• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Songea Municipal Council
Songea Municipal Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa ya Songea

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Maendeleo ya Jamii Jinsia na Watoto
      • Planning,Statistics and Monitoring
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Elimu ya Msingi
      • Mazingira na Usafi
      • Maji
      • Afya
      • Elimu ya Sekondari
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Ujenzi
      • Fedha na Biashara
      • Arthi na Mipangomiji
    • Vitengo
      • Uchaguzi
      • Legal Services
      • Mawasiliano, Habari na Teknolojia
      • Ukaguzi wa ndani
      • Ugavi na Manunuzi
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma zetu
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi isiyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio

TAHADHARI YA MAFUTA FEKI YA ALBINO

Tarehe ya kuwekwa: October 1st, 2017

TAHADHARI YA MAFUTA FEKI YA ALBINO

MFAMASIA Wa Halmashauri ya Manispaa ya Songea Ndavitu Sanga anatahadharisha watu wenye ulemavu wa ngozi(Albino) katika Manispaa hiyo kuwepo kwa mafuta feki ya kupaka aina ya Sunblock cream UV40 kwa ajili ya Albino yanayosaidia kujilinda dhidi ya saratani ya ngozi.

Kulingana na Sanga picha za mkono wa kushoto ndiyo mafuta feki ya albino ambayo yanauzwa kati ya sh.3500 hadi 6000 na picha ya mkono wa kulia ndiyo mafuta halisi ambayo yanauzwa kati ya sh.40,000 hadi 90,000.Sanga ambaye pia ni Mkaguzi wa Vipodozi katika Manispaa ya Songea anasema uchunguzi uliofanywa katika maduka ya vipodozi kwa kushirikiana na uongozi wa Chama cha Albino mkoa wa Ruvuma umebaini mafuta hayo kuuzwa katika maduka ya vipodozi jambo ambalo ni kinyume cha sheria.

“Hairuhusiwi mafuta ya kupaka Albino aina ya sunblock cream UV40 kuwepo kwenye maduka ya vipodozi badala yake mafuta hayo yanaruhusiwa kuwepo kwenye maduka ya dawa (Pharmacy)’’,anasisitiza Sanga.Hata hivyo Sanga anasema kuanzia mwaka wa fedha wa 2015/2016 Halmashauri ya Manispaa ya Songea imekuwa inatenga bajeti ya sh.milioni 1.5 kwa ajili ya manunuzi ya mafuta ya Albino ambayo wanagawiwa bure katika Kituo cha Afya Mjimwema.

Kwa mujibu wa Sanga bajeti hiyo bado ni ndogo kwa sababu inaweza kununua mafuta kwa Albino 38 tu ukilinganisha na idadi ya Albino 60 waliopo katika Manispaa ya Songea.Amesema katika bajeti ya 2017/2018,Manispaa ya Songea imetenga jumla ya sh.milioni 1.68 kwa ajili ya mafuta hayo ambapo  anaitaja changamoto iliyopo ni kwamba mafuta hayo hayapatikani katika  katika Hifadhi ya dawa(MSD) badala yake yanauzwa katika maduka ya dawa(pharmacy).

Sensa ya watu na makazi ya mwaka 2012 inaonesha kuwa Mkoa wa Ruvuma una jumla ya Albino 523 ambapo Tanzania ina zaidi ya Albino 16,000. Albino wanakabiliwa na changamoto ya ugonjwa wa kansa ya ngozi kutokana na kukosa mafuta hayo hali inayosababisha maisha yao  kuwa hatarini.

Matangazo

  • TANGAZO LA LESENI ZA BIASHARA January 22, 2025
  • TANGAZO la usafi wa mazingira Jumamosi ya mwisho wa mwezi Septemba 2024 February 27, 2025
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • TAKUKURU Mkoa wa Ruvuma Yafanikiwa Kurejesha Mil. 9.2, na Kudhibiti Mianya ya Rushwa.

    May 30, 2025
  • TAKUKURU Ruvuma Yawezesha kupatikana fedha za makusanyo Songea Dc

    May 30, 2025
  • ALAT Ruvuma na Baraza la Madiwani la Chalinze Watembelea Manispaa ya Iringa Kujifunza Ukusanyaji wa Mapato.

    May 29, 2025
  • ISMAIL ALI MKIMBIZA MWENGE KITAIFA ARIDHISHWA NA UTEKELEZAJI WA MIRADI

    May 15, 2025
  • Tazama zote

Video

ALAT RUVUMA ZIARANI IRINGA TC
Video Zaidi

Viungio vya Haraka

  • Ruvuma Region Website
  • Songea diistrict websites
  • Madaba District Council Website
  • Tunduru District Website
  • Namtumbo District Website
  • Nyasa District Website
  • Mbinga Town Council Website
  • Mbinga District Council Website
  • Songea Municipal face book

Tovuti Mashuhuri

  • Wizara ya Fedha
  • TAMISEMI
  • Wakala wa Serikali Mtandao
  • Utumishi
  • National Bureau of Statistics
  • Baraza la Mitihani Tanzania

Idadi ya Wasomaji Duniani

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

free HitCounter

Ramani ya Mahali

Wasiliana nasi

    SONGEA MUNICIPAL COUNCIL

    Anuani ya Posta: P O BOX 14, SONGEA

    Simu ya Mezani: 025 2602970

    Simu ya Kiganjani:

    Barua Pepe: info@songeamc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Falagha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani ya Mahali
    • Huduma

Hakimiliki ©2017 Halmashauri ya Manispaa ya Songea. Haki zote zimehifadhiwa