• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Songea Municipal Council
Songea Municipal Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa ya Songea

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Maendeleo ya Jamii Jinsia na Watoto
      • Planning,Statistics and Monitoring
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Elimu ya Msingi
      • Mazingira na Usafi
      • Maji
      • Afya
      • Elimu ya Sekondari
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Ujenzi
      • Fedha na Biashara
      • Arthi na Mipangomiji
    • Vitengo
      • Uchaguzi
      • Legal Services
      • Mawasiliano, Habari na Teknolojia
      • Ukaguzi wa ndani
      • Ugavi na Manunuzi
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma zetu
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi isiyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio

TANGAZO LA KAZI.

Tarehe ya kuwekwa: March 13th, 2021

(LINARUDIWA)

       Mkurugenzi wa Manispaa ya Songea anawatangazia wananchi wote wenye sifa na nia ya kufanyakazi ya muda (Mkataba) kwa nafasi zifuatazo:-

 

1.  DEREVA WA MITAMBO – NAFASI 01

 

a) Sifa za Mwombaji;

  • Kuajiriwa wenye cheti cha mtihani wa Kidato cha IV, wenye Leseni daraja la “G” ya kuendesha mitambo na ujuzi wa kutunza vyombo mbalimbali vya mitambo hiyo, wenye uzoefu wa kuendesha mitambo kwa muda usiopungua saa mia tatu (300) au miezi mitatu (3) bila kusababisha ajali.

Awe mwenye umri kati ya miaka 18 hadi miaka 45.

b) Kazi za Kufanya;

Kuendesha Mitambo chini ya usimamizi wa Dereva mitambo mwenye uzoefu;

2.  MSAIDIZI WA HESABU (ACCOUNTS ASSISTANT) - NAFASI 01

a) Sifa za Mwombaji;

Awe na elimu ya kidato cha nne;

Awe amehitimu mafunzo ya Astashahada/cheti cha ATEC level II au “Foundation Level” kinachotolewa na NBAA.

Awe mwenye umri kati ya miaka 18 hadi miaka 45.

 

b) Kazi za Kufanya;

Kuandika na kutunza “Register” zinazohusu shughuli za uhasibu;

Kuandika hati za malipo na hati za mapokezi ya fedha;

Kutunza majalada yenye kumbukumbu za hesabu;

Kupeleka barua/nyaraka za uhasibu Benki;

Kufanya usuluhisho wa masurufu, karadha, Hesabu za Benki na Amana.


Barua zote zitumwe kwa Mkurugenzi wa Manispaa, Barabara ya Sokoine, S.L .P 14, Songea. Simu:0252602970,

Nukushi: 0252602474, Barua pepe: md@songeamc.go.tz, Tovuti: www.songeamc.go.tz

 

 

 

 


3. MTEKNOLOJIA MSAIDIZI (DAWA) - NAFASI 02

a) Sifa za Mwombaji;

Awe na elimu ya kidato cha nne;

Awe na cheti cha miaka miwili katika fani ya Mtekonolojia (Dawa) kutoka chuo kinachotambuliwa na Serikali na ambao wamesajiliwa na mabaraza yao pale inapohusika.

Awe mwenye umri kati ya miaka 18 hadi miaka 45.

b) Kazi za Kufanya;

Kuandaa mahitaji na matumizi ya dawa na vifaa tiba;

Kuagiza, kuhifadhi na kugawa dawa na vifaa tiba katika eneo lake la kazi;

Kuandaa taarifa ya matumizi ya dawa na vifaa tiba;

Kutunza kumbukumbu za dawa na vifaa tiba;

Kufanya kazi nyingine atakazopangiwa na mkuu wake wa kazi zinazohusiana na elimu, uzoefu na ujuzi wake.

4.  MAELEZO YA JUMLA KWA KAZI ZOTE; 

Kazi hizi ni za masharti ya muda (Mkataba);

Mshahara wa kazi hizi utazingatia viwango vya Mishahara Serikalini.

Barua za maombi ziambatanishwe na nakala za vyeti vya elimu, taaluma, cheti cha kuzaliwa na picha mbili (Passport size);

Mwombaji awe hajawahi kutiwa hatiani kwa kosa la jinai au kuachishwa kazi serikalini kwa makosa ya utovu wa nidhamu;

Mwisho wa kupokea maombi ni tarehe 23/03/2021 saa 9.30 alasiri;

Waombaji walioleta maombi ya tangazo la awali hawatahitajika kuomba tena;

Maombi yatumwe au kuletwa kwa:-

MKURUGENZI WA MANISPAA,

MANISPAA YA SONGEA,

S. L. P 14,

SONGEA.

Matangazo

  • TANGAZO LA LESENI ZA BIASHARA January 22, 2025
  • TANGAZO la usafi wa mazingira Jumamosi ya mwisho wa mwezi Septemba 2024 February 27, 2025
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • TAKUKURU Mkoa wa Ruvuma Yafanikiwa Kurejesha Mil. 9.2, na Kudhibiti Mianya ya Rushwa.

    May 30, 2025
  • TAKUKURU Ruvuma Yawezesha kupatikana fedha za makusanyo Songea Dc

    May 30, 2025
  • ALAT Ruvuma na Baraza la Madiwani la Chalinze Watembelea Manispaa ya Iringa Kujifunza Ukusanyaji wa Mapato.

    May 29, 2025
  • ISMAIL ALI MKIMBIZA MWENGE KITAIFA ARIDHISHWA NA UTEKELEZAJI WA MIRADI

    May 15, 2025
  • Tazama zote

Video

ALAT RUVUMA ZIARANI IRINGA TC
Video Zaidi

Viungio vya Haraka

  • Ruvuma Region Website
  • Songea diistrict websites
  • Madaba District Council Website
  • Tunduru District Website
  • Namtumbo District Website
  • Nyasa District Website
  • Mbinga Town Council Website
  • Mbinga District Council Website
  • Songea Municipal face book

Tovuti Mashuhuri

  • Wizara ya Fedha
  • TAMISEMI
  • Wakala wa Serikali Mtandao
  • Utumishi
  • National Bureau of Statistics
  • Baraza la Mitihani Tanzania

Idadi ya Wasomaji Duniani

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

free HitCounter

Ramani ya Mahali

Wasiliana nasi

    SONGEA MUNICIPAL COUNCIL

    Anuani ya Posta: P O BOX 14, SONGEA

    Simu ya Mezani: 025 2602970

    Simu ya Kiganjani:

    Barua Pepe: info@songeamc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Falagha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani ya Mahali
    • Huduma

Hakimiliki ©2017 Halmashauri ya Manispaa ya Songea. Haki zote zimehifadhiwa