• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Songea Municipal Council
Songea Municipal Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa ya Songea

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Maendeleo ya Jamii Jinsia na Watoto
      • Planning,Statistics and Monitoring
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Elimu ya Msingi
      • Mazingira na Usafi
      • Maji
      • Afya
      • Elimu ya Sekondari
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Ujenzi
      • Fedha na Biashara
      • Arthi na Mipangomiji
    • Vitengo
      • Uchaguzi
      • Legal Services
      • Mawasiliano, Habari na Teknolojia
      • Ukaguzi wa ndani
      • Ugavi na Manunuzi
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma zetu
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi isiyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio

Songea Yaimarisha Huduma kwa Watoto wa Mtaani Kupitia Mradi Maalum wa Ustawi wa Jamii

Tarehe ya kuwekwa: September 17th, 2025

Dawati la Huduma ya Ustawi wa Jamii katika Manispaa ya Songea limeandaa kikao kazi kilichowakutanisha viongozi mbalimbali wa serikali na wadau wa maendeleo, kwa ajili ya kufanya mapitio ya utekelezaji wa mradi wa utoaji huduma kwa watoto wa mitaani. Kikao hicho kimefanyika tarehe 17 Septemba 2025 katika ukumbi wa Songea Club.

Akizungumza katika kikao hicho, Afisa Maendeleo ya Jamii wa Mkoa wa Ruvuma, Bi. Mariam Juma, alieleza kuwa mwongozo wa kitaifa wa utoaji huduma za ustawi wa jamii unazitaka halmashauri zote nchini kuwa na ofisi maalum katika maeneo ya stendi za mabasi ili kurahisisha upatikanaji wa huduma kwa walengwa, hususan watoto wa mitaani. Aidha, alibainisha kuwa shirika lisilo la kiserikali la Railway Children Africa limejitolea kufadhili mradi huo kwa kipindi cha mwaka mmoja, kuanzia Aprili 2025 hadi Machi 2026.

Kwa upande wake, Mwakilishi wa Railway Children Africa, Bw. Kidaha Mohamed, alieleza kuwa utekelezaji wa mradi huo tayari umeanza rasmi katika Stendi Kuu ya Mabasi Songea (eneo la Shule ya Tanga), ambapo shughuli za kupokea na kufanya utambuzi wa watoto wa mitaani zinaendelea. Alisisitiza kuwa mradi huo unatekelezwa kwa ushirikiano na wadau mbalimbali wa maendeleo kwa lengo la kutoa elimu kwa walezi wa hiari (free persons), pamoja na kufanikisha utambuzi wa watoto walioko mitaani katika maeneo yote ya Manispaa ya Songea.

Bw. Kidaha alihitimisha kwa kutoa wito kwa wadau wote kuendelea kushirikiana kwa karibu na mradi huo, hasa katika kuhakikisha huduma bora zinawafikia watoto walioko kwenye mazingira hatarishi.

Naye Afisa Ustawi wa Jamii wa Manispaa ya Songea, Bi. Devotha Ndunguru, aliwasilisha taarifa ya utekelezaji wa dawati la huduma kwa watoto wa mitaani, ambapo hadi kufikia Septemba 2025, jumla ya watoto 19 walikuwa wametambuliwa — wavulana 11 na wasichana 8.

Bi. Devotha alitoa wito kwa wadau mbalimbali, wakiwemo LATRA, madereva wa bodaboda na bajaji, maafisa wa usalama barabarani (Traffic Police), wenyeviti wa mitaa, watendaji wa kata pamoja na wananchi kwa ujumla, kuendelea kutoa ushirikiano katika kufanikisha malengo ya mradi huo, kwa ajili ya ustawi na haki za watoto wa mitaani ndani ya Manispaa ya Songea.

Matangazo

  • TANGAZO LA LESENI ZA BIASHARA October 17, 2025
  • TANGAZO la usafi wa mazingira Jumamosi ya mwisho wa mwezi Oktoba 2025 October 18, 2025
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • Dkt. Ndumbaro Aibuka Mshindi Ubunge Jimbo la Songea Mjini

    October 30, 2025
  • Rc Ruvuma Akabidhi Magari 4 Yenye Thamani ya Bil. 2.2 Kwa Jeshi la Zimamoto na Uokoaji Mkoani Ruvuma

    October 26, 2025
  • Washiriki 1,542 Wapata Mafunzo ya Usmamizi wa Vituo na Wasimamizi Wasaidizi wa Vituo.

    October 26, 2025
  • WASHIRIKI 542 WAPATA MAFUNZO YA MAKARANI WAONGOZAJI

    October 25, 2025
  • Tazama zote

Video

RAIS DKT. SAMIA AKIMUAPISHA WAZIRI MKUU
Video Zaidi

Viungio vya Haraka

  • Ruvuma Region Website
  • Songea diistrict websites
  • Madaba District Council Website
  • Tunduru District Website
  • Namtumbo District Website
  • Nyasa District Website
  • Mbinga Town Council Website
  • Mbinga District Council Website
  • Songea Municipal face book

Tovuti Mashuhuri

  • Wizara ya Fedha
  • TAMISEMI
  • Wakala wa Serikali Mtandao
  • Utumishi
  • National Bureau of Statistics
  • Baraza la Mitihani Tanzania

Idadi ya Wasomaji Duniani

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

free HitCounter

Ramani ya Mahali

Wasiliana nasi

    SONGEA MUNICIPAL COUNCIL

    Anuani ya Posta: P O BOX 14, SONGEA

    Simu ya Mezani: 025 2602970

    Simu ya Kiganjani:

    Barua Pepe: info@songeamc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Falagha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani ya Mahali
    • Huduma

Hakimiliki ©2017 Halmashauri ya Manispaa ya Songea. Haki zote zimehifadhiwa

  • Situs Toto
  • Situs Slot Gacor
  • AXL777
  • Situs Toto
  • AERO88
  • Situs Slot Gacor
  • DORA77
  • DORA77
  • DORA77
  • Toto Togel
  • Slot Gacor
  • AXL777
  • AERO88
  • Situs Slot
  • Situs Slot Gacor
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • DORA77
  • Situs Judi Online
  • KOI200
  • SILVAWIN
  • AXL777
  • YAMITOTO
  • NABITOTO
  • YAMITOTO
  • KOI200
  • KOI200
  • KOI200