• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Songea Municipal Council
Songea Municipal Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa ya Songea

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Maendeleo ya Jamii Jinsia na Watoto
      • Planning,Statistics and Monitoring
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Elimu ya Msingi
      • Mazingira na Usafi
      • Maji
      • Afya
      • Elimu ya Sekondari
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Ujenzi
      • Fedha na Biashara
      • Arthi na Mipangomiji
    • Vitengo
      • Uchaguzi
      • Legal Services
      • Mawasiliano, Habari na Teknolojia
      • Ukaguzi wa ndani
      • Ugavi na Manunuzi
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma zetu
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi isiyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio

UFAHAMU MFUMO WA KIELETRONIKI WA KURATIBU MADAI/MADENI (MadeniMIS) KWA WATUMISHI WA UMMA.

Tarehe ya kuwekwa: September 9th, 2020

Ofisi ya Rais – TAMISEMI   imetoa mafunzo ya  Mfumo wa uratibu wa madai na madeni ya Watumishi – MADENIMIS kwa wataalamu wa  Manispaa ya Songea kwa lengo la kuwawezesha  kupata uelewa wamatumizi ya  Mfumo wa kuratibu madeni au madai kwa watumishi wa umma.

Mwezeshaji wa kitaifa  Zezema Shilungushela alisema Mafunzo haya yametolewa kwa   kwa wataalamu mbalimbali  wakiwemo na  Maafisa Elimu Msingi na Sekondari, Mweka hazina, Afisa takwimu Msingi na Sekondari, Afisa Utumishi, pamoja na  Afisa TEHAMA,  ambayo yalifanyika katika ukumbi wa Halmashauri ya Manispaa ya Songea 03-04/09/2020.

Alisema “Lengo la Mfumo huu ni kumwezesha mtumishi Kuanzisha dai lake kuona hatua zote za dai hilo linavyofanyiwa kazi katika ngazi mbalimbali pamoja na mambo mengine, Mfumo huu utasaidia Serikali kuwa na takwimu sahihi za Watumishi wenye madai/madeni na kiasi cha madai/madeni kinachodaiwa na Watumishi hao.”

Alibainisha kuwa Mfumo huu unajulikana kwa jina la MadeniMIS ambao unaratibu madai na madeni yote ya watumishi yasiyo ya mishahara (Non-Salary debits),  na kwasasa mfumo huu unafanya kazi kwa Watumishi wa kada ya Ualimu katika Sekta ya msingi na sekondari.

 Aliongeza kuwa hapo awali madai/madeni yalikuwa yanahakikiwa kwa njia ya  kawaida na sasa yataratibiwa kwa kutumia Mfumo wa kieletronik.

Hata hivyo baada ya mafunzo hayo kutolewa,  kuanzia  leo 9-10/09/2020 Wataalamu   hao wanaendelea na ufundishaji kwa  waratibu Elimu kata, wakuu wa shule Msingi na Sekondari kwa lengo la kuwawezesha kufahamu jinsi ya kuutumia mfumo  wa kuratibu MadeniMIS ndani ya Manispaa ya Songea.  

IMETAYARISHWA NA;

AMINA PILLY; 

 AFISA HABARI MANISPAA YA SONGEA.

Matangazo

  • TANGAZO LA LESENI ZA BIASHARA January 22, 2025
  • TANGAZO la usafi wa mazingira Jumamosi ya mwisho wa mwezi Septemba 2024 February 27, 2025
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • TAKUKURU Mkoa wa Ruvuma Yafanikiwa Kurejesha Mil. 9.2, na Kudhibiti Mianya ya Rushwa.

    May 30, 2025
  • TAKUKURU Ruvuma Yawezesha kupatikana fedha za makusanyo Songea Dc

    May 30, 2025
  • ALAT Ruvuma na Baraza la Madiwani la Chalinze Watembelea Manispaa ya Iringa Kujifunza Ukusanyaji wa Mapato.

    May 29, 2025
  • ISMAIL ALI MKIMBIZA MWENGE KITAIFA ARIDHISHWA NA UTEKELEZAJI WA MIRADI

    May 15, 2025
  • Tazama zote

Video

ALAT RUVUMA ZIARANI IRINGA TC
Video Zaidi

Viungio vya Haraka

  • Ruvuma Region Website
  • Songea diistrict websites
  • Madaba District Council Website
  • Tunduru District Website
  • Namtumbo District Website
  • Nyasa District Website
  • Mbinga Town Council Website
  • Mbinga District Council Website
  • Songea Municipal face book

Tovuti Mashuhuri

  • Wizara ya Fedha
  • TAMISEMI
  • Wakala wa Serikali Mtandao
  • Utumishi
  • National Bureau of Statistics
  • Baraza la Mitihani Tanzania

Idadi ya Wasomaji Duniani

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

free HitCounter

Ramani ya Mahali

Wasiliana nasi

    SONGEA MUNICIPAL COUNCIL

    Anuani ya Posta: P O BOX 14, SONGEA

    Simu ya Mezani: 025 2602970

    Simu ya Kiganjani:

    Barua Pepe: info@songeamc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Falagha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani ya Mahali
    • Huduma

Hakimiliki ©2017 Halmashauri ya Manispaa ya Songea. Haki zote zimehifadhiwa