• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Songea Municipal Council
Songea Municipal Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa ya Songea

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Maendeleo ya Jamii Jinsia na Watoto
      • Planning,Statistics and Monitoring
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Elimu ya Msingi
      • Mazingira na Usafi
      • Maji
      • Afya
      • Elimu ya Sekondari
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Ujenzi
      • Fedha na Biashara
      • Arthi na Mipangomiji
    • Vitengo
      • Uchaguzi
      • Legal Services
      • Mawasiliano, Habari na Teknolojia
      • Ukaguzi wa ndani
      • Ugavi na Manunuzi
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma zetu
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi isiyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio

RC Ruvuma Apongeza Madiwani wa Songea MC, Awataka Usimamizi wa Mapato na Miradi ya Maendeleo

Tarehe ya kuwekwa: December 3rd, 2025

Mkuu wa Mkoa wa Ruvuma, Brigedia Jenerali Ahmed Abbas Ahmed, amewapongeza Madiwani wa Halmashauri ya Manispaa ya Songea kwa ushindi waliopata katika uchaguzi, akisisitiza kuwa ni heshima kubwa lakini pia ni wajibu mzito unaohitaji nidhamu, uadilifu na kujitolea kwa dhati katika kuwatumikia wananchi.

Pongezi hizo zilitolewa katika Mkutano wa Kwanzawa Baraza la Madiwani uliofanyika tarehe 2 Desemba 2025 katika ukumbi wa Manispaaya Songea, mkutano uliolenga kuunda baraza jipya, kutoa viapo kwa madiwani nakupokea taarifa ya utendaji ya Halmashauri kwa kipindi cha Julai 1 hadi Desemba1, 2025.

Akizungumza katika mkutano huo, Mkuu wa Mkoa aliwataka viongozi hao kushirikiana na wataalamu wa Halmashauri kusimamia ukusanyaji wa mapato, kuboresha vyanzo vilivyopo na kuhakikisha mifumo yaukusanyaji inakuwa thabiti na yenye uwazi. Pia aliwataka kuwa makini katika usimamizi wa miradi ya maendeleo na kuchukua hatua pindi wanapoona upotevu au matumizi mabaya ya fedha za serikali.

“Nendeni mkahakikishe watendaji wanaosimamia makusanyo wanafanya kazi kwa uadilifu.Mnapoona upotevu wa mapato, chukueni hatua bila kuchelewa. Hakikisheni pia watumishi wanapata stahiki zao ikiwemo mafao ya likizo na maslahi mengine,”alisisitiza Brigedia Jenerali Abbas.

Aidha, aliwahimiza madiwani kushughulikia changamoto za wananchi na kuendelea kushirikiana na serikali ya mkoa, watendaji wa Halmashauri na wadau wa maendeleo ili kuleta maendeleo ya kweli ndani yaManispaa ya Songea.

Katika hatua nyingine, Baraza la Madiwani lilifanya uchaguzi wa Meya na Naibu Meya, ambapo Katibu Tawala wa Wilaya ya Songea, Mtella Mwampamba, alitangaza matokeo ya kura 30 zilizopigwa bila kuharibika. Ndugu Abrahamu Egno Mbunda alichaguliwa kuwa Mstahiki Meya wa Manispaa ya Songea, huku Edith Chiwango akichaguliwa kuwa Naibu Meya kwa kura zote 30.

Akizungumza baada ya matokeo, Mwampamba alisema wananchi wanamatarajio makubwa kutoka kwa viongozi wao, hivyo ni muhimu kuongoza kwa weledi, kuheshimiana na kukosoana kwa ujenzi, ili kuepuka migogoro inayoweza kurudisha nyuma maendeleo.

Kwa upande wake, Mkurugenzi wa Manispaa ya Songea, Wakili Bashir Muhoja, aliwasilisha taarifa ya utendaji akieleza kuwa hadi kufikia Desemba 1, 2025, Halmashauri imepokea na kutumia fedha kulingana na mpango na bajeti ya mwaka wa fedha 2025/2026. Kiasi cha shilingi bilioni 26.58 sawa na 101.2% ya makadirio kilipokelewa kwa matumizi ya kawaida, huku zaidi ya shilingi bilioni 26.03 zikitumika kugharamia shughuli mbalimbali. Aidha, mapato ya ndani yaliyokusanywa yalifikia shilingi bilioni 3.29 sawa na 53.8% ya makisio ya mwaka.

Kwa upande wa fedha za maendeleo, Halmashauri ilipokea shilingi bilioni 5.88 sawa na 42.04% ya makisio ya mwaka mzima.

Naye Mwenyekiti wa CCM Mkoa wa Ruvuma, Komredi Oddo Mwisho, aliwapongeza madiwani na wabunge kwa ushindi na kuwasisitiza kuongeza juhudi katika ukusanyaji wa mapato, kutunga sheria rafiki kwa wananchi na kuweka mipango yenye tija kwa jamii.

Viongozi mbalimbali walisisitiza kuwa wataendelea kushirikiana na wataalamu na wananchi kuhakikisha maendeleo yanapatikana ndani ya Halmashauri ya Manispaa ya Songea.

Baraza hilo lilihudhuriwa na Viongozi ngazi ya  Mkoa na Wilaya, viongozi wa vyama vya siasa. Wananchi na wadau mbalimbali.

NA;

Amina Pilly

Kitengo cha Mawasiliano Serikalini.

Matangazo

  • TANGAZO LA LESENI ZA BIASHARA October 17, 2025
  • TANGAZO la usafi wa mazingira Jumamosi ya mwisho wa mwezi Oktoba 2025 October 18, 2025
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • PPRA YATOA MAFUNZO YA SHERIA ZA MANUNUZI YA UMMA KUBORESHA UTENDAJI KAZI

    January 08, 2026
  • Mkuu wa Mkoa wa Ruvuma, Apokea Taarifa ya Kifo cha Mhe. Jenista Mhagama- Mbunge wa Pearamiho

    December 11, 2025
  • Tathimini ya Elimu Manispaa ya Songea

    December 08, 2025
  • Mkuu wa Mkoa wa Ruvuma, Aketi na Vijana Mkoani Ruvuma; Asisitiza Amani

    December 05, 2025
  • Tazama zote

Video

RC RUVUMA, AKETI NA VIJANA MKOANI RUVUMA; ASISITIZA AMANI
Video Zaidi

Viungio vya Haraka

  • Ruvuma Region Website
  • Songea diistrict websites
  • Madaba District Council Website
  • Tunduru District Website
  • Namtumbo District Website
  • Nyasa District Website
  • Mbinga Town Council Website
  • Mbinga District Council Website
  • Songea Municipal face book

Tovuti Mashuhuri

  • Wizara ya Fedha
  • TAMISEMI
  • Wakala wa Serikali Mtandao
  • Utumishi
  • National Bureau of Statistics
  • Baraza la Mitihani Tanzania

Idadi ya Wasomaji Duniani

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

free HitCounter

Ramani ya Mahali

Wasiliana nasi

    SONGEA MUNICIPAL COUNCIL

    Anuani ya Posta: P O BOX 14, SONGEA

    Simu ya Mezani: 025 2602970

    Simu ya Kiganjani:

    Barua Pepe: info@songeamc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Falagha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani ya Mahali
    • Huduma

Hakimiliki ©2017 Halmashauri ya Manispaa ya Songea. Haki zote zimehifadhiwa

  • Situs Toto
  • Situs Slot Gacor
  • AXL777
  • Situs Toto
  • AERO88
  • Situs Slot Gacor
  • DORA77
  • DORA77
  • DORA77
  • Toto Togel
  • Slot Gacor
  • AXL777
  • AERO88
  • Situs Slot
  • Situs Slot Gacor
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Judi Online
  • KOI200
  • KOI200
  • Toto Slot
  • Toto Slot
  • Toto Slot
  • DORA77
  • Situs Toto Slot
  • Situs Toto Slot
  • Situs Toto
  • Situs Toto Slot
  • AXL777
  • toto slot
  • AXL777
  • AXL777
  • AXL777
  • Slot Gacor
  • Slot Gacor
  • Slot Gacor
  • Slot Gacor
  • Slot Gacor
  • Slot Gacor
  • Slot Gacor
  • Slot Gacor
  • Slot Gacor
  • Situs Toto
  • toto
  • KOI200
  • KOI200
  • KOI200
  • KOI200
  • AXL777
  • AXL777
  • AXL777
  • AXL777
  • Situs Toto
  • KOI200
  • Toto Slot Gacor
  • AERO88 Slot Gacor
  • Slot Gacor
  • Slot Gacor
  • AERO88
  • Situs Toto
  • situs toto
  • slot gacor
  • situs toto
  • yamitoto
  • kudetabet98
  • kudetabet98
  • yamitoto
  • toto slot
  • koi200