• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Songea Municipal Council
Songea Municipal Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa ya Songea

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Maendeleo ya Jamii Jinsia na Watoto
      • Planning,Statistics and Monitoring
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Elimu ya Msingi
      • Mazingira na Usafi
      • Maji
      • Afya
      • Elimu ya Sekondari
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Ujenzi
      • Fedha na Biashara
      • Arthi na Mipangomiji
    • Vitengo
      • Uchaguzi
      • Legal Services
      • Mawasiliano, Habari na Teknolojia
      • Ukaguzi wa ndani
      • Ugavi na Manunuzi
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma zetu
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi isiyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio

TAARIFA kwa Umma,Ajira katika Jeshi la Polisi Tanzania

Tarehe ya kuwekwa: June 23rd, 2018

JESHI la Polisi Tanzania linatangaza nafasi za ajira kwa mwaka wa fedha 2017/2018 kwa vijana wa JKT wa Operesheni Kikwete waliopo nje ya kambi za JKT (waliomaliza mkataba wenye elimu ya kidato cha nne, sita, stashahada, stashahada ya juu na shahada.

Waombaji watatakiwa kuwa na sifa zifuatazo:

  1. Awe nje ya kambi ya JKT. 2. Awe Mtanzania kwa kuzaliwa. 3. Awe na umri usiopungua miaka 18 na usiozidi miaka 25 kwa wenye elimu ya kidato cha

nne, sita na stashahada. 4. Awe na umri usiopungua miaka 18 na usiozidi 28 kwa wenye elimu ya Stashahada ya juu

na Shahada. 5. Awe na elimu ya kidato cha nne aliyemaliza mwaka 2014, 2015 na 2016 mwenye ufaulu

ufuatao:-

. Aliyemaliza mwaka 2014 awe na ufaulu wa GPA usiopungua 0.6

  • Aliyemaliza mwaka 2015 na 2016 awe na ufaulu usiozidi alama (Points) 30. 6. Awe na elimu ya kidato cha sita aliyemaliza mwaka 2014, 2015 na 2016 na kufaulu. 7. Awe na Stashahada aliyehitimu mwaka 2014, 2015 na 2016. 8. Awe na Shahada aliyehitimu mwaka 2014, 2015 na 2016. 9. Awe na cheti halisi cha kuzaliwa, vyeti vya taaluma (Academic Certificates) pamoja na

vyeti vya kuhitimu elimu aliyonayo (Leaving Certificate/Transcript). 10. Awe na picha 3 za rangi (passport size). 11. Asiwe na kumbukumbu za uhalifu. 12. Awe na afya njema (kimwili na kiakili) iliyothibitishwa na daktari wa serikali. 13. Awe hajaoa/hajaolewa au kuwa na mtoto. 14. Asiwe na alama za kuchora mwilini (Tattoo). 15. Awe tayari kufanya kazi za Polisi mahali popote Tanzania. 16. Awe na urefu usiopungua futi tano inchi tano (5.5″) kwa wanaume na futi tano na inchi

tatu (5.3) kwa wanawake. 17. Waombaji watakaofaulu usaili ndio watakaochaguliwa. 18. Awe hajawahi kutumia madawa ya kulevya.

19. Awe tayari kuhudhuria mafunzo ya Polisi. 20. Awe hajaajiriwa na Taasisi nyingine. 21. Waombaji wote waandike barua za maombi wao wenyewe kwa mkono (hand written)

wakiambatanisha nakala za vivuli vya vyeti kwa anuani ifuatayo:- Inspekta Jenerali wa Polisi, Makao Makuu ya Polisi,

S.L.P 9141 Dar es Salaam.

NB: Barua za maombi ziwasilishwe kwa Kamanda wa Polisi wa Mkoa

ambapo mwombaji yupo. 22. Waombaji wenye masomo/taaluma za Sayansi na Ufundi watapewa kipaumbele. 23. Usaili utafanyika kwenye Ofisi ya Kamanda wa Mkoa husika. 24. Mwisho wa kupokea maombi ni tarehe 01/07/2018.

Kwa maelezo/ufafanuzi zaidi kuhusu nafasi, sifa na vigezo pamoja na tarehe ya kuanza usaili tembelea tovuti ya Polisi kwa anuani ifuatayo www.policeforce.go.tz au fika Ofisi ya Kamanda wa Polisi Mkoa uliopo.

Matangazo

  • TANGAZO LA LESENI ZA BIASHARA January 22, 2025
  • TANGAZO la usafi wa mazingira Jumamosi ya mwisho wa mwezi Septemba 2024 February 27, 2025
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • TAKUKURU Mkoa wa Ruvuma Yafanikiwa Kurejesha Mil. 9.2, na Kudhibiti Mianya ya Rushwa.

    May 30, 2025
  • TAKUKURU Ruvuma Yawezesha kupatikana fedha za makusanyo Songea Dc

    May 30, 2025
  • ALAT Ruvuma na Baraza la Madiwani la Chalinze Watembelea Manispaa ya Iringa Kujifunza Ukusanyaji wa Mapato.

    May 29, 2025
  • ISMAIL ALI MKIMBIZA MWENGE KITAIFA ARIDHISHWA NA UTEKELEZAJI WA MIRADI

    May 15, 2025
  • Tazama zote

Video

ALAT RUVUMA ZIARANI IRINGA TC
Video Zaidi

Viungio vya Haraka

  • Ruvuma Region Website
  • Songea diistrict websites
  • Madaba District Council Website
  • Tunduru District Website
  • Namtumbo District Website
  • Nyasa District Website
  • Mbinga Town Council Website
  • Mbinga District Council Website
  • Songea Municipal face book

Tovuti Mashuhuri

  • Wizara ya Fedha
  • TAMISEMI
  • Wakala wa Serikali Mtandao
  • Utumishi
  • National Bureau of Statistics
  • Baraza la Mitihani Tanzania

Idadi ya Wasomaji Duniani

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

free HitCounter

Ramani ya Mahali

Wasiliana nasi

    SONGEA MUNICIPAL COUNCIL

    Anuani ya Posta: P O BOX 14, SONGEA

    Simu ya Mezani: 025 2602970

    Simu ya Kiganjani:

    Barua Pepe: info@songeamc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Falagha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani ya Mahali
    • Huduma

Hakimiliki ©2017 Halmashauri ya Manispaa ya Songea. Haki zote zimehifadhiwa