• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Songea Municipal Council
Songea Municipal Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa ya Songea

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Maendeleo ya Jamii Jinsia na Watoto
      • Planning,Statistics and Monitoring
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Elimu ya Msingi
      • Mazingira na Usafi
      • Maji
      • Afya
      • Elimu ya Sekondari
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Ujenzi
      • Fedha na Biashara
      • Arthi na Mipangomiji
    • Vitengo
      • Uchaguzi
      • Legal Services
      • Mawasiliano, Habari na Teknolojia
      • Ukaguzi wa ndani
      • Ugavi na Manunuzi
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma zetu
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi isiyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio

POS zaongeza mapato kwa asilimia 260 Songea

Tarehe ya kuwekwa: May 31st, 2018

UKUSANYAJI wa mapato kwa njia ya mashine za kieletroniki  (POS ) katika Halmashauri ya Manispaa ya Songea Mkoa wa Ruvuma  umesababisha mapato ya Halmashauri hiyo kuongezeka kwa asilimia  262 hadi kufikia Machi mwaka huu. Mwekahazina Mkuu wa Manispaa hiyo  Denis Mwaitete  Akizungumza na jopo la wanahabari ofisini kwake mjini Songea amesema kabla kutumia POS makusanyo kwa mwaka yalikuwa ni shilingi bilioni 1.3 kwa mwaka na kwamba baada ya kuanza kutumia POS makusanyo yamepanda kwa mwaka hadi kufikia shilingi bilioni 2.262 kwa mwaka sawa na asilimia 262.

Amesema hadi sasa Manispaa ya Songea imenunua POS 100 ambazo zimesambazwa katika vituo vyote vya kukusanya mapato na kwamba hakuna kituo ambacho kinatumia mfumo wa vitabu na kwamba POS  zimerahisisha watumishi na ofisi ya Mkurugenzi  kupata takwimu sahihi za ukusanyaji mapato kwa sikuwa, wiki hadi mwezi hali ambayo inasababisha serikali kupata mapato halali na kupunguza upotevu wa mapato ambao ulikuwapo kabla ya kuanza matumizi ya POS.

Mwaitete ametoa rai kwa wananchi wa Manispaa hiyo na watanzania kwa ujumla  kuhakikisha wanatumia risiti za kieletroniki  ili serikali iweze kuongeza mapato ambayo yanaiwezesha serikali kuwahudumia wananchi wake  na kuanzisha miradi mbalimbali ya maendeleo kama ilivyo katika Manispaa hiyo ambako kuna miradi mikubwa ukiwemo ujenzi wa Stendi mpya ya mabasi katika eneo la Kata ya Tanga ambayo itaongeza mapato na kuongeza ajira kwa vijana na wanawake. 

Imetolewa na Albano Midelo 

Afisa Habari wa manispaa ya Songea 

Mei 31,2018

Matangazo

  • TANGAZO LA LESENI ZA BIASHARA January 22, 2025
  • TANGAZO la usafi wa mazingira Jumamosi ya mwisho wa mwezi Septemba 2024 February 27, 2025
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • TAKUKURU Mkoa wa Ruvuma Yafanikiwa Kurejesha Mil. 9.2, na Kudhibiti Mianya ya Rushwa.

    May 30, 2025
  • TAKUKURU Ruvuma Yawezesha kupatikana fedha za makusanyo Songea Dc

    May 30, 2025
  • ALAT Ruvuma na Baraza la Madiwani la Chalinze Watembelea Manispaa ya Iringa Kujifunza Ukusanyaji wa Mapato.

    May 29, 2025
  • ISMAIL ALI MKIMBIZA MWENGE KITAIFA ARIDHISHWA NA UTEKELEZAJI WA MIRADI

    May 15, 2025
  • Tazama zote

Video

ALAT RUVUMA ZIARANI IRINGA TC
Video Zaidi

Viungio vya Haraka

  • Ruvuma Region Website
  • Songea diistrict websites
  • Madaba District Council Website
  • Tunduru District Website
  • Namtumbo District Website
  • Nyasa District Website
  • Mbinga Town Council Website
  • Mbinga District Council Website
  • Songea Municipal face book

Tovuti Mashuhuri

  • Wizara ya Fedha
  • TAMISEMI
  • Wakala wa Serikali Mtandao
  • Utumishi
  • National Bureau of Statistics
  • Baraza la Mitihani Tanzania

Idadi ya Wasomaji Duniani

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

free HitCounter

Ramani ya Mahali

Wasiliana nasi

    SONGEA MUNICIPAL COUNCIL

    Anuani ya Posta: P O BOX 14, SONGEA

    Simu ya Mezani: 025 2602970

    Simu ya Kiganjani:

    Barua Pepe: info@songeamc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Falagha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani ya Mahali
    • Huduma

Hakimiliki ©2017 Halmashauri ya Manispaa ya Songea. Haki zote zimehifadhiwa