• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Songea Municipal Council
Songea Municipal Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa ya Songea

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Maendeleo ya Jamii Jinsia na Watoto
      • Planning,Statistics and Monitoring
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Elimu ya Msingi
      • Mazingira na Usafi
      • Maji
      • Afya
      • Elimu ya Sekondari
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Ujenzi
      • Fedha na Biashara
      • Arthi na Mipangomiji
    • Vitengo
      • Uchaguzi
      • Legal Services
      • Mawasiliano, Habari na Teknolojia
      • Ukaguzi wa ndani
      • Ugavi na Manunuzi
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma zetu
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi isiyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio

SELOUS:PORI LA KWANZA BARANI AFRIKA

Tarehe ya kuwekwa: October 3rd, 2017

SELOUS: PORI LA KWANZA BARANI AFRIKA

Pori la Akiba la Selous lilianzishwa  mwaka 1896 na Wajerumani likiwa pori la kwanza kutengwa kwa ajili ya uhifadhi wa wanyamapori barani Afrika na la pili kwa ukubwa duniani baada ya pori la Marekani ambalo linaitwa Yellowstone National Park. Historia inaonesha kuwa jina la Selous limetokana na askari ambaye alikuwa ni mvumbuzi wa kiingereza aliyeitwa kapteni Fredrick Selous aliyefariki Januari 4, mwaka 1917 na kuzikwa katika eneo la Behobeho lililopo ndani ya pori la Selous .

kwa mujibu wa Meneja wa Pori la Akiba la Selous Mhifadhi Henock Msocha pori hilo lina ukubwa wa ukubwa wa kilometa za mraba 50,000 na linapita katika mikoa ya  Ruvuma, Lindi,Pwani na Morogoro na  wilaya ambazo zinapita katika Pori hilo ni Liwale, Kilwa, Rufiji, Kilombero, Morogoro vijijini, Malinyi, Namtumbo, Tunduru na Kisarawe

 Pori la Akiba Selous lina utajiri wa viumbe adimu katika sura ya dunia kama vile nyani aina ya sanje,mbega mwekundu,faru mweusi  ambaye yupo hatarini kutoweka na wanyama wengine wakiwemo ndege,wadudu na mimea ambayo haipatikani sehemu nyingine yeyote duniani. Kutokana na umuhimu wa pori la Selous Shirika la Umoja wa  Mataifa linaloshughulikia Utamaduni na Sayansi (UNESCO)  limelihorodhesha pori hilo kuwa ni  moja ya maeneo ya asili ya urithi wa dunia tangu mwaka 1982.

 Afisa Maliasili na Utalii wa Mkoa wa Ruvuma Afrikanus Challe anasema Pori la Selous lenye idadi kubwa ya tembo ni mapito ya wanyama yaani ushoroba wa tembo ambao wanatoka katika pori hilo kupitia pori la Akiba la Liparamba na kuingia hifadhi ya Niassa nchini Msumbiji.
 Takwimu zinaonesha kuwa katika pori hilo hadi kufikia mwaka 2007 kulikuwa na tembo zaidi ya 70,000 hata hivyo idadi ya tembo katika pori hilo ilishuka kutokana na kukithiri kwa ujangili hadi kufikia tembo 43,000 mwaka 2009 ambapo hivi sasa idadi ya tembo katika pori hilo inaongezeka kwa kasi baada ya serikali kuwadhibiti majangili.

Matangazo

  • TANGAZO LA LESENI ZA BIASHARA January 22, 2025
  • TANGAZO la usafi wa mazingira Jumamosi ya mwisho wa mwezi Septemba 2024 February 27, 2025
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • TAKUKURU Mkoa wa Ruvuma Yafanikiwa Kurejesha Mil. 9.2, na Kudhibiti Mianya ya Rushwa.

    May 30, 2025
  • TAKUKURU Ruvuma Yawezesha kupatikana fedha za makusanyo Songea Dc

    May 30, 2025
  • ALAT Ruvuma na Baraza la Madiwani la Chalinze Watembelea Manispaa ya Iringa Kujifunza Ukusanyaji wa Mapato.

    May 29, 2025
  • ISMAIL ALI MKIMBIZA MWENGE KITAIFA ARIDHISHWA NA UTEKELEZAJI WA MIRADI

    May 15, 2025
  • Tazama zote

Video

ALAT RUVUMA ZIARANI IRINGA TC
Video Zaidi

Viungio vya Haraka

  • Ruvuma Region Website
  • Songea diistrict websites
  • Madaba District Council Website
  • Tunduru District Website
  • Namtumbo District Website
  • Nyasa District Website
  • Mbinga Town Council Website
  • Mbinga District Council Website
  • Songea Municipal face book

Tovuti Mashuhuri

  • Wizara ya Fedha
  • TAMISEMI
  • Wakala wa Serikali Mtandao
  • Utumishi
  • National Bureau of Statistics
  • Baraza la Mitihani Tanzania

Idadi ya Wasomaji Duniani

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

free HitCounter

Ramani ya Mahali

Wasiliana nasi

    SONGEA MUNICIPAL COUNCIL

    Anuani ya Posta: P O BOX 14, SONGEA

    Simu ya Mezani: 025 2602970

    Simu ya Kiganjani:

    Barua Pepe: info@songeamc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Falagha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani ya Mahali
    • Huduma

Hakimiliki ©2017 Halmashauri ya Manispaa ya Songea. Haki zote zimehifadhiwa