• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Songea Municipal Council
Songea Municipal Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa ya Songea

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Maendeleo ya Jamii Jinsia na Watoto
      • Planning,Statistics and Monitoring
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Elimu ya Msingi
      • Mazingira na Usafi
      • Maji
      • Afya
      • Elimu ya Sekondari
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Ujenzi
      • Fedha na Biashara
      • Arthi na Mipangomiji
    • Vitengo
      • Uchaguzi
      • Legal Services
      • Mawasiliano, Habari na Teknolojia
      • Ukaguzi wa ndani
      • Ugavi na Manunuzi
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma zetu
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi isiyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio

RC RUVUMA AMEWATAKA WANANCHI KULINDA MUUNGANO WA TANGANYIKA NA ZANZIBAR.

Tarehe ya kuwekwa: April 27th, 2023

Mkuu wa Mkoa wa Ruvuma Kanal. Laban.Thomas amekemea vikali ndoa ya jinsia moja kwa vijana ambayo ni uvunjifu wa Mila na Desturi za Afrika.

Amewataka Wanafunzi kusoma kwa bidii ili waweze kupata mafanikio na kwa kupitia Elimu watakayoipata itawasaidia kusimamia Muungano na kutambua faida au manufaa ya Muungano.

Hayo yamejili wakati wa Maadhimisho ya Sherehe za Muungano wa Tanganyika na Zanzibar ambao uliadhimishwa kwa kufanya ziara  ya kutembelea miradi maendeleo na kuweka jiwe la Msingi la ufunguzi wa madarasa mawili ya awali yaliyojengwa kwa thamani ya shilingi Mil.43,160,000 fedha kutoka mfuko wa LANES 2021/202, uzinduzi wa Bweni la wasichana katika shule ya Sekondari Chabruma iliyojengwa kwa thamani ya Milioni 110 fedha kutoka Serikali kuu pamoja na upandaji wa miti kwenye maeneo ya shule kwa lengo la  kuenzi Muungano wetu.

Kanal. Laban ametoa rai kwa wanachi wote  kupanda miti ya vivuli, matunda  kwa lengo la kulinda na kutunza mazingira ili yaweze kuboresha uoto wa asili na kuimarisha vyanzo vya maji.

Naye Afisa Misitu Manispaa ya Songea Godfrey Luhimbo alisema Manispaa ya Songea inaendelea na mkakati wa kupanda miti kila  ambapo kupitia siku ya maadhimisho ya  sherehe ya Muungano ilipandwa miche 3000  na  kufanya  jumla ya miche yote ambayo imepandwa katika msimu wa mwaka 2023 ni  miche  Mil.1,134,512. Alibainisha.


                                                                                                                    

Kwa upande wa wanafunzi kutoka shule tofauti zilizotembelewa na Kiongozi huyo  walitoa shukrani zao kwa Serikali ya awamu ya sita kwa kuwawezesha kupata miundombinu ya bora ya elimu.

 

IMEANDALIWA NA;

AMINA PILLY

KITENGO CHA MAWASILIANO  SERIKALINI







Matangazo

  • TANGAZO LA LESENI ZA BIASHARA January 22, 2025
  • TANGAZO la usafi wa mazingira Jumamosi ya mwisho wa mwezi Septemba 2024 February 27, 2025
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • RC Ruvuma Awapongeza Wastaafu 86 wa Kada ya Ualimu Mkoani Ruvuma

    May 08, 2025
  • Kamati ya Siasa Wilaya Yaridhishwa na Hatua za Miradi ya Maendeleo

    May 06, 2025
  • Mkuu wa Mkoa wa Ruvuma Apongeza kwa Utekelezaji wa Miradi

    May 05, 2025
  • Mkuu wa Wilaya ya Nyasa Awataka Waajiri kuzingatia Misingi ya Utawala Bora

    May 01, 2025
  • Tazama zote

Video

Mkuu wa Wilaya ya Songea Akizindua Stendi ya Bajaji - Songea
Video Zaidi

Viungio vya Haraka

  • Ruvuma Region Website
  • Songea diistrict websites
  • Madaba District Council Website
  • Tunduru District Website
  • Namtumbo District Website
  • Nyasa District Website
  • Mbinga Town Council Website
  • Mbinga District Council Website
  • Songea Municipal face book

Tovuti Mashuhuri

  • Wizara ya Fedha
  • TAMISEMI
  • Wakala wa Serikali Mtandao
  • Utumishi
  • National Bureau of Statistics
  • Baraza la Mitihani Tanzania

Idadi ya Wasomaji Duniani

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

free HitCounter

Ramani ya Mahali

Wasiliana nasi

    SONGEA MUNICIPAL COUNCIL

    Anuani ya Posta: P O BOX 14, SONGEA

    Simu ya Mezani: 025 2602970

    Simu ya Kiganjani:

    Barua Pepe: info@songeamc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Falagha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani ya Mahali
    • Huduma

Hakimiliki ©2017 Halmashauri ya Manispaa ya Songea. Haki zote zimehifadhiwa