• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Songea Municipal Council
Songea Municipal Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa ya Songea

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Maendeleo ya Jamii Jinsia na Watoto
      • Planning,Statistics and Monitoring
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Elimu ya Msingi
      • Mazingira na Usafi
      • Maji
      • Afya
      • Elimu ya Sekondari
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Ujenzi
      • Fedha na Biashara
      • Arthi na Mipangomiji
    • Vitengo
      • Uchaguzi
      • Legal Services
      • Mawasiliano, Habari na Teknolojia
      • Ukaguzi wa ndani
      • Ugavi na Manunuzi
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma zetu
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi isiyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio

RC Ruvuma Amewataka Wananchi Kujitokeza Kupiga kura 29 Oktoba 2025; Awaonya Wanaotaka Kuvuruga Amani.

Tarehe ya kuwekwa: October 20th, 2025

Mkuu wa Mkoa wa Ruvuma, Brigedia Jenerali Ahmed Abbas Ahmed, ametoa wito kwa wananchi wote wa Mkoa wa Ruvuma kujitokeza kwa wingi kushiriki katika zoezi la kupiga kura litakalofanyika tarehe 29 Oktoba 2025, akisisitiza kuwa ni haki ya kikatiba na njia halali ya kuchagua viongozi wanaoaminiwa kuwa watawatumikia wananchi kwa uadilifu.

Amesema Serikali kupitia vyombo vyake vya usalama imejipanga kikamilifu kuhakikisha kuwa mazingira ya uchaguzi yanakuwa salama, tulivu na huru kwa kila mwananchi ambapo  ameeleza kuwa ulinzi utaimarishwa katika maeneo yote ya kupigia kura ili kutoa fursa kwa kila mwananchi kushiriki katika mchakato huo wa kidemokrasia bila woga wala usumbufu wowote.

Aidha, RC Abbas ametoa onyo kali kwa mtu au kikundi chochote kitakachojaribu kuvuruga amani, kuchochea vurugu, au kufanya vitendo vya uvunjifu wa sheria, akibainisha kuwa Serikali haitasita kuchukua hatua kali za kisheria dhidi ya wahusika kwa lengo la kudumisha amani, utulivu na usalama wa wananchi.

“Mkoa wa Ruvuma ni miongoni mwa maeneo yanayojivunia  kuwa na utulivu na mshikamano wa kijamii na amewataka kuilinda sifa hiyo  kwa kushiriki uchaguzi kwa amani na utulivu kwa kuheshimu sheria na taratibu  ziliyowekwa na Tume ya Uchaguzi,” alisema Brigedia Jenerali Abbas.

Akizungumza katika kikao cha amani kilichofanyika leo katika ukumbi wa Songea Club na kuhudhuriwa na wadau mbalimbali wa amani, ambapo amewasihi wananchi Mkoani Ruvuma kutumia haki yao ya kupiga kura kwa  amani ya nchi, akisisitiza kuwa endapo amani hiyo itatoweka, hakuna wa kuja kuiokoa.

Kwa upande wao, wadau wa amani na wananchi walioshiriki kikao hicho wameishukuru Serikali kwa juhudi zake za kuimarisha amani, huku wakiahidi kujitokeza kwa wingi kushiriki uchaguzi kwa utulivu na kuheshimu sheria.

Zoezi la kupiga kura linatarajiwa kufanyika Oktoba 29, 2025, ikiwa ni siku 8 tu zilizobaki kabla ya siku hiyo muhimu kwa taifa.

MWISHO

Amina Pilly

Kitengo cha Mawasiliano Serikalini.

Matangazo

  • TANGAZO LA LESENI ZA BIASHARA January 05, 2026
  • TANGAZO la usafi wa mazingira Jumamosi ya mwisho wa mwezi Januari 2026 January 19, 2026
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • Kapenjama Ndile, Atoa Ufafanuzi Kuhusu Bei ya Bei ya Mbolea, Atoa Rai Matumizi ya Nishati Mbadala.

    February 18, 2026
  • Kapenjama Ndile, Atoa Ufafanuzi Kuhusu Bei ya Bei ya Mbolea, Atoa Rai Matumizi ya Nishati Mbadala.

    February 18, 2026
  • Mtella Apongeza Mafanikio ya Mkataba wa Lishe Songea MC; Aelekeza Bima ya Afya kuwa Ajenda ya Kudumu

    February 11, 2026
  • Mtella Apongeza Mafanikio ya Mkataba wa Lishe Songea MC; Aelekeza Bima ya Afya kuwa Ajenda ya Kudumu

    February 11, 2026
  • Tazama zote

Video

Yaliyojiri Kikao cha DCC Songea
Video Zaidi

Viungio vya Haraka

  • Ruvuma Region Website
  • Songea diistrict websites
  • Madaba District Council Website
  • Tunduru District Website
  • Namtumbo District Website
  • Nyasa District Website
  • Mbinga Town Council Website
  • Mbinga District Council Website
  • Songea Municipal face book

Tovuti Mashuhuri

  • Wizara ya Fedha
  • TAMISEMI
  • Wakala wa Serikali Mtandao
  • Utumishi
  • National Bureau of Statistics
  • Baraza la Mitihani Tanzania

Idadi ya Wasomaji Duniani

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

free HitCounter

Ramani ya Mahali

Wasiliana nasi

    SONGEA MUNICIPAL COUNCIL

    Anuani ya Posta: P O BOX 14, SONGEA

    Simu ya Mezani: 025 2602970

    Simu ya Kiganjani:

    Barua Pepe: info@songeamc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Falagha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani ya Mahali
    • Huduma

Hakimiliki ©2017 Halmashauri ya Manispaa ya Songea. Haki zote zimehifadhiwa

  • Situs Toto
  • Situs Slot Gacor
  • AXL777
  • Situs Toto
  • AERO88
  • Situs Slot Gacor
  • DORA77
  • DORA77
  • DORA77
  • Toto Togel
  • Slot Gacor
  • AXL777
  • AERO88
  • Situs Slot
  • Situs Slot Gacor
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Judi Online
  • KOI200
  • KOI200
  • Toto Slot
  • Toto Slot
  • Toto Slot
  • DORA77
  • Situs Toto Slot
  • Situs Toto Slot
  • Situs Toto
  • Situs Toto Slot
  • AXL777
  • toto slot
  • AXL777
  • AXL777
  • AXL777
  • Slot Gacor
  • Slot Gacor
  • Slot Gacor
  • Slot Gacor
  • Slot Gacor
  • Slot Gacor
  • Slot Gacor
  • Slot Gacor
  • Slot Gacor
  • Situs Toto
  • toto
  • slot gacor
  • ufabet
  • ufabet
  • ufabet
  • situs toto
  • KOI200
  • KOI200
  • KOI200
  • KOI200
  • AXL777
  • AXL777
  • AXL777
  • AXL777
  • Situs Toto
  • KOI200
  • Toto Slot Gacor
  • AERO88 Slot Gacor
  • Slot Gacor
  • Slot Gacor
  • AERO88
  • Situs Toto
  • situs toto
  • slot gacor
  • situs toto
  • yamitoto
  • kudetabet98
  • kudetabet98
  • yamitoto
  • toto slot
  • koi200
  • aero88
  • yamitoto
  • situs toto
  • dora77
  • slot gacor
  • aero88
  • aero88
  • dora77
  • dora77
  • slot gacor
  • situs toto
  • axl777
  • yamitoto
  • axl777
  • axl777
  • axl777
  • axl777
  • axl777
  • axl777
  • yamitoto
  • axl777
  • aero88
  • dora77
  • yamitoto
  • dora77
  • slot gacor
  • aero88
  • aero88
  • axl777
  • toto slot
  • axl777
  • slot777
  • yamitoto
  • yamitoto
  • axl777
  • AXL777
  • yamitoto
  • DORA77