• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Songea Municipal Council
Songea Municipal Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa ya Songea

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Maendeleo ya Jamii Jinsia na Watoto
      • Planning,Statistics and Monitoring
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Elimu ya Msingi
      • Mazingira na Usafi
      • Maji
      • Afya
      • Elimu ya Sekondari
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Ujenzi
      • Fedha na Biashara
      • Arthi na Mipangomiji
    • Vitengo
      • Uchaguzi
      • Legal Services
      • Mawasiliano, Habari na Teknolojia
      • Ukaguzi wa ndani
      • Ugavi na Manunuzi
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma zetu
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi isiyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio

TAKUKURU Ruvuma yadhibiti mifumo 20 ya utoaji huduma

Tarehe ya kuwekwa: August 10th, 2018

TAKUKURU mkoani Ruvuma imeweza kufanya kazi za udhibiti katika mifumo ya utoaji huduma 20 katika idara zilizo lalamikiwa kwa nia ya kutafuta nia ya kutafuta namna ya kuziba mianya ya rushwa iliyopo.

Mkuu wa TAKUKURU Mkoa wa Ruvuma Yustina Chagaka akielezea utafiti na udhibiti wa TAKUKURU Mkoa wa Ruvuma katika kipindi cha kuanzia Julai 2017 hadi Juni 2018 amesema TAKUKURU imefanya vikao vya wadau 10 kwa nia ya kujadili mianya ya rushwa na namna ya kufanya marekebisho ili kuondoa mianya hiyo.

Amezitaja sekta na Idara zilizofanyiwa udhibiti kuwa ni Maji,Ardhi, Ustawi wa jamii, ya Afya, Mazingira, Mahakama,maliasili,uvuvi na Usalama barabarani katika wilaya za Songea,Mbinga,Namtumbo na Tunduru.

Idara nyingine amezitaja kuwa ni Elimu,Afya,ukusanyaji wa mapato na Ushirika katika Halmashauri za Namtumbo,Songea,Tunduru na Mbinga.

“TAKUKURU Ruvuma imefanya kazi za ufuatiliaji wa utekelezaji wa maazimio yaliowekwa na wadau kwenye warsha tisa katika sekta ya Elimu, ukaguzi na uteketezaji wa bidhaa bandia, zilizopitwa na wakati na zenye sumu’’,anasisitiza Yustina Chagaka.

TAKUKURU Ruvuma inaendelea kuwaasa wananchi wote wa Mkoa wa Ruvuma kuendelea kutoa ushirikiano katika mapambano haya kwa kukataa kujihusisha na vitendo vya rushwa, kukemea na kutoa taarifa za vitendo vya rushwa katika ofisi za TAKUKURU zilizopo katika kila Wilaya au kwa viongozi mbalimbali wa Serikali.

Imetolewa na,

Victoria Ndejembi,

Kitengo TEHAMA Manispaa Songea

Agosti 9,2018.

Matangazo

  • TANGAZO LA LESENI ZA BIASHARA January 22, 2025
  • TANGAZO la usafi wa mazingira Jumamosi ya mwisho wa mwezi Septemba 2024 February 27, 2025
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • TAKUKURU Mkoa wa Ruvuma Yafanikiwa Kurejesha Mil. 9.2, na Kudhibiti Mianya ya Rushwa.

    May 30, 2025
  • TAKUKURU Ruvuma Yawezesha kupatikana fedha za makusanyo Songea Dc

    May 30, 2025
  • ALAT Ruvuma na Baraza la Madiwani la Chalinze Watembelea Manispaa ya Iringa Kujifunza Ukusanyaji wa Mapato.

    May 29, 2025
  • ISMAIL ALI MKIMBIZA MWENGE KITAIFA ARIDHISHWA NA UTEKELEZAJI WA MIRADI

    May 15, 2025
  • Tazama zote

Video

ALAT RUVUMA ZIARANI IRINGA TC
Video Zaidi

Viungio vya Haraka

  • Ruvuma Region Website
  • Songea diistrict websites
  • Madaba District Council Website
  • Tunduru District Website
  • Namtumbo District Website
  • Nyasa District Website
  • Mbinga Town Council Website
  • Mbinga District Council Website
  • Songea Municipal face book

Tovuti Mashuhuri

  • Wizara ya Fedha
  • TAMISEMI
  • Wakala wa Serikali Mtandao
  • Utumishi
  • National Bureau of Statistics
  • Baraza la Mitihani Tanzania

Idadi ya Wasomaji Duniani

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

free HitCounter

Ramani ya Mahali

Wasiliana nasi

    SONGEA MUNICIPAL COUNCIL

    Anuani ya Posta: P O BOX 14, SONGEA

    Simu ya Mezani: 025 2602970

    Simu ya Kiganjani:

    Barua Pepe: info@songeamc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Falagha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani ya Mahali
    • Huduma

Hakimiliki ©2017 Halmashauri ya Manispaa ya Songea. Haki zote zimehifadhiwa