• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Songea Municipal Council
Songea Municipal Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa ya Songea

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Maendeleo ya Jamii Jinsia na Watoto
      • Planning,Statistics and Monitoring
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Elimu ya Msingi
      • Mazingira na Usafi
      • Maji
      • Afya
      • Elimu ya Sekondari
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Ujenzi
      • Fedha na Biashara
      • Arthi na Mipangomiji
    • Vitengo
      • Uchaguzi
      • Legal Services
      • Mawasiliano, Habari na Teknolojia
      • Ukaguzi wa ndani
      • Ugavi na Manunuzi
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma zetu
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi isiyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio

RC Mndeme akagua miradi ya Mwenge wa Uhuru Manispaa ya Songea

Tarehe ya kuwekwa: May 15th, 2018

MKUU wa Mkoa wa Ruvuma Christina Mndeme ameiongoza Kamati ya Ulinzi na Usalama kukagua miradi ya Mwenge wa Uhuru katika Halmashauuri ya Manispaa ya Songea.

Mndeme amekagua miradi mbalimbali inayakadiriwa kuwa na thamani ya Zaidi ya shilingi bilioni moja ambayo inatarajiwa kuwekewa mawe ya msingi na kuzinduliwa Juni 7 mwaka huu ambapo Mwenge wa Uhuru unatarajiwa kukimbizwa Manispaa ya Songea.

Mara baada ya kukagua miradi hiyo Kamati ya ulinzi na Usalama imeridhishwa na miradi hiyo,hata hivyo Mwenyekiti wa Kamati ya Ulinzi na Usalama ambaye ni Mkuu wa Mkoa wa Ruvuma ameagiza miradi ambayo bado haijakamilika kwa asilimia 100,ikamilishwa haraka.

Miradi ambayo imekaguliwa na Kamati hiyo ni mradi wa kopa ng’ombe lipa ng’ombe uliopo Kata ya Lilambo wenye thamani ya shilingi milioni 10 na mradi wa ujenzi wa madarasa matatu katika shule ya msingi Kiburang’oma wenye thamani ya Zaidi ya shilingi milioni 32.

Miradi mingine ni kiwanda cha kukoboa mpunga uliopo Kata ya Misufini wenye thamani ya Zaidi ya shilingi milioni 142,ujenzi wa zahanati ya St.Benjamini uliopo katika Kata ya Msamala wenye thamani ya shilingi milioni 468 na mradi wa maji Mitendewawa uliopo katika Kata ya Mshangano wenye thamani ya Zaidi ya shilingi milioni 517.

Kamati ya Ulinzi na Usalama Mkoa wa Ruvuma pia imekagua miradi ya mapambano dhidi ya malaria katika shule ya msingi Chandarua wenye thamani ya Zaidi ya shilingi milioni nane,mradi wa mabwawa ya samaki na utalii Kata ya Msamala wenye thamani ya Zaidi ya shilingi milioni 71,Mradi wa ujenzi wa ofisi ya Kata ya Mjimwema wenye thamani ya Zaidi ya milioni 40 na mradi wa uwezeshaji vikundi vya wanawake na vijana uliogharimu milioni 20.

Imeandaliwa na Albano Midelo

Afisa Habari Manispaa ya Songea

Mei 15,2018

Matangazo

  • TANGAZO LA LESENI ZA BIASHARA January 22, 2025
  • TANGAZO la usafi wa mazingira Jumamosi ya mwisho wa mwezi Septemba 2024 February 27, 2025
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • TAKUKURU Mkoa wa Ruvuma Yafanikiwa Kurejesha Mil. 9.2, na Kudhibiti Mianya ya Rushwa.

    May 30, 2025
  • TAKUKURU Ruvuma Yawezesha kupatikana fedha za makusanyo Songea Dc

    May 30, 2025
  • ALAT Ruvuma na Baraza la Madiwani la Chalinze Watembelea Manispaa ya Iringa Kujifunza Ukusanyaji wa Mapato.

    May 29, 2025
  • ISMAIL ALI MKIMBIZA MWENGE KITAIFA ARIDHISHWA NA UTEKELEZAJI WA MIRADI

    May 15, 2025
  • Tazama zote

Video

ALAT RUVUMA ZIARANI IRINGA TC
Video Zaidi

Viungio vya Haraka

  • Ruvuma Region Website
  • Songea diistrict websites
  • Madaba District Council Website
  • Tunduru District Website
  • Namtumbo District Website
  • Nyasa District Website
  • Mbinga Town Council Website
  • Mbinga District Council Website
  • Songea Municipal face book

Tovuti Mashuhuri

  • Wizara ya Fedha
  • TAMISEMI
  • Wakala wa Serikali Mtandao
  • Utumishi
  • National Bureau of Statistics
  • Baraza la Mitihani Tanzania

Idadi ya Wasomaji Duniani

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

free HitCounter

Ramani ya Mahali

Wasiliana nasi

    SONGEA MUNICIPAL COUNCIL

    Anuani ya Posta: P O BOX 14, SONGEA

    Simu ya Mezani: 025 2602970

    Simu ya Kiganjani:

    Barua Pepe: info@songeamc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Falagha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani ya Mahali
    • Huduma

Hakimiliki ©2017 Halmashauri ya Manispaa ya Songea. Haki zote zimehifadhiwa