• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Songea Municipal Council
Songea Municipal Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa ya Songea

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Maendeleo ya Jamii Jinsia na Watoto
      • Planning,Statistics and Monitoring
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Elimu ya Msingi
      • Mazingira na Usafi
      • Maji
      • Afya
      • Elimu ya Sekondari
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Ujenzi
      • Fedha na Biashara
      • Arthi na Mipangomiji
    • Vitengo
      • Uchaguzi
      • Legal Services
      • Mawasiliano, Habari na Teknolojia
      • Ukaguzi wa ndani
      • Ugavi na Manunuzi
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma zetu
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi isiyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio

UBORESHAJI WA DAFTARI LA WAPIGA KURA AWAMU YA PILI- SONGEA MJINI WAANZA RASMI 02.05.2020

Tarehe ya kuwekwa: April 30th, 2020

 Mkurugenzi manispaa ya Songea Tina Sekambo  amewaasa Maaafisa waandikishaji wasaidizi ngazi ya kata,waandishi wasaidizi na BVR Kit Operators  kufanya kazi kwa ufanisi mkubwa, kwa bidi, na moyo wa kujituma katika kufanikisha zoezi la uboreshaji wa daftari la kudumu la wapiga kura awamu ya pili.

Hayo yametolewa leo na Mkurugenzi Manispaa ya Songea Tina Sekambo ambaye aliwakilishwa na Afisa Mazingira manispaa ya Songea Philipo Beno, katika Hotuba yake iliyosomwa ya ufunguzi wa mafunzo hayo ya  waandikishaji wasaidizi, na BVR Kit Operator yaliyofanyika katika ukumbi wa manispaa ya Songea leo 30/04/020.

 aKIitoa wito kwa washiriki hao wa mafunzo kuzingatia maelekezo yote yatakayotolewa na Tume ili waweze kufanyia kazi wakati wa zoezi la Uboreshaji wa Daftari kudumu la Wapiga kura. Alisema “ zoezi hili la uboreshaji wa Daftari la Wapiga kura awamu ya pili litafanyika kwa siku tatu kuanzia 02.05- 04.05.2020”

Naye  Mkurugenzi Msaidizi wa Mipango  Tume ya Taifa ya Uchaguzi Adam Mkina alisema” Mpiga kura anaweza kuhakiki taarifa zake kupitia simu ya kiganjani kwa kupiga namba *152*00# na kufuata maelekezo yatakayomwezesha kuhakiki taarifa zake au kupitia Tovuti ya Tume  www.nec.go.tz kwa kubonyeza sehemu iliyoandikwa ‘Uhakiki’ na kuendelea kufuata maelekezo.”

Aliongeza kuwa Uwekaji wazi wa Daftari la Wapiga kura  utazingatia tahadhari zote za Afya kuhusu kuzuwia maambukizi ya ugonjwa wa COVID-19 unaosababishwa na virus vya CORONA.

 

IMEANDALIWA NA;

AMINA PILLY,

KAIMU AFISA HABARI MANISPAA YA SONGEA.

 

Matangazo

  • TANGAZO LA LESENI ZA BIASHARA January 22, 2025
  • TANGAZO la usafi wa mazingira Jumamosi ya mwisho wa mwezi Septemba 2024 February 27, 2025
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • Bil. 22.9 Kujenga Masoko ya Kisasa Manzese A na B, na Kiwanda cha Kuchakata Mazao ya Nafaka Lilambo

    July 06, 2025
  • MBUNGE SONGEA MJINI AKABIDHI KOMPYUTA NA KUFADHILI UKARABATI WA OFISI ZA POLISI

    June 27, 2025
  • DC Songea bAzindua Dawati la Huduma za Ustawi wa Jamii Stendi ya Mabasi Songea

    June 24, 2025
  • Meya Mbano; Amewataka Wananchi Kulinda Haki za Watoto

    June 16, 2025
  • Tazama zote

Video

Makabidhiano ya Mkataba Soko la Manzese A&B
Video Zaidi

Viungio vya Haraka

  • Ruvuma Region Website
  • Songea diistrict websites
  • Madaba District Council Website
  • Tunduru District Website
  • Namtumbo District Website
  • Nyasa District Website
  • Mbinga Town Council Website
  • Mbinga District Council Website
  • Songea Municipal face book

Tovuti Mashuhuri

  • Wizara ya Fedha
  • TAMISEMI
  • Wakala wa Serikali Mtandao
  • Utumishi
  • National Bureau of Statistics
  • Baraza la Mitihani Tanzania

Idadi ya Wasomaji Duniani

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

free HitCounter

Ramani ya Mahali

Wasiliana nasi

    SONGEA MUNICIPAL COUNCIL

    Anuani ya Posta: P O BOX 14, SONGEA

    Simu ya Mezani: 025 2602970

    Simu ya Kiganjani:

    Barua Pepe: info@songeamc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Falagha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani ya Mahali
    • Huduma

Hakimiliki ©2017 Halmashauri ya Manispaa ya Songea. Haki zote zimehifadhiwa