• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Songea Municipal Council
Songea Municipal Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa ya Songea

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Maendeleo ya Jamii Jinsia na Watoto
      • Planning,Statistics and Monitoring
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Elimu ya Msingi
      • Mazingira na Usafi
      • Maji
      • Afya
      • Elimu ya Sekondari
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Ujenzi
      • Fedha na Biashara
      • Arthi na Mipangomiji
    • Vitengo
      • Uchaguzi
      • Legal Services
      • Mawasiliano, Habari na Teknolojia
      • Ukaguzi wa ndani
      • Ugavi na Manunuzi
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma zetu
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi isiyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio

UFAHAMU MRADI WA MAJI RUHUWIKO

Tarehe ya kuwekwa: December 10th, 2017

MRADI wa maji katika Mtaa wa Ruhuwiko Kanisani Kata ya Ruhuwiko Manispaa ya Songea mkoa wa Ruvuma, uliibuliwa na Wananchi wenyewe mwaka wa fedha 2013/2014 na kuanza kujengwa mwaka wa fedha 2014/2015,Mkandarasi akiwa ni Girafe Investment Company.

Mhandisi wa Maji katika Manispaa ya Songea Samwel  Sanya  anasema ujenzi wa mradi huu ulikadiria kugharimu kiasi cha zaidi ya sh.milioni 488.

Kwa mujibu wa Mhandisi Sanya hadi sasa Mkandarasi amelipwa zaidi ya milioni 421 na kwamba kiasi cha fedha ambacho kimebakia ni zaidi ya milioni 67.

Hata hivyo amesema mkataba umekwisha ambapo mradi huo umeanza kutoa huduma kwa wananchi na kwamba bado mradi huo upo kwenye hatua za matazamio

Hata hivyo anasema hadi kukamilika kwa Mradi huo mwaka wa fedha 2016/2017 mradi uligharimu kiasi cha sh.milioni 394.7ambazo zilitumika katika Ujenzi wa miundombinu ya maji.

Sanya anazitaja changamoto za mradi huo kuwa ni Manispaa kutopata fedha za kukamilisha mradi toka serikali kuu kwa wakati hali iliyochelewesha mradi kukamilika kwa wakati na wananchi kuwa na uelewa mdogo wa uchangiaji na uendeshaji wa miradi ya maji.

Ili kuhakikisha kuwa mradi unakuwa endelevu Sanya anasema Manispaa ya Songea itakabidhi mradi huu kwa Mamlaka ya Maji safi na maji taka Manispaa ya Songea(SOUWASA) ambao watasaidia katika uendeshaji wa mradi wa maji kwa kushirikiana na Mtaa wa Ruhuwiko Kanisani walioibua mradi huo.

Watu wapatao 3,447 kutoka katika Mtaa wa Ruhuwiko Kanisani wanatarajia kunufaika na mradi huo wa maji safi na salama baada ya mradi kukamilika,

Imetolewa na Albano Midelo

Afisa Habari Manispaa ya Songea

 

Matangazo

  • TANGAZO LA LESENI ZA BIASHARA January 22, 2025
  • TANGAZO la usafi wa mazingira Jumamosi ya mwisho wa mwezi Septemba 2024 February 27, 2025
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • TAKUKURU Mkoa wa Ruvuma Yafanikiwa Kurejesha Mil. 9.2, na Kudhibiti Mianya ya Rushwa.

    May 30, 2025
  • TAKUKURU Ruvuma Yawezesha kupatikana fedha za makusanyo Songea Dc

    May 30, 2025
  • ALAT Ruvuma na Baraza la Madiwani la Chalinze Watembelea Manispaa ya Iringa Kujifunza Ukusanyaji wa Mapato.

    May 29, 2025
  • ISMAIL ALI MKIMBIZA MWENGE KITAIFA ARIDHISHWA NA UTEKELEZAJI WA MIRADI

    May 15, 2025
  • Tazama zote

Video

ALAT RUVUMA ZIARANI IRINGA TC
Video Zaidi

Viungio vya Haraka

  • Ruvuma Region Website
  • Songea diistrict websites
  • Madaba District Council Website
  • Tunduru District Website
  • Namtumbo District Website
  • Nyasa District Website
  • Mbinga Town Council Website
  • Mbinga District Council Website
  • Songea Municipal face book

Tovuti Mashuhuri

  • Wizara ya Fedha
  • TAMISEMI
  • Wakala wa Serikali Mtandao
  • Utumishi
  • National Bureau of Statistics
  • Baraza la Mitihani Tanzania

Idadi ya Wasomaji Duniani

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

free HitCounter

Ramani ya Mahali

Wasiliana nasi

    SONGEA MUNICIPAL COUNCIL

    Anuani ya Posta: P O BOX 14, SONGEA

    Simu ya Mezani: 025 2602970

    Simu ya Kiganjani:

    Barua Pepe: info@songeamc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Falagha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani ya Mahali
    • Huduma

Hakimiliki ©2017 Halmashauri ya Manispaa ya Songea. Haki zote zimehifadhiwa