• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Songea Municipal Council
Songea Municipal Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa ya Songea

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Maendeleo ya Jamii Jinsia na Watoto
      • Planning,Statistics and Monitoring
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Elimu ya Msingi
      • Mazingira na Usafi
      • Maji
      • Afya
      • Elimu ya Sekondari
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Ujenzi
      • Fedha na Biashara
      • Arthi na Mipangomiji
    • Vitengo
      • Uchaguzi
      • Legal Services
      • Mawasiliano, Habari na Teknolojia
      • Ukaguzi wa ndani
      • Ugavi na Manunuzi
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma zetu
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi isiyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio

OFISI ya Mkuu wa Mkoa wa Ruvuma yakagua miradi ya Mwenge Manispaa ya Songea

Tarehe ya kuwekwa: September 8th, 2019

Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Ruvuma kwa kushirikiana na Mkurugenzi wa Halmashauri ya Manispaa ya Songea wamefanya ziara ya kutembelea miradi mbalimbali itakayozinduliwa na Mwenge wa Uhuru 22/09/2019  katika Manispaa ya Songea.

Katibu Tawala Msaidizi wa Mkoa wa Ruvuma  Mkonge Ally  akizungumza katika eneo la miradi  hiyo ambayo ni; mradi wa Maji uliopo Luhila Kati, mradi wa ujenzi wa barabara ya Haf London Stand, mradi wa ujenzi wa madarasa katika shule ya Matarawe, mradi wa kitalu nyumba uliopo Shule ya Sekondari Chandarua pamoja na mradi wa kituo cha afya kilichopo Bombambili, amewataka  viongozi kuwa makini sana katika kufanya maandalizi ili waweze kufanikisha kupokea mwenge wa uhuru bila tatizo lolote.

Ally amewaomba kufanya marekebisho kwenyemiradi iliyo na mapungufumapema kabla ya tukio pia ametoa wito kwa viongozi kushirikiana katika kufanya maandalizi  kwa kuwa mwenge wa uhuru una umuhimu zaidi kwa kuwa unajenga umoja na mshikamano kwa wananchi.

 Viongozi wenzangu mwenge ni alama ya umoja.’’Amesema Mbeya.

Kwa upande wake, Mratibu wa Mwenge wa Halmashauri ya Manispaa ya Songea Abraham Mwakalegule ameahidi kutekeleza na kuyafanyia kazi maagizo yaliyotolewa na kiongozi wa Mbio za Mwenge wa uhuru ili kufanikisha sauala hilo.

Naye, Mkurugenzi wa Manispaa ya Songea Tina Sekambo amewashukuru  kwa mchango wa mawazo ambayo yatasaidia kuzaa matokeo chanya katika maandalizi ya kupokea mwenge wa uhuru na amewaahidi kuwa wategemee mabadiliko mazuri katika sehemu zote zenye mapungufu.

“Hatutawaangusha tutakeleza kwa pamoja.” Amesema Sekambo

Mwenge wa uhuru ni alama ya umoja hivyo unapaswa kuwa wa taifa moja kama bendera na wimbo wa taifa.

Imeandaliwa na 

Bacilius Kumburu

Wa kitengo cha TEHAMA Manispaa ya Songea 

Septemba 7, 2019

Matangazo

  • TANGAZO LA LESENI ZA BIASHARA January 22, 2025
  • TANGAZO la usafi wa mazingira Jumamosi ya mwisho wa mwezi Septemba 2024 February 27, 2025
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • TAKUKURU Mkoa wa Ruvuma Yafanikiwa Kurejesha Mil. 9.2, na Kudhibiti Mianya ya Rushwa.

    May 30, 2025
  • TAKUKURU Ruvuma Yawezesha kupatikana fedha za makusanyo Songea Dc

    May 30, 2025
  • ALAT Ruvuma na Baraza la Madiwani la Chalinze Watembelea Manispaa ya Iringa Kujifunza Ukusanyaji wa Mapato.

    May 29, 2025
  • ISMAIL ALI MKIMBIZA MWENGE KITAIFA ARIDHISHWA NA UTEKELEZAJI WA MIRADI

    May 15, 2025
  • Tazama zote

Video

ALAT RUVUMA ZIARANI IRINGA TC
Video Zaidi

Viungio vya Haraka

  • Ruvuma Region Website
  • Songea diistrict websites
  • Madaba District Council Website
  • Tunduru District Website
  • Namtumbo District Website
  • Nyasa District Website
  • Mbinga Town Council Website
  • Mbinga District Council Website
  • Songea Municipal face book

Tovuti Mashuhuri

  • Wizara ya Fedha
  • TAMISEMI
  • Wakala wa Serikali Mtandao
  • Utumishi
  • National Bureau of Statistics
  • Baraza la Mitihani Tanzania

Idadi ya Wasomaji Duniani

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

free HitCounter

Ramani ya Mahali

Wasiliana nasi

    SONGEA MUNICIPAL COUNCIL

    Anuani ya Posta: P O BOX 14, SONGEA

    Simu ya Mezani: 025 2602970

    Simu ya Kiganjani:

    Barua Pepe: info@songeamc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Falagha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani ya Mahali
    • Huduma

Hakimiliki ©2017 Halmashauri ya Manispaa ya Songea. Haki zote zimehifadhiwa