• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Songea Municipal Council
Songea Municipal Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa ya Songea

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Maendeleo ya Jamii Jinsia na Watoto
      • Planning,Statistics and Monitoring
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Elimu ya Msingi
      • Mazingira na Usafi
      • Maji
      • Afya
      • Elimu ya Sekondari
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Ujenzi
      • Fedha na Biashara
      • Arthi na Mipangomiji
    • Vitengo
      • Uchaguzi
      • Legal Services
      • Mawasiliano, Habari na Teknolojia
      • Ukaguzi wa ndani
      • Ugavi na Manunuzi
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma zetu
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi isiyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio

SIKU YA USAFI DUNIANI

Tarehe ya kuwekwa: September 16th, 2023

Tarehe 16 Septemba ni siku ya Usafi Duniani,  katika kutekeleza maadhimisho haya,  Wilaya ya Songea imefanya usafi katika  maeneo   mbalimbali ya kijamii  kwa nyakati tofauti  ili kuhakikisha  mazingira yanakuwa safi.

Kwa upande wa Manispaa ya Songea maadhimisho hayo yamefanyika kwa kufanya usafi katika maeneo yote ya masoko, Taasisi pamoja na kila mwananchi kuhakikisha anafanya usafi kwenye kaya yake.

Akizungumza na wananchi mara baada ya kukamilisha usafi wa mazingira , Mkuu wa Wilaya ya Songea Mhe. Kapenjama Ndile  amewataka viongozi ngazi ya kata na mitaa, pamoja na wananchi wote kuhakikisha usafi unafanyika ipasavyo  kwa kushirikiana na wananchi  ili mji uweze kuwa safi. “Alisisitiza”.

Ndile alisema” Usafi wa mazingira ni jambo mtambuka hivyo amewataka Halmashauri kuongeza  jitihada za kuondoa taka katikati ya mji pamoja na kuongeza vitendea kazi  vya usafi wa mazingira.”

 Akiishukuru  Menejiment ya  WASAFI Media kwa kushiriki matukio ya usafi wa mazingira katika soko la Bombambili  pamoja na kuendesha  Kongamano la JIONGEZE ni jukumu lako ambalo limefanyika tarehe 15 Septemba 2023 katika ukumbi wa Manispaa ya Songea kwa lengo la kutoa elimu ya kufungua fursa za kiuchumi na uwekezaji Mkoani Ruvuma. “ Aliwashukuru"

Kwa upande wake Mstahiki Meya Manispaa ya Songea Mhe. Michael Mbano, alisema ili kutatua changamoto za usafi wa mazingira, Manispaa ya Songea imeweka  mpango mkakati wa kujenga Dampo, kuongeza  vitendea kazi vya usafi, pamoja na kutumia kampuni kwa ajili ya kuzoa taka. “ Alibanisha’

“Mwisho”            

IMEANDALIWA NA;

AMINA PILLY;

KITENGO CHA MAWASILIANO SERIKALINI.





Matangazo

  • TANGAZO LA LESENI ZA BIASHARA January 22, 2025
  • TANGAZO la usafi wa mazingira Jumamosi ya mwisho wa mwezi Septemba 2024 February 27, 2025
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • TAKUKURU Mkoa wa Ruvuma Yafanikiwa Kurejesha Mil. 9.2, na Kudhibiti Mianya ya Rushwa.

    May 30, 2025
  • TAKUKURU Ruvuma Yawezesha kupatikana fedha za makusanyo Songea Dc

    May 30, 2025
  • ALAT Ruvuma na Baraza la Madiwani la Chalinze Watembelea Manispaa ya Iringa Kujifunza Ukusanyaji wa Mapato.

    May 29, 2025
  • ISMAIL ALI MKIMBIZA MWENGE KITAIFA ARIDHISHWA NA UTEKELEZAJI WA MIRADI

    May 15, 2025
  • Tazama zote

Video

ALAT RUVUMA ZIARANI IRINGA TC
Video Zaidi

Viungio vya Haraka

  • Ruvuma Region Website
  • Songea diistrict websites
  • Madaba District Council Website
  • Tunduru District Website
  • Namtumbo District Website
  • Nyasa District Website
  • Mbinga Town Council Website
  • Mbinga District Council Website
  • Songea Municipal face book

Tovuti Mashuhuri

  • Wizara ya Fedha
  • TAMISEMI
  • Wakala wa Serikali Mtandao
  • Utumishi
  • National Bureau of Statistics
  • Baraza la Mitihani Tanzania

Idadi ya Wasomaji Duniani

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

free HitCounter

Ramani ya Mahali

Wasiliana nasi

    SONGEA MUNICIPAL COUNCIL

    Anuani ya Posta: P O BOX 14, SONGEA

    Simu ya Mezani: 025 2602970

    Simu ya Kiganjani:

    Barua Pepe: info@songeamc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Falagha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani ya Mahali
    • Huduma

Hakimiliki ©2017 Halmashauri ya Manispaa ya Songea. Haki zote zimehifadhiwa