• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Songea Municipal Council
Songea Municipal Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa ya Songea

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Maendeleo ya Jamii Jinsia na Watoto
      • Planning,Statistics and Monitoring
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Elimu ya Msingi
      • Mazingira na Usafi
      • Maji
      • Afya
      • Elimu ya Sekondari
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Ujenzi
      • Fedha na Biashara
      • Arthi na Mipangomiji
    • Vitengo
      • Uchaguzi
      • Legal Services
      • Mawasiliano, Habari na Teknolojia
      • Ukaguzi wa ndani
      • Ugavi na Manunuzi
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma zetu
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi isiyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio

SABABU za wamachinga Songea kuondolewa barabarani

Tarehe ya kuwekwa: August 17th, 2018

MSTAHIKI Meya wa Halmashauri ya Manispaa ya Songea Alhaji Abdul Hassan Mshaweji amezitaja sababu za wafanyabiashara wadogo maarufu kama wamachinga kuondolewa barabarani na kuwapeleka katika maeneo maalum yaliotengwa kwa ajili yao ni kuhakikisha wanafanya biashara katika maeneo salama na kuondoka barabarani ambako ni maeneo hatarishi.

" usalama wa wananchi ni kuhakikisha wanafanyakazi katika maeneo salama hivyo wamachinga tumewaandalia eneo la Majengo  ambako tunatengeneza barabara kwa kiwango  hiyo katika kiwango cha lami,tunatarajia hadi Novemba itakamilika,tunaweka  taa barabarani na miundombinu ya vyoo na maji hivyo watakuwa huru kufanya biashara zao  badala ya barabarani ambako ni hatari kwa usalama wao'',anasisitiza Mshaweji.

Amesema Manispaa ya Songea kwa kushirikiana na Jeshi la Polisi walifanya zoezi la kuwaondoa wamachinga katika maeneo ya barabarani na kwamba zoezi hilo ni endelevu  kwa kuwa Manispaa itaendelea kuwaondoa wamachinga watakaopanga bidhaa barabarani kwa usalama wao na ametoa rai kwa wafanyabiashara hao  watii sheria bila shuruti.

Uchunguzi umeonesha baadhi ya maeneo machache ambayo sio barabara kuu baadhi ya wamachinga wameonekana wanapanga biashara zao,hata hivyo idadi kubwa ya wamachinga wametii agizo la serikali kuondoka barabarani na kwenda katika maeneo rasmi ambayo wameandaliwa ba Manispaa ya Songea ili waweze kufanyabiashara zao kwa amani na utulivu.

Hata hivyo Mstahiki Meya amewasisitizia wafanyabiashara wachache ambao bado hawajaenda katika eneo la Majengo watoke barabarani na kwenda kuungana na wenzao kufanyabiashara na kwamba waache kisingizio kuwa katika eneo la Majengo halifai kwa biashara jambo ambalo sio sahihi kwa sababu wenzao wanafanyabiashara na kupata faida katika maeneo hayo.

Imetolewa na Albano Midelo

Afisa Habari Manispaa ya Songea

Julai 17,2018.



Matangazo

  • TANGAZO LA LESENI ZA BIASHARA January 22, 2025
  • TANGAZO la usafi wa mazingira Jumamosi ya mwisho wa mwezi Septemba 2024 February 27, 2025
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • TAKUKURU Mkoa wa Ruvuma Yafanikiwa Kurejesha Mil. 9.2, na Kudhibiti Mianya ya Rushwa.

    May 30, 2025
  • TAKUKURU Ruvuma Yawezesha kupatikana fedha za makusanyo Songea Dc

    May 30, 2025
  • ALAT Ruvuma na Baraza la Madiwani la Chalinze Watembelea Manispaa ya Iringa Kujifunza Ukusanyaji wa Mapato.

    May 29, 2025
  • ISMAIL ALI MKIMBIZA MWENGE KITAIFA ARIDHISHWA NA UTEKELEZAJI WA MIRADI

    May 15, 2025
  • Tazama zote

Video

ALAT RUVUMA ZIARANI IRINGA TC
Video Zaidi

Viungio vya Haraka

  • Ruvuma Region Website
  • Songea diistrict websites
  • Madaba District Council Website
  • Tunduru District Website
  • Namtumbo District Website
  • Nyasa District Website
  • Mbinga Town Council Website
  • Mbinga District Council Website
  • Songea Municipal face book

Tovuti Mashuhuri

  • Wizara ya Fedha
  • TAMISEMI
  • Wakala wa Serikali Mtandao
  • Utumishi
  • National Bureau of Statistics
  • Baraza la Mitihani Tanzania

Idadi ya Wasomaji Duniani

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

free HitCounter

Ramani ya Mahali

Wasiliana nasi

    SONGEA MUNICIPAL COUNCIL

    Anuani ya Posta: P O BOX 14, SONGEA

    Simu ya Mezani: 025 2602970

    Simu ya Kiganjani:

    Barua Pepe: info@songeamc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Falagha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani ya Mahali
    • Huduma

Hakimiliki ©2017 Halmashauri ya Manispaa ya Songea. Haki zote zimehifadhiwa