• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Songea Municipal Council
Songea Municipal Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa ya Songea

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Maendeleo ya Jamii Jinsia na Watoto
      • Planning,Statistics and Monitoring
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Elimu ya Msingi
      • Mazingira na Usafi
      • Maji
      • Afya
      • Elimu ya Sekondari
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Ujenzi
      • Fedha na Biashara
      • Arthi na Mipangomiji
    • Vitengo
      • Uchaguzi
      • Legal Services
      • Mawasiliano, Habari na Teknolojia
      • Ukaguzi wa ndani
      • Ugavi na Manunuzi
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma zetu
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi isiyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio

SERIKALI yatoa milioni 400 kuboresha sekta ya afya Kata ya Ruvuma

Tarehe ya kuwekwa: August 21st, 2018

SERIKALI imetoa shilingi milioni 400 kwa ajili ya kujenga kituo cha Afya Kata ya Ruvuma Manispaa ya Songea mkoani Ruvuma katika mwaka wa fedha 2017/2018.  

Kaimu Mganga Mkuu wa Halmashauri ya Manispaa ya Songea Dk. Mameritha Basike amesema hadi sasa shughuli za ujenzi wa kituo hicho zinaendelea na  ujenzi umefikia hatua ya msingi na kwamba mradi huo wa miezi sita unatarajia kukamilika Novemba 2018.

“Halmashauri imeendelea kutekeleza ujenzi mbalimbali katika sekta ya Afya, ambapo kwa sasa kuna ujenzi wa kituo kimoja cha Afya na Zahanati nane’’,anasisitiza  Dk. Mamelitha Basike.

Hata hivyo licha ya changamoto mbalimbali zinazoikabili sekta ya Afya, Halmashauri hiyo imefanikiwa kupunguza maambukizi ya UKIMWI kutoka asilimia 3.9 mwaka 2017 hadi kufikia 3.2 Machi 2018.

 Amesema hali ya utoaji chanjo katika manispaa hiyo ni nzuri kwa sababu  chanjo ya Penta tatu ambayo ndio kigezo cha mpango chanjo kitaifa imefikia asilimia 94, zaidi ya lengo la kitaifa  la asilimia 90.

Dkt.Basike pia amezungumza suala la ongezeko la vifo vya wajawazito katika Manispaa hiyo bado ni tatizo  na kwamba jitihada za kupunguza vifo hivyo zinaendelea.

“Vifo vya wajawazito/wazazi bado ni tatizo katika Halmashauri yetu  kwani vifo hivyo vimeongezeka toka 182/10000 mwaka 2016 hadi 202/10000 mwaka 2017. Bado jitihada za kupunguza vifo hivyo vya wakina mama zinaendelea  ikiwa ni pamoja na kuimarisha huduma za upasuaji katika kituo chetu” alisema Dkt.Basike.

Halmashauri ya Manispaa ya Songea imekua ikipokea dawa na vifaa tiba kutoka Serikali kuu kwa asilimia 91.1 hadi sasa. Hata hivvo Halmashauri hununua dawa za nyongeza kufidia zile zinazokosekana MSD kupitia vyanzo vingine vya fedha  ikiwemo mfuko wa pamoja wa afya, Bima ya Afya, CHF pamoja na fedha za papo kwa papo.

Imetolewa na 

Victoria Ndejembi,

Kitengo TEHAMA Manispaa Songea,

Agosti 21,2018.

Matangazo

  • TANGAZO LA LESENI ZA BIASHARA January 22, 2025
  • TANGAZO la usafi wa mazingira Jumamosi ya mwisho wa mwezi Septemba 2024 February 27, 2025
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • ISMAIL ALI MKIMBIZA MWENGE KITAIFA ARIDHISHWA NA UTEKELEZAJI WA MIRADI

    May 15, 2025
  • MWENGE WA UHURU WAPOKELEWA MKOANI RUVUMA

    May 09, 2025
  • RC Ruvuma Awapongeza Wastaafu 86 wa Kada ya Ualimu Mkoani Ruvuma

    May 08, 2025
  • Kamati ya Siasa Wilaya Yaridhishwa na Hatua za Miradi ya Maendeleo

    May 06, 2025
  • Tazama zote

Video

YALIYOJIRI MAKABIDHIANO YA MBIO ZA MWENGE WA UHURU
Video Zaidi

Viungio vya Haraka

  • Ruvuma Region Website
  • Songea diistrict websites
  • Madaba District Council Website
  • Tunduru District Website
  • Namtumbo District Website
  • Nyasa District Website
  • Mbinga Town Council Website
  • Mbinga District Council Website
  • Songea Municipal face book

Tovuti Mashuhuri

  • Wizara ya Fedha
  • TAMISEMI
  • Wakala wa Serikali Mtandao
  • Utumishi
  • National Bureau of Statistics
  • Baraza la Mitihani Tanzania

Idadi ya Wasomaji Duniani

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

free HitCounter

Ramani ya Mahali

Wasiliana nasi

    SONGEA MUNICIPAL COUNCIL

    Anuani ya Posta: P O BOX 14, SONGEA

    Simu ya Mezani: 025 2602970

    Simu ya Kiganjani:

    Barua Pepe: info@songeamc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Falagha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani ya Mahali
    • Huduma

Hakimiliki ©2017 Halmashauri ya Manispaa ya Songea. Haki zote zimehifadhiwa