• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Songea Municipal Council
Songea Municipal Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa ya Songea

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Maendeleo ya Jamii Jinsia na Watoto
      • Planning,Statistics and Monitoring
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Elimu ya Msingi
      • Mazingira na Usafi
      • Maji
      • Afya
      • Elimu ya Sekondari
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Ujenzi
      • Fedha na Biashara
      • Arthi na Mipangomiji
    • Vitengo
      • Uchaguzi
      • Legal Services
      • Mawasiliano, Habari na Teknolojia
      • Ukaguzi wa ndani
      • Ugavi na Manunuzi
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma zetu
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi isiyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio

RATIBA YA ZIARA YA KIKAZI YA MAKAMU WA RAIS - MKOANI RUVUMA.

Tarehe ya kuwekwa: July 19th, 2023

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Philip Isdor Mpango anatarajia kuanza ziara ya kikazi kuanzia tarehe 20 Julai 2023 hadi 24 Julai 2023 Mkoani Ruvuma.

Akizungumza na waandishi wa Habari ofisini kwake Mkuu  Mkoa wa Ruvuma  Kanal Laban Thomas amesema “ tarehe 20 Julai 2023 Makamu wa Rais anatarajia kuwasili katika kijiji cha Lilondo Halmashauri ya Madaba na kupokelewa na viongozi wa Chama na Serikali kisha  atawasalimu wananchi, pia akiwa katika  Halmashauri ya Madaba  pia atawasalimia wananchi  katika katika kijiji cha Mlilayoyo  kisha kuondoka kuelekea Ikulu ndogo.

Alisema Tarehe 21 Julai 2023 atazindua kituo cha Afya Lilambo na kuongea na wananchi, kisha ataondoka kuelekea kijiji cha Matomondo katika Halmashauri ya  Wilaya ya Songea  ambako ataweka jiwe la msingi Barabara ya Kiwango cha Lami ya Matomondo  hadi Mlale JKT yenye Urefu wa Km 4.5, pia ataongea na wananchi na kuelekea Peramiho ambapo atafungua Jengo la kusafisha Figo , na kukagua jengo la upasuaji pia na kusalimiana na wananchi.

Kanal Laban aliongeza kuwa Ziara hiyo itaendelea hadi tarehe 22 Julai ambapo atashiriki kuzindua Kampeni ya Kitaifa ya Msaada wa Kisheria ya Mama Samia ( Mama Samia Legal Aid  Campaign) itakayofanyika katika uwanja wa Majimaji.

Makamu wa Rais ataendelea na Ziara  hadi tarehe 23 Julai ambapo atatembelea Wilaya ya Nyasa na Mbinga, na  anatarajia kukamilisha ziara yake tarehe 24 Julai 2023 siku ya Jumatatu.

IMEANDALIWA NA;

AMINA PILLY;

KITENGO CHA MAWASILIANO SERIKALINI.   

Matangazo

  • TANGAZO LA LESENI ZA BIASHARA January 22, 2025
  • TANGAZO la usafi wa mazingira Jumamosi ya mwisho wa mwezi Septemba 2024 February 27, 2025
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • ISMAIL ALI MKIMBIZA MWENGE KITAIFA ARIDHISHWA NA UTEKELEZAJI WA MIRADI

    May 15, 2025
  • MWENGE WA UHURU WAPOKELEWA MKOANI RUVUMA

    May 09, 2025
  • RC Ruvuma Awapongeza Wastaafu 86 wa Kada ya Ualimu Mkoani Ruvuma

    May 08, 2025
  • Kamati ya Siasa Wilaya Yaridhishwa na Hatua za Miradi ya Maendeleo

    May 06, 2025
  • Tazama zote

Video

YALIYOJIRI MAKABIDHIANO YA MBIO ZA MWENGE WA UHURU
Video Zaidi

Viungio vya Haraka

  • Ruvuma Region Website
  • Songea diistrict websites
  • Madaba District Council Website
  • Tunduru District Website
  • Namtumbo District Website
  • Nyasa District Website
  • Mbinga Town Council Website
  • Mbinga District Council Website
  • Songea Municipal face book

Tovuti Mashuhuri

  • Wizara ya Fedha
  • TAMISEMI
  • Wakala wa Serikali Mtandao
  • Utumishi
  • National Bureau of Statistics
  • Baraza la Mitihani Tanzania

Idadi ya Wasomaji Duniani

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

free HitCounter

Ramani ya Mahali

Wasiliana nasi

    SONGEA MUNICIPAL COUNCIL

    Anuani ya Posta: P O BOX 14, SONGEA

    Simu ya Mezani: 025 2602970

    Simu ya Kiganjani:

    Barua Pepe: info@songeamc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Falagha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani ya Mahali
    • Huduma

Hakimiliki ©2017 Halmashauri ya Manispaa ya Songea. Haki zote zimehifadhiwa