• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Songea Municipal Council
Songea Municipal Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa ya Songea

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Maendeleo ya Jamii Jinsia na Watoto
      • Planning,Statistics and Monitoring
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Elimu ya Msingi
      • Mazingira na Usafi
      • Maji
      • Afya
      • Elimu ya Sekondari
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Ujenzi
      • Fedha na Biashara
      • Arthi na Mipangomiji
    • Vitengo
      • Uchaguzi
      • Legal Services
      • Mawasiliano, Habari na Teknolojia
      • Ukaguzi wa ndani
      • Ugavi na Manunuzi
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma zetu
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi isiyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio

UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA AWAMU YA PILI.

Tarehe ya kuwekwa: April 30th, 2020


TUME YA TAIFA YA UCHAGUZI

 

UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA AWAMU YA PILI

 

AFISA MWANDIKISHAJI JIMBO LA SONGEA MJINI ANAWATANGAZIA WANANCHI WOTE WA HALMASHAURI YA MANISPAA SONGEA KUWA, UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA AWAMU YA PILI UTAFANYIKA KWA SIKU TATU KUANZIA TAREHE 02 HADI TAREHE 04 MEI, 2020. UBORESHAJI HUU UTAFANYIKA KATIKA KITUO KILICHOPANGWA KWENYE KILA KATA KATIKA HALMASHAURI (OFISI ZA KATA), VITUO VITAFUNGULIWA SAA 2.00 ASUBUHI NA KUFUNGWA SAA 12.00 JIONI.

UBORESHAJI AWAMU YA PILI UTAFANYIKA KWA KUZINGATIA TAHADHARI ZOTE ZA AFYA KUHUSU KUZUIA MAAMBUKIZI YA UGONJWA WA COVID- 19 UNAOSABABISHWA NA VINAVYOSABABISHWA NA VIRUSI VYA CORONA. UBORESHAJI HUTAHUSISHA:-

  • KUANDIKISHA WAPIGA KURA WAPYA WALIOTIMIZA UMRI WA MIAKA 18 NA ZAIDI NA WALE WATAKAOTIMIZA UMRI HUO IFIKAPO SIKU YA UCHAGUZI MKUU WA MWAKA 2020.
  • KUANDIKISHA WALE WOTE AMBAO WANA SIFA LAKINI HAWAKUJIANDIKISHA KATIKA UBORESHAJI WA AWAMU YA KWANZA.
  • KUTOA KADI MPYA KWA WAPIGA KURA WALIOPOTEZA KADI ZAO.
  • KUTOA KADI MPYA KWA WAPIGA KURA AMBAO KADI ZAO ZIMEHARIBIKA.
  • KUHAMISHA TAARIFA ZA WAPIGA KURA WALIOHAMA KATA AU MAJIMBO NA KWENDA KATIKA MAENEO MENGINE UA KIUCHAGUZI.
  • KUREKEBISHA TAARIFA ZA WAPIGA KURA AMBAZO ZILIKOSEWA.
  • KUONDOA WAPIGA KURA WALIOPOTEZA SIFA KAMA VILE WALIOFARIKI DUNIA. 

 

 

 

 

UTARATIBU WA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA

  • KATIKA KILA KITUO CHA OFISI YA KATA KUTAKUWA NA MWANDISHI MSAIDIZI NA BVR KIT OPERATOR AMBAO WATAKUWA NA ORODHA YA VITUO VYOTE KATIKA KATA.
  • MWANANCHI ATAWEZA KUANDIKISHWA KULINGANA NA KITUO ATAKACHOPIGIA KURA SIKU YA UCHAGUZI MKUU NDANI YA KATA HUSIKA.
  • MPIGA KURA YEYOTE ANAWEZA KUBORESHA TAARIFA ZAKE KWA KUZINGATIA KITUO ANACHOTAKA KUPIGIA KURA SIKU YA UCHAGUZI MKUU.

MUHIMU: KUMBUKA KUZINGATIA KANUNI ZA AFYA KWA KUFUATA MAELEKEZO UTAKAYOPEWA KITUONI ILI KUJIEPUSHA NA MAAMBUKIZI YA VIRUSI VYA CORONA.

KUMBUKA

SIFA MUHIMU YA KUKUWEZESHA KUPIGA KURA SIKU YA UCHAGUZI MKUU NI KUWA NA KADI YA MPIGA KURA

 

TANGAZO LIMETOLEWA NA

                                                     AFISA MWANDIKISHAJI

JIMBO LA SONGEA MJINI

Matangazo

  • TANGAZO LA LESENI ZA BIASHARA January 22, 2025
  • TANGAZO la usafi wa mazingira Jumamosi ya mwisho wa mwezi Septemba 2024 February 27, 2025
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • TAKUKURU Mkoa wa Ruvuma Yafanikiwa Kurejesha Mil. 9.2, na Kudhibiti Mianya ya Rushwa.

    May 30, 2025
  • TAKUKURU Ruvuma Yawezesha kupatikana fedha za makusanyo Songea Dc

    May 30, 2025
  • ALAT Ruvuma na Baraza la Madiwani la Chalinze Watembelea Manispaa ya Iringa Kujifunza Ukusanyaji wa Mapato.

    May 29, 2025
  • ISMAIL ALI MKIMBIZA MWENGE KITAIFA ARIDHISHWA NA UTEKELEZAJI WA MIRADI

    May 15, 2025
  • Tazama zote

Video

ALAT RUVUMA ZIARANI IRINGA TC
Video Zaidi

Viungio vya Haraka

  • Ruvuma Region Website
  • Songea diistrict websites
  • Madaba District Council Website
  • Tunduru District Website
  • Namtumbo District Website
  • Nyasa District Website
  • Mbinga Town Council Website
  • Mbinga District Council Website
  • Songea Municipal face book

Tovuti Mashuhuri

  • Wizara ya Fedha
  • TAMISEMI
  • Wakala wa Serikali Mtandao
  • Utumishi
  • National Bureau of Statistics
  • Baraza la Mitihani Tanzania

Idadi ya Wasomaji Duniani

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

free HitCounter

Ramani ya Mahali

Wasiliana nasi

    SONGEA MUNICIPAL COUNCIL

    Anuani ya Posta: P O BOX 14, SONGEA

    Simu ya Mezani: 025 2602970

    Simu ya Kiganjani:

    Barua Pepe: info@songeamc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Falagha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani ya Mahali
    • Huduma

Hakimiliki ©2017 Halmashauri ya Manispaa ya Songea. Haki zote zimehifadhiwa