teresa Orphas Foundation (STOF) ambaye anaishi nchini Marekani anasema mazingira ya Tanzania yamekuwa ni mazalio ya mbu hali inayochangia kueneza ugonjwa wa malaria ambao unamaliza maelfu ya watu kila mwaka.

Nyirenda anaitaja njia ya gharama nafuu ya kupambana na mazalia ya mbu kuwa ni kutumia maua na miti ambayo inatumika nchini Marekani  ambayo imechangia kumaliza mbu wa malaria katika nchi hiyo.Ameitaja mimea hiyo kuwa ni majivuno na michaichai.

Ugonjwa malaria bado ni  tatizo kubwa hapa nchini  kwa kuwa ugonjwa huo  ndiyo unaoongoza kwa kusababisha idadi kubwa ya vifo ambapo watanzania kati ya 60,000 hadi 80,000 wanakufa kutokana na ugonjwa huo kila mwaka.

Kwa mujibu wa takwimu hizo kila siku watu 291 wanapoteza maisha  kutokana na ugonjwa wa malaria wengi wao ni watoto chini ya miaka mitano.

Inakadiriwa kuwa  zaidi ya asilimia 93 ya watanzania wanaokadiriwa kufikia milioni 55 wapo katika hatari ya kuambukizwa malaria na hivyo kuifanya Tanzania kuwa nchi ya tatu duniani kuwa na idadi kubwa ya watu wengi walio katika hali hatarishi ya kuambukizwa malaria.

Takwimu kutoka shirika la afya ulimwenguni  zinaonesha kuwa kila mwaka watu kati ya milioni 300 hadi 500 duniani wanapata ugonjwa wa malaria, kati yao watu milioni moja na nusu wanakufa kutokana na ugonjwa huo.

albano.midelo@gmail.com,simu 0784765917

Matangazo

  • TANGAZO LA LESENI ZA BIASHARA January 22, 2025
  • TANGAZO la usafi wa mazingira Jumamosi ya mwisho wa mwezi Septemba 2024 February 27, 2025
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • TAKUKURU Mkoa wa Ruvuma Yafanikiwa Kurejesha Mil. 9.2, na Kudhibiti Mianya ya Rushwa.

    May 30, 2025
  • TAKUKURU Ruvuma Yawezesha kupatikana fedha za makusanyo Songea Dc

    May 30, 2025
  • ALAT Ruvuma na Baraza la Madiwani la Chalinze Watembelea Manispaa ya Iringa Kujifunza Ukusanyaji wa Mapato.

    May 29, 2025
  • ISMAIL ALI MKIMBIZA MWENGE KITAIFA ARIDHISHWA NA UTEKELEZAJI WA MIRADI

    May 15, 2025
  • Tazama zote

Video

ALAT RUVUMA ZIARANI IRINGA TC
Video Zaidi

Viungio vya Haraka

  • Ruvuma Region Website
  • Songea diistrict websites
  • Madaba District Council Website
  • Tunduru District Website
  • Namtumbo District Website
  • Nyasa District Website
  • Mbinga Town Council Website
  • Mbinga District Council Website
  • Songea Municipal face book

Tovuti Mashuhuri

  • Wizara ya Fedha
  • TAMISEMI
  • Wakala wa Serikali Mtandao
  • Utumishi
  • National Bureau of Statistics
  • Baraza la Mitihani Tanzania

Idadi ya Wasomaji Duniani

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

free HitCounter

Ramani ya Mahali

Wasiliana nasi

    SONGEA MUNICIPAL COUNCIL

    Anuani ya Posta: P O BOX 14, SONGEA

    Simu ya Mezani: 025 2602970

    Simu ya Kiganjani:

    Barua Pepe: info@songeamc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Falagha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani ya Mahali
    • Huduma

Hakimiliki ©2017 Halmashauri ya Manispaa ya Songea. Haki zote zimehifadhiwa