• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Songea Municipal Council
Songea Municipal Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa ya Songea

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Maendeleo ya Jamii Jinsia na Watoto
      • Planning,Statistics and Monitoring
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Elimu ya Msingi
      • Mazingira na Usafi
      • Maji
      • Afya
      • Elimu ya Sekondari
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Ujenzi
      • Fedha na Biashara
      • Arthi na Mipangomiji
    • Vitengo
      • Uchaguzi
      • Legal Services
      • Mawasiliano, Habari na Teknolojia
      • Ukaguzi wa ndani
      • Ugavi na Manunuzi
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma zetu
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi isiyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio

TAKUKURU RUVUMA YAFUATILIA ZAIDI YA BIL. 6 FEDHA ZA MIRADI.

Tarehe ya kuwekwa: May 18th, 2023

TAKUKURU Mkoani Ruvuma imefanikiwa kufuatilia utekelezaji wa Miradi ya Maendeleo yenye thamani ya zaidi ya Bil. 6  ambayo imekutwa na mapungufu mbalimbali ikiwemo na miradi kutokamilika kwa wakati, ununuzi wa vifaa vichache,  na ucheleweshaji wa malipo ya Mafundi.

Katika ufuatiliaji  wa utekelezaji wa miradi hiyo, Miradi mitano yenye thamani ya shilingi 5,510,000,000 ilikuwa na mapungufu ikiwemo na mradi wa ujenzi wa Madaasa 9katika Shule ya Sekondari Sasawala Wilaya ya Namtumbo  kwa thamani ya 180,000,000, Ujenzi wa majengo Matatu katika Hosptali ya Wilaya ya Namtumbo kwa thamani ya 800,000,000, jengo la wagonjwa wan je katika Hosptali ya Rufaa Mkoa Songea kwa thamani ya 3,870,000,000, ujenzi wa Hosptal ya Wilaya ya Mbinga 500,000,000 pamoja na kituo cha afya Mbangamao 250,000,000.

Hayo yamejili katika kikao cha Waandishi wa Habari kilichofanyika leo 18 Mei 2023 katika ofisi za TAKUKURU Mkoa wa Ruvuma kwa lengo la kuuhabarisha umma kuhusu utendaji kazi wa ofisi ya TAKUKURU katika kipindi cha miezi mitatu kuanzia mwezi januari hadi machi 2023.

Akitoa ufafanuzi Naibu Mkuu wa TAKUKURU Mkoa wa Ruvuma  Janeth Haule alisema “ Miongoni mwa mikakati itakayotekelezwa katika kipindi cha miezi mitatu ijayo ni pamoja na kutoa elimu kwa wananchi juu ya Rushwa na madhara yake katika usimamizi wa miradi ya maendeleo, kuendelea kufanya kazi za kuzuiia na kuchukua hatua kwa wale wote  watakao kutwa na tuhuma za vitendo vya Rushwa ikiwa ni pamoja na kwafikisha Mahakamani, kufanya uchunguzi na kuchukua hatua kwa watakao kutwa na tuhuma za vitendo vya Rushwa, na kushirikiana vijana wa Skauti katika kutoa elimu ya mapambano dhidi ya Rushwa pamoja na Program Rafiki.

Janeth ametoa wito kwa wananchi wote kuendelea kutoa ushirikiano na TAKUKURU kwa taarifa zenye kuashiria vitendo vya Rushwa.

IMEANDALIWA NA;

AMINA PILLY;

KITENGO CHA MAWASILIANO SERIKALINI.

 

Matangazo

  • TANGAZO LA LESENI ZA BIASHARA January 22, 2025
  • TANGAZO la usafi wa mazingira Jumamosi ya mwisho wa mwezi Septemba 2024 February 27, 2025
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • RC Ruvuma Awapongeza Wastaafu 86 wa Kada ya Ualimu Mkoani Ruvuma

    May 08, 2025
  • Kamati ya Siasa Wilaya Yaridhishwa na Hatua za Miradi ya Maendeleo

    May 06, 2025
  • Mkuu wa Mkoa wa Ruvuma Apongeza kwa Utekelezaji wa Miradi

    May 05, 2025
  • Mkuu wa Wilaya ya Nyasa Awataka Waajiri kuzingatia Misingi ya Utawala Bora

    May 01, 2025
  • Tazama zote

Video

Mkuu wa Wilaya ya Songea Akizindua Stendi ya Bajaji - Songea
Video Zaidi

Viungio vya Haraka

  • Ruvuma Region Website
  • Songea diistrict websites
  • Madaba District Council Website
  • Tunduru District Website
  • Namtumbo District Website
  • Nyasa District Website
  • Mbinga Town Council Website
  • Mbinga District Council Website
  • Songea Municipal face book

Tovuti Mashuhuri

  • Wizara ya Fedha
  • TAMISEMI
  • Wakala wa Serikali Mtandao
  • Utumishi
  • National Bureau of Statistics
  • Baraza la Mitihani Tanzania

Idadi ya Wasomaji Duniani

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

free HitCounter

Ramani ya Mahali

Wasiliana nasi

    SONGEA MUNICIPAL COUNCIL

    Anuani ya Posta: P O BOX 14, SONGEA

    Simu ya Mezani: 025 2602970

    Simu ya Kiganjani:

    Barua Pepe: info@songeamc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Falagha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani ya Mahali
    • Huduma

Hakimiliki ©2017 Halmashauri ya Manispaa ya Songea. Haki zote zimehifadhiwa