• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Songea Municipal Council
Songea Municipal Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa ya Songea

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Maendeleo ya Jamii Jinsia na Watoto
      • Planning,Statistics and Monitoring
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Elimu ya Msingi
      • Mazingira na Usafi
      • Maji
      • Afya
      • Elimu ya Sekondari
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Ujenzi
      • Fedha na Biashara
      • Arthi na Mipangomiji
    • Vitengo
      • Uchaguzi
      • Legal Services
      • Mawasiliano, Habari na Teknolojia
      • Ukaguzi wa ndani
      • Ugavi na Manunuzi
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma zetu
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi isiyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio

NMB yaipiga jeki shule ya msingi Nyasa

Tarehe ya kuwekwa: March 4th, 2019

Benki ya NMB tawi la Nyasa hivi karibuni limetoa vifaa vya ujenzi vyenye thamani ya tsh milioni tano katika Shule ya msingi Kilosa iliyopo kata ya kilosa na Sekondari ya Monika Mbega katika kata ya Mbaha Wilayani hapa ili kuboresha miundombinu ya shule hizo na kuunga mkono juhudi za Serikali za kuboresha sekta ya elimu.

Akikabidhi msaada huo katika shule hizo kwa mkuu wa wilaya ya Nyasa mh.Isabela chilumba meneja wa Benki ya NMB Tawi la Nyasa kennedy Chinguile amesema Benki ya Nmb kwa kuona umuhimu wa sekta ya elimu na kuunga juhudi za Serikali za kuboresha elimu imeamua kutenga aslilimia moja ya faida wanayopata ili kusaidia kutatua changamoto mbalimbali katika jamii inayowazunguka.

Chinguile aliitaja msaada waliotoa kwa shule ya msingi Kilosa kuwa ni Bati mia moja nondo 30 ml 12 simenti mifuko  hamsini(50) misumari ya bati kilo 50 chokaa mifuko kumi rangi ya maji lita 20 ndoo 4,nondo ndogo ml 6 wirenesh 11 vifaa vyote vikiwa na thamani ya tsh milioni tano,na shule ya Sekondari ya Monika Mbega ni bati 162 misumari kilo themanini(80),misumari ya inchi tatu kilo 25 vifaa vyenye thamani ya tsh milioni tano na kufanya jumla ya msaada waliotoa ni tsh milioni kumi.

Mkurugenzi Mtendaji Wilaya ya Nyasa Dkt Oscar Mbyuzi wakati akimkaribisaha mgeni rasmi aliwashukuru sana Nmb kwa kutatua changamoto zilizowakabili kwa muda mrefu za kukabiliana na ujenzi wa miundombinu katika shule mbalimbali za Wilaya ya Nyasa na kuhakikisha kuwa halmashauri inakuwa na majengo mazuri yanayomvutia mwanafunzi kujifunza.

Mkuu wa Wilaya ya Nyasa Isabela Chilumba ameipongeza benki ya Nmb Tawi la Nyasa kwa kusaidia kutatua changamoto mbalimbali zinazoikumba sekta ya elimu hivyo itasaidia hususani katika shule ambazo Nmb wamezipa msaada huo wa vifaa vya ujenzi ambavyo kweli ilikuwa nia changamoto ambazo zilikuwa zinawakabili na kwa niaba ya wananchi wa Wilaya ya Nyasa anatoa shukrani za dhati kwa meneja wa Nmb tawi la Nyasa na akatoa wito kwa wadau mbalimbali wa maendeleo kuiga mfano wa Nmb Tawi la Nyasa kwa kuunga juhudi za serikali za kuhakikisha elimu inastawi katika maeneo yetu.

Matangazo

  • TANGAZO LA LESENI ZA BIASHARA January 22, 2025
  • TANGAZO la usafi wa mazingira Jumamosi ya mwisho wa mwezi Septemba 2024 February 27, 2025
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • TAKUKURU Mkoa wa Ruvuma Yafanikiwa Kurejesha Mil. 9.2, na Kudhibiti Mianya ya Rushwa.

    May 30, 2025
  • TAKUKURU Ruvuma Yawezesha kupatikana fedha za makusanyo Songea Dc

    May 30, 2025
  • ALAT Ruvuma na Baraza la Madiwani la Chalinze Watembelea Manispaa ya Iringa Kujifunza Ukusanyaji wa Mapato.

    May 29, 2025
  • ISMAIL ALI MKIMBIZA MWENGE KITAIFA ARIDHISHWA NA UTEKELEZAJI WA MIRADI

    May 15, 2025
  • Tazama zote

Video

ALAT RUVUMA ZIARANI IRINGA TC
Video Zaidi

Viungio vya Haraka

  • Ruvuma Region Website
  • Songea diistrict websites
  • Madaba District Council Website
  • Tunduru District Website
  • Namtumbo District Website
  • Nyasa District Website
  • Mbinga Town Council Website
  • Mbinga District Council Website
  • Songea Municipal face book

Tovuti Mashuhuri

  • Wizara ya Fedha
  • TAMISEMI
  • Wakala wa Serikali Mtandao
  • Utumishi
  • National Bureau of Statistics
  • Baraza la Mitihani Tanzania

Idadi ya Wasomaji Duniani

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

free HitCounter

Ramani ya Mahali

Wasiliana nasi

    SONGEA MUNICIPAL COUNCIL

    Anuani ya Posta: P O BOX 14, SONGEA

    Simu ya Mezani: 025 2602970

    Simu ya Kiganjani:

    Barua Pepe: info@songeamc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Falagha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani ya Mahali
    • Huduma

Hakimiliki ©2017 Halmashauri ya Manispaa ya Songea. Haki zote zimehifadhiwa