• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Songea Municipal Council
Songea Municipal Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa ya Songea

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Maendeleo ya Jamii Jinsia na Watoto
      • Planning,Statistics and Monitoring
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Elimu ya Msingi
      • Mazingira na Usafi
      • Maji
      • Afya
      • Elimu ya Sekondari
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Ujenzi
      • Fedha na Biashara
      • Arthi na Mipangomiji
    • Vitengo
      • Uchaguzi
      • Legal Services
      • Mawasiliano, Habari na Teknolojia
      • Ukaguzi wa ndani
      • Ugavi na Manunuzi
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma zetu
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi isiyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio

SACCOS zitakazoshindwa kulipa madeni yao Baraza la Uwezeshaji kushitakiwa

Tarehe ya kuwekwa: August 24th, 2018

MKUU wa Mkoa wa Ruvuma Christina Mndeme ameagiza hadi kufikia Septemba 30 mwaka huu vikundi vyote ambavyo bado havijalipa mikopo Yao waliochukua kupitia Benki za CRDB na TPB tawi la Songea wachukuliwe hatua za kisheria.

 Akizungumza kwenye kikao cha ufuatuliaji wa madeni kilichofanyika kwenye ukumbi wa Manispaa ya Songea,Mndeme amesema Baraza la Taifa la Uwezesheji Wananchi Kiuchumi (NEEC) Linadai vikundi,vyama vya ushirika na SACCOS zaidi ya shilingi milioni 197 ambazo walikopeshwa kupitia CRDB na TBP  mkoa wa Ruvuma.

Kwa upande wake Meneja Mawasiliano wa CRDB Stephen Msigwa amesema hadi sasa Benki hiyo inadai jumla ya shilingi milioni 94 kati ya zaidi ya milioni 300 ambazo walivikopesha vikundi vya ujasirimali,vyama vya ushirika na SACCOS na kwamba wanatakiwa kulipa madeni yao ili waweze kutoa mikopo hiyo kwa watanzania wengine wanaohitaji kukopa.

Naye Meneja wa Benki ya Posta Mkoa wa Ruvuma Robert Kombo amesema benki bado inadai shilingi milioni 103 ambazo bado hazijalipwa na wajasirimali hao licha ya kwamba muda wa kulipa umemalizika. 

Katika kikao hicho kimeundwa kikosi kazi cha watu sita cha  ufuatiliaji wa madeni hayo akiwemo Mwakilishi wa Kamanda wa Mkoa wa Ruvuma lengo likiwa ni kuhakikisha madeni hayo yanalipwa ndani ya kipindi cha mwezi mmoja na kwamba hadi kufikia Septemba 30 deni lote liwe limelipwa na pasiwepo na mtu au kikundi ambacho hakijalipa.

Imeandikwa na Albano Midelo


Matangazo

  • TANGAZO LA LESENI ZA BIASHARA January 22, 2025
  • TANGAZO la usafi wa mazingira Jumamosi ya mwisho wa mwezi Septemba 2024 February 27, 2025
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • TAKUKURU Mkoa wa Ruvuma Yafanikiwa Kurejesha Mil. 9.2, na Kudhibiti Mianya ya Rushwa.

    May 30, 2025
  • TAKUKURU Ruvuma Yawezesha kupatikana fedha za makusanyo Songea Dc

    May 30, 2025
  • ALAT Ruvuma na Baraza la Madiwani la Chalinze Watembelea Manispaa ya Iringa Kujifunza Ukusanyaji wa Mapato.

    May 29, 2025
  • ISMAIL ALI MKIMBIZA MWENGE KITAIFA ARIDHISHWA NA UTEKELEZAJI WA MIRADI

    May 15, 2025
  • Tazama zote

Video

ALAT RUVUMA ZIARANI IRINGA TC
Video Zaidi

Viungio vya Haraka

  • Ruvuma Region Website
  • Songea diistrict websites
  • Madaba District Council Website
  • Tunduru District Website
  • Namtumbo District Website
  • Nyasa District Website
  • Mbinga Town Council Website
  • Mbinga District Council Website
  • Songea Municipal face book

Tovuti Mashuhuri

  • Wizara ya Fedha
  • TAMISEMI
  • Wakala wa Serikali Mtandao
  • Utumishi
  • National Bureau of Statistics
  • Baraza la Mitihani Tanzania

Idadi ya Wasomaji Duniani

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

free HitCounter

Ramani ya Mahali

Wasiliana nasi

    SONGEA MUNICIPAL COUNCIL

    Anuani ya Posta: P O BOX 14, SONGEA

    Simu ya Mezani: 025 2602970

    Simu ya Kiganjani:

    Barua Pepe: info@songeamc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Falagha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani ya Mahali
    • Huduma

Hakimiliki ©2017 Halmashauri ya Manispaa ya Songea. Haki zote zimehifadhiwa