• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Songea Municipal Council
Songea Municipal Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa ya Songea

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Maendeleo ya Jamii Jinsia na Watoto
      • Planning,Statistics and Monitoring
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Elimu ya Msingi
      • Mazingira na Usafi
      • Maji
      • Afya
      • Elimu ya Sekondari
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Ujenzi
      • Fedha na Biashara
      • Arthi na Mipangomiji
    • Vitengo
      • Uchaguzi
      • Legal Services
      • Mawasiliano, Habari na Teknolojia
      • Ukaguzi wa ndani
      • Ugavi na Manunuzi
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma zetu
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi isiyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio

Ruvuma Yaadhimisha Siku ya Kimataifa ya Wazee Duniani kwa Kuhamasisha Ushiriki wa Uchaguzi Mkuu

Tarehe ya kuwekwa: October 2nd, 2025

Mkoa wa Ruvuma umeungana na jamii ya kimataifa kuadhimisha kilele cha Siku ya Kimataifa ya Wazee, katika hafla iliyofanyika kwenye ukumbi wa Songea Club, huku maadhimisho hayo yakiongozwa na kaulimbiu isemayo:
“Ushiriki wa Wazee katika Uchaguzi Mkuu kwa Ustawi wa Jamii.”

Lengo kuu la maadhimisho haya lilikuwa ni kutambua mchango mkubwa wa wazee katika maendeleo ya taifa, pamoja na kuwahamasisha kushiriki kikamilifu katika michakato ya kidemokrasia, hasa kuelekea uchaguzi mkuu ujao. Hafla hiyo ilihudhuriwa na viongozi mbalimbali wa serikali, wadau wa maendeleo, na wananchi kutoka mikoa mbalimbali.

Akizungumza wakati wa maadhimisho hayo, Mkuu wa Mkoa wa Ruvuma, Brigedia Jenerali Ahmed Abas Ahmed, ambaye alikuwa mgeni rasmi, alitoa shukrani kwa wizara, washiriki, na waandaaji kwa kufanikisha maadhimisho hayo kwa mafanikio makubwa. Alisisitiza kuwa:

"Serikali ina jukumu la kuendeleza amani na kudumisha ustawi wa taifa kwa maendeleo endelevu. Wazee wanapaswa kushiriki kikamilifu katika uchaguzi kwa kuwa ni haki yao ya msingi na njia ya kuchangia ustawi wa jamii."

Aliongeza kuwa jamii inapaswa kuendelea kujenga uelewa na kutoa hamasa kuhusu haki na maslahi ya wazee nchini.

Kwa upande wake, Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum, Wakili Amon Mpanju, aliipongeza wizara ya afya kwa kuratibu utoaji wa huduma za afya kwa wazee. Pia alisisitiza kuwa serikali inaendelea kuimarisha huduma za kijamii kwa wazee kwa kuhakikisha Ushirikishwaji wao katika sera, miongozo na mipango ya maendeleo,Wazee wanapata huduma stahiki za kijamii pamoja na Vijana wanahamasishwa kuwaheshimu na kuwatunza wazee kama sehemu ya kudumisha maadili ya taifa

Naye Mkuu wa Wilaya ya Songea, Mheshimiwa Kapenjama Ndile, aliwashukuru wageni kutoka mikoa mingine kwa kushiriki maadhimisho hayo, na kuwataka waendelee kushirikiana kwa karibu katika kuwaenzi wazee.

“Tunawashukuru kwa kuungana nasi katika siku hii muhimu ya kitaifa, ambayo inaleta mshikamano na kutambua nafasi ya wazee katika jamii yetu,” alisema.

Maadhimisho haya yameonesha dhamira ya dhati ya serikali na wadau wa maendeleo katika kulinda haki, heshima na ustawi wa wazee, sambamba na kuwawezesha kushiriki kikamilifu katika masuala ya kijamii na kisiasa, ikiwa ni pamoja na uchaguzi mkuu ujao

Matangazo

  • TANGAZO LA LESENI ZA BIASHARA October 17, 2025
  • TANGAZO la usafi wa mazingira Jumamosi ya mwisho wa mwezi Oktoba 2025 October 18, 2025
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • Dkt. Ndumbaro Aibuka Mshindi Ubunge Jimbo la Songea Mjini

    October 30, 2025
  • Rc Ruvuma Akabidhi Magari 4 Yenye Thamani ya Bil. 2.2 Kwa Jeshi la Zimamoto na Uokoaji Mkoani Ruvuma

    October 26, 2025
  • Washiriki 1,542 Wapata Mafunzo ya Usmamizi wa Vituo na Wasimamizi Wasaidizi wa Vituo.

    October 26, 2025
  • WASHIRIKI 542 WAPATA MAFUNZO YA MAKARANI WAONGOZAJI

    October 25, 2025
  • Tazama zote

Video

RAIS DKT. SAMIA AKIMUAPISHA WAZIRI MKUU
Video Zaidi

Viungio vya Haraka

  • Ruvuma Region Website
  • Songea diistrict websites
  • Madaba District Council Website
  • Tunduru District Website
  • Namtumbo District Website
  • Nyasa District Website
  • Mbinga Town Council Website
  • Mbinga District Council Website
  • Songea Municipal face book

Tovuti Mashuhuri

  • Wizara ya Fedha
  • TAMISEMI
  • Wakala wa Serikali Mtandao
  • Utumishi
  • National Bureau of Statistics
  • Baraza la Mitihani Tanzania

Idadi ya Wasomaji Duniani

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

free HitCounter

Ramani ya Mahali

Wasiliana nasi

    SONGEA MUNICIPAL COUNCIL

    Anuani ya Posta: P O BOX 14, SONGEA

    Simu ya Mezani: 025 2602970

    Simu ya Kiganjani:

    Barua Pepe: info@songeamc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Falagha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani ya Mahali
    • Huduma

Hakimiliki ©2017 Halmashauri ya Manispaa ya Songea. Haki zote zimehifadhiwa

  • Situs Toto
  • Situs Slot Gacor
  • AXL777
  • Situs Toto
  • AERO88
  • Situs Slot Gacor
  • DORA77
  • DORA77
  • DORA77
  • Toto Togel
  • Slot Gacor
  • AXL777
  • AERO88
  • Situs Slot
  • Situs Slot Gacor
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • DORA77
  • Situs Judi Online
  • KOI200
  • SILVAWIN
  • AXL777
  • YAMITOTO
  • NABITOTO
  • YAMITOTO
  • KOI200
  • KOI200
  • KOI200