• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Songea Municipal Council
Songea Municipal Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa ya Songea

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Maendeleo ya Jamii Jinsia na Watoto
      • Planning,Statistics and Monitoring
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Elimu ya Msingi
      • Mazingira na Usafi
      • Maji
      • Afya
      • Elimu ya Sekondari
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Ujenzi
      • Fedha na Biashara
      • Arthi na Mipangomiji
    • Vitengo
      • Uchaguzi
      • Legal Services
      • Mawasiliano, Habari na Teknolojia
      • Ukaguzi wa ndani
      • Ugavi na Manunuzi
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma zetu
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi isiyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio

TAKUKURU Ruvuma yaokoa zaidi ya shilingi milioni 21

Tarehe ya kuwekwa: November 23rd, 2018

TAASISI ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (TAKUKURU) mkoani Ruvuma imefanikiwa kuokoa zaidi ya shilingi milioni 21 katika sekta ya afya na elimu ambazo zingeweza kutumika kama mishahara hewa na kuikosesha serikali mapato yake.

Akizungumza na wanahabari ofisini kwake wakati anatoa taarifa ya utendaji kazi wa TAKUKURU katika mkoa wa Ruvuma katika kipindi cha kuanzia Julai hadi Septemba 2018,Naibu Mkuu wa TAKUKURU katika Mkoa wa Ruvuma Owen Jasson  amesema kati ya fedha hizo zaidi ya shilingi milioni 21 zimeokolewa kutoka idara ya afya na shilingi 220,00 kutoka idara ya elimu na kwamba fedha hizo zimerejeshwa serikalini.

Amesema katika kipindi hicho TAKUKURU mkoa  wa Ruvuma imepokea taarifa 76 kutoka kwa wananchi kupitia vyanzo mbalimbali  na amezitaja Idara zinazoongoza kwa kulalamikiwa kuwa ni Serikali za Mitaa zimepokelewa taarifa 15,Halmashauri taarifa 10,Ardhi 8,Mahakama 8,Elimu 7,sekta binafsi 5,Taasisi za Fedha 4,polisi 4,Afya 2,vyama vya ushirika 2,madini 2,maji moja,mifuko ya hifadhi jamii ma huduma za umeme taarifa moja.

Hata hivyo idadi ya kesi zilizoendelea mahakamani amezitaja kuwa ni 12 na kwamba kati ya kesi hizo sita zilisikilizwa ,kukamilika na kutolewa maamuzi ambapo katika kipindi hicho ni kesi moja mpya ilifunguliwa kutoka katika wilaya ya Namtumbo.

Jasson  ameitaja mikakati ya TAKUKURU katika Mkoa wa Ruvuma ni kuhakikisha inapunguza na kumaliza kero kwa wananchi hasa katika maeneo yanayoongoza kwa kulalamikiwa na kwamba TAKUKURU itaendelea kufanya tafiti ndogo katika Idara mbalimbali za Umma zinazolalamikiwa ili kubaini mianya ya rushwa na kupendekeza njia madhubuti za kuziba mianya hiyo kwa manufaa ya wananchi.

"Kuna baadhi ya wananchi bado wanafikiri kuwa mapambano haya ni ya TAKUKURU peke yake,ndiyo maana kuna baadhi ya kesi zimefutwa kwa sababu tu mashahidi walikimbia hawakufika mahakamani kutoa ushahidi hivyo washitakiwa kuachiwa huru'',amesema  Jasson.

Ametoa rai kwa wananchi wote mkoani Ruvuma kuendelea kutoa ushirikiano na TAKUKURU katika mapambano dhidi ya rushwa kwa kutoa taarifa  katika ofisi za TAKUKURU zilizopo katika wilaya au kwa viongozi mbalimbali wa serikali.

Imeandaliwa na Albano Midelo

Afisa Habari Manispaa ya Songea

Novemba 23,2018

Matangazo

  • TANGAZO LA LESENI ZA BIASHARA October 17, 2025
  • TANGAZO la usafi wa mazingira Jumamosi ya mwisho wa mwezi Oktoba 2025 October 18, 2025
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • Dkt. Ndumbaro Aibuka Mshindi Ubunge Jimbo la Songea Mjini

    October 30, 2025
  • Rc Ruvuma Akabidhi Magari 4 Yenye Thamani ya Bil. 2.2 Kwa Jeshi la Zimamoto na Uokoaji Mkoani Ruvuma

    October 26, 2025
  • Washiriki 1,542 Wapata Mafunzo ya Usmamizi wa Vituo na Wasimamizi Wasaidizi wa Vituo.

    October 26, 2025
  • WASHIRIKI 542 WAPATA MAFUNZO YA MAKARANI WAONGOZAJI

    October 25, 2025
  • Tazama zote

Video

RAIS DKT. SAMIA AKIMUAPISHA WAZIRI MKUU
Video Zaidi

Viungio vya Haraka

  • Ruvuma Region Website
  • Songea diistrict websites
  • Madaba District Council Website
  • Tunduru District Website
  • Namtumbo District Website
  • Nyasa District Website
  • Mbinga Town Council Website
  • Mbinga District Council Website
  • Songea Municipal face book

Tovuti Mashuhuri

  • Wizara ya Fedha
  • TAMISEMI
  • Wakala wa Serikali Mtandao
  • Utumishi
  • National Bureau of Statistics
  • Baraza la Mitihani Tanzania

Idadi ya Wasomaji Duniani

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

free HitCounter

Ramani ya Mahali

Wasiliana nasi

    SONGEA MUNICIPAL COUNCIL

    Anuani ya Posta: P O BOX 14, SONGEA

    Simu ya Mezani: 025 2602970

    Simu ya Kiganjani:

    Barua Pepe: info@songeamc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Falagha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani ya Mahali
    • Huduma

Hakimiliki ©2017 Halmashauri ya Manispaa ya Songea. Haki zote zimehifadhiwa

  • Situs Toto
  • Situs Slot Gacor
  • AXL777
  • Situs Toto
  • AERO88
  • Situs Slot Gacor
  • DORA77
  • DORA77
  • DORA77
  • Toto Togel
  • Slot Gacor
  • AXL777
  • AERO88
  • Situs Slot
  • Situs Slot Gacor
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • DORA77
  • Situs Judi Online
  • KOI200
  • SILVAWIN
  • AXL777
  • YAMITOTO
  • NABITOTO
  • YAMITOTO
  • KOI200
  • KOI200
  • KOI200