• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Songea Municipal Council
Songea Municipal Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa ya Songea

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Maendeleo ya Jamii Jinsia na Watoto
      • Planning,Statistics and Monitoring
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Elimu ya Msingi
      • Mazingira na Usafi
      • Maji
      • Afya
      • Elimu ya Sekondari
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Ujenzi
      • Fedha na Biashara
      • Arthi na Mipangomiji
    • Vitengo
      • Uchaguzi
      • Legal Services
      • Mawasiliano, Habari na Teknolojia
      • Ukaguzi wa ndani
      • Ugavi na Manunuzi
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma zetu
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi isiyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio

SAJILI BARCODE MOJA KWA BIASHARA MOJA

Tarehe ya kuwekwa: March 7th, 2020

 Kauli hiyo imetolewa na mwenyekiti wa Bodi ya GS1 Tanzania Jumbe Mwenye katika mafunzo ya kuwajengea uwezo Wajasiliamali ya umuhimu na matumizi ya Msimbomilia (BARCODES), Mfumo Wa ufuatiliki (TRACEABILITY), viwango, Usajili wa Makampuni, umuhimu wa kulipa Kodi, Masoko na Viwanda iliyofanyika 04/02/2020 katika ukumbi wa familia takatifu kata ya  Bombambili  Manispaa ya Songea.

Mgeni Rasmi katika mafuzo hayo alikuwa Mstahiki Meya Manispaa ya Songea Alhaji Abdul Hassan Mshaweji . Ambapo katika hotuba yake aliyoisoma katika ufunguzi wa mafunzo hayo alisema, “GS1 ni Asasi isiyotengeneza faida (Not for Profit) ambayo imejikita katika kujenga na kusimamia Ubora wa Bidhaa kitaifa na kimataifa na kuainisha sababu ambazo zinatumika kuimarisha  ushindani na muonekano mzima wa mnyororo  wa msambazaji kutoka kwa mzalishaji mmoja mpaka makampuni makubwa na kufuatilia bidhaa hiyo hadi mlaji wa mwisho”.

Mshaweji alisema, BARCODES ni alama za utambuzi wa Bidhaa ambazo zinatoa maelezo ya Bidhaa husika zikisomwa na Mashine maalumu.

Alizijtaja faida za kutumia BARCODES ni pamoja na; bidhaa ya Tanzania kukubalika masoko ya ndani na nje ya nchi, kuongeza mauzo ya bidhaa zilizotayari badala ya kuuza mali gafi,  kurasimisha wafanyabiashara, ukusanyaji wa kodi kwa kusajili walipa kodi wapya, na ukusanyaji wa takwimu, kuongeza ajira kwa vijana, kutanua wigo, usahihi wa bei.

Naye Afisa masoko GS1 Tanzania Erick Kafula  alibainisha kuwa, Nanukuu  “ Namba zote zinatambuliwa na kiambishi awali cha nchi husika mfano; Kenya 616, South Africa 600, United Kingdom 500, China 690, Tanzania 620,  kwa mfano  wa BARCODE/ MSIMBOMILIA , 620 hutambulisha Nchi ya Tanzania, 000000 GS1 Code ya kampuni, 000 namba ya bidhaa, 8 bei ya bidhaa.” Aliongeza kuwa  ada ya usajili  mwanachama 100,000/=, na ada ya uanachama 100,000 – 2,640,000/= inategemea na pato la mwaka la mjasiliamali/ kampuni. Hivyo aliwasihi wajasiliamali wa Songea kusajili biashara zao kwa kutumia msimbomilia ili waweze kupeleka biashara zao kwenye masoko makubwa.

                                                   IMEANDALIWA NA;

                                                        AMINA PILLY

                                KAIMU AFISA HABARI MANISPAA YA SONGEA.

Matangazo

  • TANGAZO LA LESENI ZA BIASHARA January 22, 2025
  • TANGAZO la usafi wa mazingira Jumamosi ya mwisho wa mwezi Septemba 2024 February 27, 2025
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • TAKUKURU Mkoa wa Ruvuma Yafanikiwa Kurejesha Mil. 9.2, na Kudhibiti Mianya ya Rushwa.

    May 30, 2025
  • TAKUKURU Ruvuma Yawezesha kupatikana fedha za makusanyo Songea Dc

    May 30, 2025
  • ALAT Ruvuma na Baraza la Madiwani la Chalinze Watembelea Manispaa ya Iringa Kujifunza Ukusanyaji wa Mapato.

    May 29, 2025
  • ISMAIL ALI MKIMBIZA MWENGE KITAIFA ARIDHISHWA NA UTEKELEZAJI WA MIRADI

    May 15, 2025
  • Tazama zote

Video

ALAT RUVUMA ZIARANI IRINGA TC
Video Zaidi

Viungio vya Haraka

  • Ruvuma Region Website
  • Songea diistrict websites
  • Madaba District Council Website
  • Tunduru District Website
  • Namtumbo District Website
  • Nyasa District Website
  • Mbinga Town Council Website
  • Mbinga District Council Website
  • Songea Municipal face book

Tovuti Mashuhuri

  • Wizara ya Fedha
  • TAMISEMI
  • Wakala wa Serikali Mtandao
  • Utumishi
  • National Bureau of Statistics
  • Baraza la Mitihani Tanzania

Idadi ya Wasomaji Duniani

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

free HitCounter

Ramani ya Mahali

Wasiliana nasi

    SONGEA MUNICIPAL COUNCIL

    Anuani ya Posta: P O BOX 14, SONGEA

    Simu ya Mezani: 025 2602970

    Simu ya Kiganjani:

    Barua Pepe: info@songeamc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Falagha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani ya Mahali
    • Huduma

Hakimiliki ©2017 Halmashauri ya Manispaa ya Songea. Haki zote zimehifadhiwa